DODOMA: Kama Kuna Mdau Muda Huu Upo Macho

DODOMA: Kama Kuna Mdau Muda Huu Upo Macho

Nimeona wewe ni mtaalamu wa Dodoma.

Inabidi NGO zipatembelee kuwaelimisha hao vijana, wapelekwe fursa za kiuchumi na Elimu, pia wajifunze elimu ya uraia siku watu wakiandamana hao wa hapo ndio wanaanza kazi
Mkuu nani atawapa ruhusa ya kufanya intervention ya aina hiyo?

😅😅😭
 
Mkuu nani atawapa ruhusa ya kufanya intervention ya aina hiyo?

😅😅😭

Tanzania ni nchi ya ovyo sana kiongozi wa Serikali mpe Rushwa tu umemaliza.

Imagine hadi sasa kuna wageni wanaingia na kupewa ardhi kwa sababu ya Rushwa

CCM ni Wajinga na walishakosa maarifa ya kuikomboa nchi. Maandamano yalifanikiwa kwa sababu Kuna kundi la bodaboda na Wa machinga wengi sana ambao hawana kazi rasmi.

Tumeona fursa kubwa kabisa ya kuleta Uasi sebuleni kwao, sababu hawana uwezo wa kuzuia as long as utawapa kitu kidogo.

Now ni kuongea na watu wa wapeleke misaada ya kimkakati hapo, kazi ya ziada itamalizwa na wananchi
 
Back
Top Bottom