Doctors

Doctors

Ha ha ha ha ha...Mkuu Aspirin ..umenichekesha sana dah nmecheka mno..siwezi fanya hivyo..nipo mbali kidogo..nlitaka tu kumjua Evelyn Salt kwa undani kidogo na hata kumuunganisha na network za kimatibabu bongo hapo na vitu ka hivyo na kama akipata dharura(nmemwaga mchele kwenye kuku wengi) ..siwezi fanza hivyo..mtoto mwenyewe pia namuonaga mjanja sana..!! si unamjua..?!

Usijali my dia Doctor babu Asprin kapata kijiwivu kisa ye kuli
nami nimesema nazimika na madoctor
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha ha...Mkuu Aspirin ..umenichekesha sana dah nmecheka mno..siwezi fanya hivyo..nipo mbali kidogo..nlitaka tu kumjua Evelyn Salt kwa undani kidogo na hata kumuunganisha na network za kimatibabu bongo hapo na vitu ka hivyo na kama akipata dharura(nmemwaga mchele kwenye kuku wengi) ..siwezi fanza hivyo..mtoto mwenyewe pia namuonaga mjanja sana..!! si unamjua..?!

We daktari acha janjajanja. Unataka kujıfanya Rais wa Vatican kumbe mfalme wa Swaziland. İla una bahati ka Evelyn Salt kamekudondokea. Nakushauri ukiwa unakafanyia ile tiba yenu pendwa uvae kondom mbili na mbili umeze kwa ajili ya kinga thabiti ya nje na ndani. Kabinti kana michepuko Wema Sepetu anapakaziwa tu.
 
Last edited by a moderator:
Duh haka kama mada sasa naona kamenoga ngoja na ma funist washuke sasa
 
Usijali my dia Doctor babu Asprin kapata kijiwivu kisa ye kuli
nami nimesema nazimika na madoctor

Hakyamama acha nicheki na mods wamadilishe İD yangu iwe Dr. Asprin. haya mazali yanayowaangukia kina Dr. Mo si ya kuchekea.

Mpaka tunaenda mitamboni huyu daktari kashalengeshewa michepuko mitatu. Najuta kuendekeza hisabati badala ya baiolojia.
 
Last edited by a moderator:
Soon nta introduce hiyo analyser on my profile importance in medicine only doctor can
 
Ila wana roho ngumu kweli, siku ukichepuka tegemea kung'olewa koromeo lako!!
 
Hakyamama acha nicheki na mods wamadilishe İD yangu iwe Dr. Asprin. haya mazali yanayowaangukia kina Dr. Mo si ya kuchekea.Mpaka tunaenda mitamboni huyu daktari kashalengeshewa michepuko mitatu. Najuta kuendekeza hisabati badala ya baiolojia.
Ha ha ha madoctor wanatambulika tu hata kwa maneno yao...Babu haupo hapo subiri zamu yenu nawe utapata huwezi jua
 
Last edited by a moderator:
We daktari acha janjajanja. Unataka kujıfanya Rais wa Vatican kumbe mfalme wa Swaziland. İla una bahati ka Evelyn Salt kamekudondokea. Nakushauri ukiwa unakafanyia ile tiba yenu pendwa uvae kondom mbili na mbili umeze kwa ajili ya kinga thabiti ya nje na ndani. Kabinti kana michepuko Wema Sepetu anapakaziwa tu.
Naona unaendeleza harakati za kuniharibia, ungejua tulikofikia huku pm ha ha ha
Acha niseme tu doctors are very sweet....
 
Hebu waambie bhana, mhandisi akiifanyia pamyuteshen na kombineshen K lazima ikubali kuwa intagretedi tena bila kujali limits. Sasa daktari kila siku anashika K mpaka anakosa apetaiti ya kuipa haki yake.

Wahandisi watamu bana, mimi zaman nlikua nawapenda sana madaktari ila nikaja kupata muhandisi yani sasa hivi hao madaktari nawaona kama kaka zangu tu.
 
huko pm ni sirini..mi nataka matibabu hapa hapa

nimekula kiapo cha usiri, mazungumzo kati ya daktari na mgonjwa wake yatabaki kuwa confidencial labda pale yatakapohitajika kama ushahidi kwenye vyombo vya sheria,
hapa hapafai
 
ooh..ngojea..naja...ilaaa,kuna mtu atakua mlangoni hapo,just incase nikimuhitaji faster
nimekula kiapo cha usiri,
mazungumzo kati ya daktari na mgonjwa wake yatabaki kuwa confidencial
labda pale yatakapohitajika kama ushahidi kwenye vyombo vya sheria,
hapa hapafai
 
Back
Top Bottom