papa anayevutia
Senior Member
- Sep 5, 2012
- 153
- 52
mkuu hata mimi nipo hapa kigali lkn kwa mapenzi yangu ya inchi yangu nachelewa sana kulala na nawahi kuamka ili nipate update zinazojiri nyumbani.......TUSEME ENOUGH IS ENOUGH!.......MUNGU IBARIKI TANZANIA
Kaka nilikuwa Kigali jana..sasa nipo Rubavu..ntakuwa huko Ijumaa mkuu...Yatosha Sasa...silali ..leo nimeamua hata kusitisha shughuli.nataka nifuatilie hadi nijue hatima ya sakata hili