DODOMA: Zitto na kamati yake wamekesha

DODOMA: Zitto na kamati yake wamekesha

Nafikiri kama kuna mtu kaumizwa na hili sakata basi wewe na wajomba zako Mchambuzi na NguruV3 mtakua mmeguswa sana kiasi kwamba mnajiaibisha hata jinsi mnavyochangia mnaonekana wazi. Mkisikia Jina la Zito mnatamani ardhi ipasuke muingie... mlimtukana sana, mkampaka sana matope na kinyesi cha usaliti kwa kulipwa na mabwana zenu wa ufipa lakini leo anaibuka shujaa akiwa na tumbili(sisimizi) mwenzie... ila kumbukeni leo wakati tunawapiga nyundo ya kichwa ccm, wakati huohuo tutakuwa tunapiga nyundo mwenyekiti wa kudumu a.k.a mfalme. Si unajua tena naye ka mgao alimegewa ki aina...

Endelea kutoa mapovu ila ukumbuke saa 11 tunakata mzizi wa fitina ili watanzania wawajue wanafiki na wasaliti halisi wa taifa hili badala ya kuwa mnawapakazia na kuwachafua washindani zenu kwa tamaa zenu za kung'ang'ania madaraka.

Hili kokolo la leo litasomba kuanzia nyangumi, papa,sangara,vibua,dagaa mpaka mazalia ya samaki.

Leo ni leo bila kujari kikwete wala mbowe tutawahukumu wote
 
hii kit nimeipenda sana ndo maana mlienda jkt ni kwa mambo kama hayo.....well done nahisi kuna mtu hapa lazima ateme unga hahahhaaa!!
 
Hapo kwenye a ya neno la kwanza ungeweka o ujumbe ungeeleweka vizuri mkuu!
 
It says a lot about our legislative body when a committee chairman does not trust its security. Yaani hadi walinde wenyewe.
 
Tezi dume
Hiyo ni kazi ya kamati ya PAC wala si kazi ya Zitto.

Mwambie asome majina ya Uswiss.

Zitto wa Buzwagi siyo Zitto wa Escrow by Mchambuzi

Lakini mbona hajapoteza uwezo wake wa kujenga hoja na kunyoosha kidole kama alivyokuwa nabii Eliya?
 
Last edited by a moderator:
kweli kabisa wewe miaka hamisini ya uhuru lakini hakuna kitu chochote cha maana kilichofanyika tunadidimia tu vijana tuko choka mbaya hiii mizeeee kazi yao kubwa ni kuiba tu yani wangetupa hiyo mizee tungeipasua kabisa


Hongereni vijana! Toeni hiyo mizee mijizi kabisa! Imeiba toka Uhuru mpk leo na ndiyo imedidimiza nchi kwa akili finyu na ujambazi wa Mali za umma!
Hivi vijana tunashindwa nini kuji organize tukakamata mmoja mmoja na kuchinja mpk ikaisha?
Jeshi liko wapi? Tutoleeni hii system ovu iliyojaa ufisadi wizi na uuaji!
 
Umeme ulikatwa mapema tu huku Morogoro Turiani baada ya kile kipindi cha asbh cha bunge. TANESCO acheni watanzania wajionee majadiliano ya hatma ya fedha zao. Kwanini mnakata umeme? Hata hivyo kwa wingi uliopo wa vyombo vya habari, taarifa hizi tutazipata tuuuu!
 
Back
Top Bottom