DODOMA: Kama Kuna Mdau Muda Huu Upo Macho

DODOMA: Kama Kuna Mdau Muda Huu Upo Macho

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
15,202
Reaction score
25,378
Usingizi umepotea ukiwa Dodoma basi tuambie kinachoendelea toka saa 23hrs hadi muda huu?.

Nimepita hapo naelekea Singida nyuma nasikia kimewaka kwenye baadhi ya mitaa, kuwa njugo zina rushwa ovyo!.

Je, ni kweli ?.
 
Wanaoishi kata ya Mbabala Dodoma hapo nasikia kuna msako wa kimya kimya nyumba kwa nyumba kuchukua vijana wa kiume tu muda huu.
Hadi asubuhi hii nini kimetokea?.

Ni kweli vijana wamechukuliwa?
 
Wanaoishi kata ya Mbabala Dodoma hapo nasikia kuna msako wa kimya kimya nyumba kwa nyumba kuchukua vijana wa kiume tu muda huu.
Ukiwa unatoa taarifa hakikisha ni taarifa ambayo una uhakika nayo ili kujiepusha na matumizi ya neno NASIKIA this NASIKIA that.
Mambo ya kusikia sikia muachie Samuya.
 
Back
Top Bottom