Ushindi ni kujishinda

Ushindi ni kujishinda

Elevenn

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
9,775
Reaction score
19,442
Mara nyingi ukitokea kwenye disfunctional family huwa kuna mawili...

1: Unakuwa beast...

2: Unakuwa people pleaser..

Upande wangu niligeuka kuwa pleaser... Na aisee my whole childhood was gone to waste... Iwe home iwe shule sikuwahi kuishi kwa raha maana I was a doormat.

Kinachotokea ni kuwa side effects hazionekani utotoni. Ukiwa mchanga unakuwa mzuri sana kumezea discomfort, unakaa kimya, unafuata maelekezo hata kama hupendi.

Ila ukiwa pleaser na baadae ukaja kujua ukwelii... Unageuka kuwa beast mbaya sana.

Maana unakuwa unajua yaliyo tokea si fault yako ila maumivu yana geuka kuwa chuki kwa dunia... Unaanza kuwa dhuru hata watu wasio na hatia. Na usipo kaa vizuri unakuwa ni mtu wa kusambaza maumivu kwa wengine.

Sasa nimejuwa kuwa kuwa beast au pleaser ni sawa tuu...

Maana beast huumiza wengine akiji please yeye mwenyewe

na pleaser hujiuumiza yeye mwenyewe aki please wengine

I've not seen my Dad for 4 full years and it's been the happiest season of my life. I don't hate him but we've got none in common.

It's funny that people see your worth when they can't access you anymore, but they already done showin you who they truly are.

Na huwa kuna zile dhana makabila na miiko ya ukoo ukiwa mzembe unarudishwa kwenye loop ile ile.
 
Aisee lakini Kuna dada fulani analalamika biashara ngumu basi nikampa idea ya kutoa offer ya chakula kuvuta wateja. Lakini hayuolko tayari ku adapt to change.

Ndio matatizo ya kutokuwa na eleimu
Offer!
Hapo ulimpa idea ambayo inaweza kumpata loss, ulimpa mwongozo wa namna itamsaidia na ataitumiaje?
 
Offer!
Hapo ulimpa idea ambayo inaweza kumpata loss, ulimpa mwongozo wa namna itamsaidia na ataitumiaje?
Anauza mihogo ya kukaanga nikamshauri toa offer ya chai kwa wateja. Yaani unanunua mihogo chai unapata bure.

Ila wasio na tabia ya kujisomea unawajua walivyo? Hajafanya chochote anaendelea na comfort zone yake
 
Anauza mihogo ya kukaanga nikamshauri toa offer ya chai kwa wateja. Yaani unanunua mihogo chai unapata bure.

Ila wasio na tabia ya kujisomea unawajua walivyo? Hajafanya chochote anaendelea na comfort zone yake
Ahaa ila chai ni expensive kwa biashara yake

Ni kweli ila pia wanakuwa hawako critic kama wasomaji.
 
Hakika bro . Ungekuwa wewe ndio muuza mihogo unge manage na kuendesha vipi bussiness Yako na kufikia mafanikio. Nina shauku ya kusikia mawazo Yako kaka
Ni kazi ya kipato cha kawaida

ILa inawezekana ningefanya kwa malengo fulani, kutoa offer pale ningeumiza biashara.
Hapo ningejiwekea malengo na kuhakikisha napata kiasi cha kunifanya nipate mtaji wa biashara nyingine. Ninge tafuta spot kama jirani na shule, ama chuo ambapo consumer wengi ni wanafunzi then nika ongeza ujuzi kwenye uandaaji labda kpita mihogo ya mayai nk
 
Ni kazi ya kipato cha kawaida

ILa inawezekana ningefanya kwa malengo fulani, kutoa offer pale ningeumiza biashara.
Hapo ningejiwekea malengo na kuhakikisha napata kiasi cha kunifanya nipate mtaji wa biashara nyingine. Ninge tafuta spot kama jirani na shule, ama chuo ambapo consumer wengi ni wanafunzi then nika ongeza ujuzi kwenye uandaaji labda kpita mihogo ya mayai nk
Aisee una mawazo makali kaka. Yaani una chagua location yenye mafuriko ya watu kisha una zindua bidhaa za surprise kama mihogo ya mayai.

Aisee nimeipenda sana hiyo . Hivi hiyo mihogo ya mayai inapikwa vipi ? Labda nijaribu home 😂😆😂
 
Aisee una mawazo makali kaka. Yaani una chagua location yenye mafuriko ya watu kisha una zindua bidhaa za surprise kama mihogo ya mayai.

Aisee nimeipenda sana hiyo . Hivi hiyo mihogo ya mayai inapukwa vipi ? Labda nijaribu home 😂😆😂
Ni ngano imechanganywa na mayai then inachanganywa na mihogo iliyo chemshwa
 
Pole sana. Hili ni tatizo halisi, na uponyaii wake ni internal ila wengi wana hangaika na kujitibu nje. Being a beast or a pleaser hizo zote,wala hazitatui tatizo la msingi, ni effects ambazo u have to look inside zaidi kuzitatua
 
Back
Top Bottom