impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,844
- 7,904
Sijui sero ipi itatutosha au tutakusanywa kwenye viwanja vya mpiraKesho anaweza kukamatwa nani? Hii nchi sasa haitabiriki.....anaweza kuagiza watanzania wote tuwekwe rumande?
Sijui sero ipi itatutosha au tutakusanywa kwenye viwanja vya mpiraKesho anaweza kukamatwa nani? Hii nchi sasa haitabiriki.....anaweza kuagiza watanzania wote tuwekwe rumande?
Cha ajabu wakati wa uchaguzi ndiye unakuwa wa kwanza kuiombea kura..Hiyo CCM na bora ife tuh
Hivi bado fungulia dogs ipo?Yaaani walichofanyiwa ni sawa na enzi zetu unaenda kuruka ukuta uingie kutazama mechi , afu Bahari mbaya ukiingia tu ndani unakuta askari huyu hapa na mbwa , walichokuwa wanafanya askari wale ni kukapa adhabu ya kukapa unaangalia ukutani huku mechi inaendelea afu mchezo ukibakiza dk10 za mwisho ndo wanawaachieni mkaangalie game, kipindi hivyo nilikuwa maalufu kwa kina la "fungulia mbwa".
Sasa hawa jamaa Nimeona wamefanyiwa hivyo hivyo ila tofauti yake tu wao ni kwenye siasa.
Kwani maamuzi yashafanyika na wenye kuvuliwa gamba tayari.
Ndiyo ipo kwani kina bashe, msukuma wamefanyiwa Nini ..?? Si wamepigishwa mchezo wa fungulia mbwa au hujaelewa kilichofanyika..?Hivi bado fungulia dogs ipo?
Hujielewi wewe! Hujazuiwa kuwa RAIA wa Kenya. Hata sasa ukitaka nenda county ya Mandela ukawe chambo kwa alshabaabMungu kwa nini ulinifanye nizaliwe Tanzania,bora ningezaliwa Kenya
Acha kufuruMungu kwa nini ulinifanye nizaliwe Tanzania,bora ningezaliwa Kenya
Na wakati wa M7 ikoje?Hahahaaa.....hivi na Uganda enzi za IDD ilikuwaje?