Dr.Mo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 3,809
- 1,648
Umpe case ya kaposis sacorma chief..alafu mnyonyo wa hatari..kumbe badala ya ku-crack wodini yeye anashinda jf..ila usimle kichwa..Dogo tulia, ntakuviringisha usome miaka saba?? Ujue nakufahamu! Tutakutana mwaisela dermatology cube nikupe case ngumu mpaka uombe pooo!