Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 59,191
- 69,712
Juu Pale Kama Unakwenda MicheseKikuyu, St. Mary.
Juu Pale Kama Unakwenda MicheseKikuyu, St. Mary.
😅 mkuu kwa nyakati hizi siwezi jibu hili..Juu Pale Kama Unakwenda Michese
SAWA Karibu Arusha Hapa Mianzini😅 mkuu kwa nyakati hizi siwezi jibu hili..
Twin bora umenichekesha jamani maana nimehuzunika sana.Wakikugusa hata kwa mchubuko tu,nitafanya jambo Dunia nzima ishangae...
Asante sana.SAWA Karibu Arusha Hapa Mianzini
Hawa wasingezima internet bunge lingeenda, ndio maana wakamficha mtu waoKikuyu, St. Mary.
Niambie umbali wake na Tume ya uchaguzi upojeKikuyu, St. Mary.
Njia ya bungeni bado imefungwa hadi leo, na utepe umezungushwa…Hawa wasingezima internet bunge lingeenda, ndio maana wakamficha mtu wao
Mbali sana, labda KM 15. (Sio mkadiriaji mzuri wa umbali.Niambie umbali wake na Tume ya uchaguzi upoje
Bodaboda anatumia muda ganiMbali sana, labda KM 15. (Sio mkadiriaji mzuri wa umbali.
Unataka kikuyu then Iringa road, then uzunguni, Then Duwasa sijui mtaa unaitwaje, then Makulu.. then Udom iliyoungana na Njedengwa investment area ambapo iko Tume.
Mbali sana, labda KM 15. (Sio mkadiriaji mzuri wa umbali.
Unataka kikuyu then Iringa road, then uzunguni, Then Duwasa sijui mtaa unaitwaje, then Makulu.. then Udom iliyoungana na Njedengwa investment area ambapo iko Tume.
Hii Kama kweli rasmi sasa tupo Cosovo.Wanaoishi kata ya Mbabala Dodoma hapo nasikia kuna msako wa kimya kimya nyumba kwa nyumba kuchukua vijana wa kiume tu muda huu.
Hongera kwa kuwa na mtaa shem kama shemMtaani kwangu kimya..
Shem khaaa!Hongera kwa kuwa na mtaa shem kama shem
Hapana mkuu sina ueelewa na hilo.View attachment 3497768
Kwenye hivi vijiji vinavyozunguka Ikulu hali ya Uchumi ikoje hasa kwa vijana, na Wastani wa Elimu yao uko vipi.
Ni jambo la heri tupo salama, nimefurahi kukuona pia mitaa ya st johnShem khaaa!
Nafurahi kukuona upo salama.
Nimeona wewe ni mtaalamu wa Dodoma.Hapana mkuu sina ueelewa na hilo.