DODOMA: Zitto na kamati yake wamekesha

DODOMA: Zitto na kamati yake wamekesha

jamani sijui kama report itawasilishwa maana chochote chawezekana kwa.ccm
 
Nawaona wazalendo wa kweli Filikunjombe Mpina na Zitto....Big up kwa Mpina na Deo kwani waliwatolea maneno makali sana maccm na kuwarushia mikono kisha wakasepa ila li-Rage na mapigania tumbo mengine ya PAC yalilala chali!!!
 
Hivi jamani Tanzania kuna watu wako chini ya sheria na wengine wako juu ya sheria maana mpaka sasa ilitakiwa wote wahusika wawe chini ya ulinzi mkali hadi isomwe ripot lakini nashangaa kuona watu wako mtaani wanakula bata.
CCM na viongozi wake wote wako JUU ya sheria kiukweli wahusika wote wa UNYANG'ANYI huu walitakiwa wawe RUMANDE mungu tunusuru na hili GENGE la majambazi na WABINAFSI wao ndio bora sisi sio BORA,sisi wa kufungwa jela wao wakila kwa raha vya UPORAJI
 
Escrow ni kokoro.

Tumeaminishwa ya kwamba report itakuwa na mambo mazito pamoja na mapendekezo mazito; sasa ikiwa haina kitu, kokoro la Escrow litaikumba Kamati ya Zitto.
 
Unaongea nini, mbona hueleweki? Au ndiyo hizi elimu za kukariri za kata. Wakati fulani kukaa kimya huficha udhaifu.

Escrow ni kokoro.

Tumeaminishwa ya kwamba report itakuwa na mambo mazito pamoja na mapendekezo mazito; sasa ikiwa haina kitu, kokoro la Escrow litaikumba Kamati ya Zitto.
 
Escrow ni kokoro.

Tumeaminishwa ya kwamba report itakuwa na mambo mazito pamoja na mapendekezo mazito; sasa ikiwa haina kitu, kokoro la Escrow litaikumba Kamati ya Zitto.

hata sija kuelewa....any body pliz !?
 
Bunge sasa limeanza na an aye ongoza ni Zungu. Kamati ya uongozi wa bunge imeitwa kwenye kikao.
 
Hapa sielewi wane mwogopa! Je wanaogopa serikali au mafisadi? Kama wanaigopa serikali, je serikali ndiye muua watu? Kama waogopa mafisadi, je inakuwaje mafisadi wakawa na nguvu kuliko ulinzi wa serikali? Kama mbunge anaogopa hivi, raia afanyeje?

HII ni DALILI TOSHA kuwa serikali yooooote imewekwa mifukoni mwa mafisadi.
 
SIJAONA ULICHOPOST NILITEGEMEA ARTICLE YENYE MASHIKO...hapo kichwa na habari havina uhusiano.....
tunataka vitu vya ukweli ngoja twende TBC kama umemem hautatakatika
CHEZEA

usi waamini sana TBC.
 
CDM kwa wivu hakuna anayemsifia Zitto kwa umahiri wake wote wanaogopa kumpa pongezi!

Any way ZZK hongera kwa kusimamia kamati yako vizuri!

It has nothing to do with CHAMA when it comes kwenye Maslahi ya TAIFA, kama umeona anastahili pongezi inabidi umpongeze ukiwa kama MTANZANIA.

After all Kamati ina mchanganyiko wa vyama vingi.
 
CCM na viongozi wake wote wako JUU ya sheria kiukweli wahusika wote wa UNYANG'ANYI huu walitakiwa wawe RUMANDE mungu tunusuru na hili GENGE la majambazi na WABINAFSI wao ndio bora sisi sio BORA,sisi wa kufungwa jela wao wakila kwa raha vya UPORAJI

ingekua china tayari washa pigwa risasi kitaaamboooo!
 
Unaongea nini, mbona hueleweki? Au ndiyo hizi elimu za kukariri za kata. Wakati fulani kukaa kimya huficha udhaifu.

Sieleweki kwa kuwa wewe ni mgumu wa kuelewa.
 
It has nothing to do with CHAMA when it comes kwenye Maslahi ya TAIFA, kama umeona anastahili pongezi inabidi umpongeze ukiwa kama MTANZANIA.

After all Kamati ina mchanganyiko wa vyama vingi.

mwambie huyo team escrow.
 
Jamani mimi nimechoka kuwapa kampani hawa jamaaa. Maaana Twitter, FB na Instagram kote tunaendelea kukamua.

Hivi kama kuna watu wanaweza kuwatumia movies au tv shows wapoteze muda please do so. Lakini nawaaminia hawa walipitia JKT so.


10810048_545009738966631_948544126_n.jpg

Wanakesha nini,wakati Zitto alisema wapo tayari kuwasilisha wakati wowote na mahali popote wakiitwa na Bunge.
 
Zitto kabwe na deo na kamati yenu kwa ujumla tunawatazama kwa umakin sana
 
Back
Top Bottom