Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,747
- 14,649
Sasa na wewe hujagundua kuwa huo ni uskenge?Bunge kwa kushirikiana na CRDB wamefanya mashindano ya Michezo mbalimbali huku ubunifu mkubwa ukiwa Kwenye Shindano la Kula Ubwabwa
Mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Rais Dr Mpango aliyesindikizwa na Spika Tulia na Waziri mkuu mh Majaliwa
Wabunge walioshindana Kula Ubwabwa wameonekana kuufurahia sana mchezo Huo
Source: Clouds
Sabato Njema Watanganyika!