Good old days

Good old days

Leejay49

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
19,705
Reaction score
62,601
Ilaa

Nimekaa nikakumbuka zamani kidogo,. Kipindi ambacho hata ule kitu gani ( haijalishi ni wanga au protini ) Kilo zangu hazijawahi kuvuka 50,. Yaani zinacheza kwenye 48kg zikizidi sana 52kg🤗🤗

Sikuizi napambana walau nipungue nifike Tu 70kg (ndio imekuwa my dream weight 🥺🥺).. Yaani nacheza kwenye 86, 87 nikizubaa kidogo Tu 90 hii Hapa 😩😩

Kuna kipindi nilijipangia ratiba nzuri Tu nikawa nafanya mazoezi kila siku, baadhi ya vyakula nikaacha na fasting siku2 kila wiki,. Ila ukipima unakuta ndio Kwanza umeongezeka kila Mbili au tatu badala ya kupungua... I gave up

Kuna nguo zangu nilikua navaa zamani saizi naziangalia Tu nabaki kutikisa kichwa kwa huzuni,.

Watu sasa wakianza kukwambia "umenenepaaaa" hata kujipost nowadays naogopa ikibidi sana napost pictures za zamani kwasabu watu lazima wanotice and I can't take it as a compliment 😭😭

🙌🙌🙌
 
Sijawahi vuka kilo 58. Nifanyaje ninenepe aisee, nikinenepa nanenepa mashavu tu.
Bonge Lily Tony msaada please
1862.jpg
 
Siri ni chakula.

Umri unavyoongezeka, mwili unahitajika kutoa zaidi ya unavyopokea. Hivyo punguza kiasi cha chakula unachokula.

Siri ipo kwenye amount ya unachokula na aina ya vyakula unavyokula.

Cha mwisho, hakikisha kazi za kuuweka mwili safi hauachi, na pia usiache kutembea ama kukimbia hapa na pale.

Yani kimsingi usikae kinyanya.

Nimeyasema hayo nikiwa mhanga wa uzito mkubwa pia, nimetoka 80Kg now niko 69Kg.

20260808_080008(1)(1).jpg
 
Kilo 87 apo mbona shega mamie, sifa ya toto la kike liwe na upaja flani hivi na katumbo kwa mbali sio flat kabisa, tukubali tu tunakua Mkuu haswa kama umezaa! ila sasa uzuri uwezo wa kujipunguza nao upo inawezekana discpline tu.. ila sikushauri. We live once, enjoy n love yourself.
 
Ilaa

Nimekaa nikakumbuka zamani kidogo,. Kipindi ambacho hata ule kitu gani ( haijalishi ni wanga au protini ) Kilo zangu hazijawahi kuvuka 50,. Yaani zinacheza kwenye 48kg zikizidi sana 52kg🤗🤗

Sikuizi napambana walau nipungue nifike Tu 70kg (ndio imekuwa my dream weight 🥺🥺).. Yaani nacheza kwenye 86, 87 nikizubaa kidogo Tu 90 hii Hapa 😩😩

Kuna kipindi nilijipangia ratiba nzuri Tu nikawa nafanya mazoezi kila siku, baadhi ya vyakula nikaacha na fasting siku2 kila wiki,. Ila ukipima unakuta ndio Kwanza umeongezeka kila Mbili au tatu badala ya kupungua... I gave up

Kuna nguo zangu nilikua navaa zamani saizi naziangalia Tu nabaki kutikisa kichwa kwa huzuni,.

Watu sasa wakianza kukwambia "umenenepaaaa" hata kujipost nowadays naogopa ikibidi sana napost pictures za zamani kwasabu watu lazima wanotice and I can't take it as a compliment 😭😭

🙌🙌🙌
Mkuu unachopitia ndicho napitia mimi. Nlikuwa nakula tu kilo zangu zilikuwa zikizida saba 59 ila jilikuwa 57/58. Nilikuwa kipindi hicho natamani niongezeke ila now natamani jipungue hadi 72 lakini napo inashindikana.
Lei nimevaa kiofisa kila mtu ananiambia oya tumbo linakuacha hilo. Nikipunguza kula nakonda uso tumbo limegoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom