DODOMA: Zitto na kamati yake wamekesha

DODOMA: Zitto na kamati yake wamekesha

jamani mimi nimechoka kuwapa kampani hawa jamaaa. Maaana Twitter na FVB na Insta kote tunaendelea kukamua

Hivi kama kuna watu wanaweza kuwatumia movies au tvshows wapoteze muda please do so. Lakini nawaaminia hawa walipitia JKT so...


10810048_545009738966631_948544126_n.jpg

Uko wapi kafulila?
 
"NINA UCHUNGUUUUU..... kumbe kuna ka Billioni 1.5 kwenye akaunti inapumua.
 
Nimeipenda sana hii! hii ya kutokulala hadi kieleweke ni noma! inaonesha vijana wapo tyr kwa vita.

Ila sijapenda taarifa kuwa baadhi ya wajumbe wa PAC wa CCM walienda kuwa-brief wenzao kikaoni--IKULU ndogo DODOMA.

Kwa nini ZZK aliruhusu waende, mi nakwambieni mafisadi wana nguvu utashangaa ripoti itawasilisha kitu kipya kabisaaaa
 
Damn Whre is kafulilaaaaa. Mara ya mwisho usiku alikuwa makao makuu ya Polisi Dodoma, Tuambiwe kama ameamka salama
 
Mungu awatie nguvu kwa ujasiri wao, na pia kwa uzalendo! Mafisadi wote wawajibishwe bila kujali vyama vyao!
 
Hivi jamani Tanzania kuna watu wako chini ya sheria na wengine wako juu ya sheria maana mpaka sasa ilitakiwa wote wahusika wawe chini ya ulinzi mkali hadi isomwe ripot lakini nashangaa kuona watu wako mtaani wanakula bata.
 
hakuna kulala hata mimi sijalala kabisa
 
poleni sana wakuu,ila shukrani za kipekee kwa deo japo anaonekana kuchoka flani na hofu nyingi
 
jamani mimi nimechoka kuwapa kampani hawa jamaaa. Maaana Twitter na FVB na Insta kote tunaendelea kukamua

Hivi kama kuna watu wanaweza kuwatumia movies au tvshows wapoteze muda please do so. Lakini nawaaminia hawa walipitia JKT so...


10810048_545009738966631_948544126_n.jpg
Utazani wanachuo wanajiandaa kwa paper ya asubuhi.
 
Mungu wa mbinguni awape neema ya kusimama na kueleza kinagaubaga upuuzi wote uliofanywa na mafisadi hawa
 
Back
Top Bottom