Doctors

İla hawa wamezidi, wakiwa shifti za usiku wanapigana miti ile mbaya. Nna ushahidi staki maswali
Mkuu shift za usiku wakati mwingine mambo kichwa inavyouma na maemergency utapiga saa ngapi kaka
 
Wako smart kichwani hawa madaktari ila ni wahuni kweli
Ha ha ha..mkuu umenifanya ncheke kwa nguvu sana... umeongea kama babu yangu anavyoongeaga hasa akiwa anakiamini anachokisema..wahuni hawakosekani ila si wengi..
 
Uwiiiiiii same thing!!yaan mm nikiona mkaka doc ata awe mbaya vp yaan ,hua namkubali sana am real crazy over them kwakwel,nawapenda mno mno hua naassum vitu vingi sana km nikiwa na mme doc like wtt wangu watakua safe all the tym!!!nawapenda kwakwel ila cjabahatika ata ckumoja Kupata ata doc wa kunikonyeza mpk nimekata tamaaaa yaan!!!

Sasa kama una kinyaa itakuwaje.....halafu hapo kwa watoto hiyo assumption ifikirie mara mbili
 
Last edited by a moderator:
ila haya maisha sijui yakoje, hakunaga kanuni kwamba mwanaume wa fani fulan atakuwa na tabia nzuri zaid. tabia kama zilivyo za wanawake kwamba hazitegemei fani bali mtu binafsi na jins alivyokuzwa na zaid jins anavyopenda kuwa.

ukiniuliza mimi nitakuambia hakuna mume mzuri kama mhandisi, yaani sikuelewi kabisa kwasababu among all huyu ana meet vigezo vya kuwa mume, hanaga mambo ya ubishoo, ingawa pombe na sigara wengi wao wanavuta.

wengi wao hupenda sana kuona watoto wao wana excel na hujitahd sana kwenye kuhakikisha maisha yanaenda namaanisha sio wabahili hata kidogo.
 
Uwiiiiiii same thing!!yaan mm nikiona mkaka doc ata awe mbaya vp yaan ,hua namkubali sana am real crazy over them kwakwel,nawapenda mno mno hua naassum vitu vingi sana km nikiwa na mme doc like wtt wangu watakua safe all the tym!!!nawapenda kwakwel ila cjabahatika ata ckumoja Kupata ata doc wa kunikonyeza mpk nimekata tamaaaa yaan!!!

;);) usijifiche sana! Jitahidi kutembelea hospitali kusalimia wagonjwa utawapata tuu!
 
aisee tuko tofauti, dr hanistui kabisa, bora mwanajeshi, tena kama ana nyota au komando mie hoi.

au injinia full mafiziksi na mamshimba mie ON kabisa, dr kutwa nzima sampo.zake K? Njawahi kabisa kutamani.

Nakushauri utupende sisi makuli. Tukishabeba mizigo ya watu, moja kwa moja tunarudi nyumbani kubeba mizigo ya home.
 
aisee tuko tofauti, dr hanistui kabisa, bora mwanajeshi, tena kama ana nyota au komando mie hoi.

au injinia full mafiziksi na mamshimba mie ON kabisa, dr kutwa nzima sampo.zake K? Njawahi kabisa kutamani.
hahahahaha
Na sisi Mazombie je?
 
USIHOFU UMEPATA! kabintispecial Nakaribia kuua MD5 hapa MUHAS,nitafute nitafanya INTERSHIP with a WIFE MATERIAL...!!
 
Last edited by a moderator:
Uwiiiiiii same thing!!yaan mm nikiona mkaka doc ata awe mbaya vp yaan ,hua namkubali sana am real crazy over them kwakwel,nawapenda mno mno hua naassum vitu vingi sana km nikiwa na mme doc like wtt wangu watakua safe all the tym!!!nawapenda kwakwel ila cjabahatika ata ckumoja Kupata ata doc wa kunikonyeza mpk nimekata tamaaaa yaan!!!

Hujabahatika hata siku moja kwa sababu wewe una kinyaa wakati wao hawana...
 
aaaaj hawa wanaolala na manesi wao? wapite kushoto tu

Nyie mbona mnashikishana masinki ya chooni hayasemwi? Hii ni tabia ya MTU kama ni kicheche hata apelekwe kwenye office yenye ufuatiliaji mkali atalambwa Miti tuu!!
 
Wako smart kichwani hawa madaktari ila ni wahuni kweli

Wako wasio wahuni ila tatizo ni macho ya mabint wengi yako kwao.
Ukimpata anayeithamini kazi yake kukuacha umenuna kisa ameitwa for emergency sio shida,ila akirudi ata explain. Ni wababa wazuri pia kwa familia.
Ukiwa nae jitahidi tu kumuamini ili uwe na amani moyoni.
 
Nyie mbona mnashikishana masinki ya chooni hayasemwi? Hii ni tabia ya MTU kama ni kicheche hata apelekwe kwenye office yenye ufuatiliaji mkali atalambwa Miti tuu!!

heeeee! wap huko kwenye kushikishwa masinki mkuu?
 
Sijapenda ku-quote hii post, lakini imenilazimu. Nakuunga mkono, ukweli pia mwanamke huwezi kutumia mambo yako eti kumpata doktareee, maana kwao ni za kawaida na wala haziwachanganyi (maadili) na pia naamini huwa wanaziona mara kwa mara, hvyo hawawezi kuona yako ni special. Cha msingi tu ni pale anapotaka mwenza wa kuoa bac, lakini kutishiwa kwamba watapata njaa ya ile mambo hilo sahau. Mi nadhani wanaamua tu, ile mambo wanaipata.

Una hakika na unachosema?! Pale TMJ hospital yupo tabibu mmoja uraia wake ni kutoka Congo DRC. Wadada wanaweza wakachangia wanaofahamu shuughuli yake. Kama sikosei miaka ya nyuma ulishawahi kuletwa uzi hapa kuhusu tabia yake. Kwa leo nitoe mfano huo mmoja.

Kifupi tabia na profesheni ya mtu ni vitu viwili tofauti kabisa. Ni sawa na kusema ukiolewa na Police utakuwa salama?!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom