DODOMA: Zitto na kamati yake wamekesha

DODOMA: Zitto na kamati yake wamekesha

Ikawa usiku, ikawa asubuhi siku yenyewe hii hapa 26.11.2014, macho na masikio ya watanzania yako 'eagerly' kuona na kusikia hatma ya pesa zao zilizotumika kunufaisha kundi dogo la walanguzi.
 
Hawa ni watu wa shoka kuna mapunguani humu kila siku walikuwa wanatuaminisha kuwa zito msaliti kanunuliwa sasa hivi wanabidi wachutame.
 
SIJAONA ULICHOPOST NILITEGEMEA ARTICLE YENYE MASHIKO...hapo kichwa na habari havina uhusiano.....
tunataka vitu vya ukweli ngoja twende TBC kama umemem hautatakatika
CHEZEA
 
Hawa ni watu wa shoka kuna mapunguani humu kila siku walikuwa wanatuaminisha kuwa zito msaliti kanunuliwa sasa hivi wanabidi wachutame.

Mkuu upo upande upi ktk hili? Upande escrowTeam au wazalendoTeam?
 
Naona kamati ya Uongozi imeitwa mda huu sijui kunani
 
Jana usiku ccm wamekubaliana kutetea kwa namna yoyote asin'goke mtu! Cha ajabu eti ni Shinikizo kutoka kwa bwana mdogo Riziwani kweli sisiem wamelogwa! Nimeona jambo la ajabu jinsi dogo alivyokuwa na mamlaka alikuwa anawafokea wazee wote kimya eti wakiwaza kuwa ametumwa na baba yake.
 
Big up Zitto na Filikunjombe....nawakubali sana.....

Leo tunataka myapunge hayo mapepo ya ujambazi.......yani sisi tunakufa huku hatuna dawa wao billions of shillings zapumua kwenye accounts zao....Manina zao...... na watajwe tu hadharani.....
 
Mbona naingiwa na wasi wasi kama zitto ataipaza hii penalty. Mungu wa wangu mwelekeze huyu kijana wako
 
Kwa nini ZZK aliruhusu waende, mi nakwambieni mafisadi wana nguvu utashangaa ripoti itawasilisha kitu kipya kabisaaaa

Hii ni kamati na wao no wajumbe wa kamati, kuwazuia wajumbe kuhudhulia inaweza kuvuruga utaratibu wote.
 
haya yakiwa yanafanywa kwa maslahi mapana ya taifa letu na sio hasira za mkizi yanaweza kuketa tia kubwa sana
 
Naomba mtu mwenye link ambayo tutaweza sikiliza Bunge Online leo jamani.

HAPPY ESCROW DAY TANZANIA.
 
Back
Top Bottom