kabintispecial
Member
- Feb 16, 2014
- 67
- 31
Yaani kuna kitu about this people, hata sielewi ni nini ila my dream ni kuolewa na mtu mwenye hii proffession. Hawa watu they got true love na wanajua kujali.
Yaani kuna kitu about this people..ata sielewi ni nin..ila my dream ni kuolewa na mtu mwenye hii proffession..hawa watu thy gat true love na wanajua kujali..
Yaani kuna kitu about this people..hata sielewi ni nini..ila my dream ni kuolewa na mtu mwenye hii proffession..
"doctors have got true love and care" hii kali ya May!!
Baada ya muda mreeeefu....naopoa leo! Maana kila tangazo huwa sina vigezo...leo nnavyo!
Nimesikia kuna uzi mpya huku mmu
unachosema ni kweli hasa wa sikuhizi..na ni kutokana na mazingira tunayokutana nayo... Ukipendwa na daktari akikuacha huwezi dumu na mtu mwingine(ushahidi nnao) ni wavumilivu mno..
Oh yeah?
I'm a hood surgeon.
What are my chances?
Yaani kuna kitu about this people..hata sielewi ni nini..ila my dream ni kuolewa na mtu mwenye hii proffession..Hawa watu they gat true love na wanajua kujali...