Doctors

Wako wasio wahuni ila tatizo ni macho ya mabint wengi yako kwao.
Ukimpata anayeithamini kazi yake kukuacha umenuna kisa ameitwa for emergency sio shida,ila akirudi ata explain. Ni wababa wazuri pia kwa familia.
Ukiwa nae jitahidi tu kumuamini ili uwe na amani moyoni.

WENGI malaya tu na walevi saaaanaa
 
aisee tuko tofauti, dr hanistui kabisa, bora mwanajeshi, tena kama ana nyota au komando mie hoi.

au injinia full mafiziksi na mamshimba mie ON kabisa, dr kutwa nzima sampo.zake K? Njawahi kabisa kutamani.

Hebu waambie bhana, mhandisi akiifanyia pamyuteshen na kombineshen K lazima ikubali kuwa intagretedi tena bila kujali limits. Sasa daktari kila siku anashika K mpaka anakosa apetaiti ya kuipa haki yake.
 
Kwani huo udokta ni ule wakusomea miaka mi5 au hata ukiwa na kasetifiketi ukavaa nguo nyeupe zile,utakuwa unazimikiwa tu?
 
Uwiiiiiii same thing!!yaan mm nikiona mkaka doc ata awe mbaya vp yaan ,hua namkubali sana am real crazy over them kwakwel,nawapenda mno mno hua naassum vitu vingi sana km nikiwa na mme doc like wtt wangu watakua safe all the tym!!!nawapenda kwakwel ila cjabahatika ata ckumoja Kupata ata doc wa kunikonyeza mpk nimekata tamaaaa yaan!!!

mie kabsa thy leave me breathless...huniambii kitu kwa hawa watu...
 
Nadhani umejijibu mwenyewe dokta. Nina watu wa karibu ambao ni madaktari and they are horrible husbands and fathers!!!

Eli 79 Ni sawa na kusema eti ukiolewa na Mchumi mahiri na nyie uchumi wenu utakuwa mzuri kwa sababu ya weledi wake. Au ukiolewa na Banker basi mtakuwa mna pesa nyingi kwa kuwa mume amesomea kutunza pesa?!
 
Yan mleta mada nakuunga mkono kwa asilimia kubwa. Natoa ushuhuda nina dr.kwa muda flan sasa kwakweli nafurahi kbs na sijajuta mpk saiv. Mapungufu hayakosekani km binadam ila kwakwel nikilinganisha na mjeshi mmoja niliyekua nae nusu nife na pressure kwnd hosp sina ugonjwa japo nahic naumwa, dr. ndo akaokoa jahazi.

Mpk saiv sijaonja uji wa shuluba, hata km ikigeuka lkn nishapata history ya kuzungumzia kwmb niliwah kufurahia maisha.

Japo makoti meupe hata wauza nyama wanavaa lkn nmegundua sare wanazovaa watu wkt mwngne zinatoa maana flan japo hii sio sheria ni mtazamo tu. Mtu anavaa sare mwanzo mwisho ni mabakamabaka yan tabu tupu.

Na ukiolewa na Mchungaji je? Maana nao wanavaa majoho meupe!!
 
yaani huwezi kuta doctor ananuka jasho,yaani utadhani wanaambizana cologne gani watumie..pili ongea yao tu..am dead ohhh ni wastaarabu sana...mambo yao ni straight..its either yes o no...yaani kudos to you guys
 
Na ukiolewa na Mchungaji je? Maana nao wanavaa majoho meupe!!

Hahaha kuna tofauti ya majoho na makoti, majoho japo ni meupe ila yapo km magauni na hayana vifungo yameshuka moja kwa moja. Yan kwamfano bahat mby japo sitegemei huyu niliye nae tukapishana, mtongozo utakao kuwa kwny shortlisted ni madaktari tu.
 
Hebu waambie bhana, mhandisi akiifanyia pamyuteshen na kombineshen K lazima ikubali kuwa intagretedi tena bila kujali limits. Sasa daktari kila siku anashika K mpaka anakosa apetaiti ya kuipa haki yake.

Jmn dr. kushika hiyo K haina uhusiano kbs na kupoteza hamu ya mke wake. Kumbuka zl K anazozishika zinakuaga gonjwa. Nymbn akikutana na ya wife isiyoumwa raha tupu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom