ha ha ha.... No comment...
............lol....... Jina lako kweli la jieleza... Huko aliko Ally Kiba atakua proud of you.....
Do you remember by Phil Collins)
Umenifanya nitafakari hii ...no comment...inasimama badala ya nini....
Do you remember by Phil Collins) .
He must be.................
.
<br />Umenikumbusha mbali... nasikitika tu hakuna wataalam wa ku upload hapa.... Ngoja tumjaribu VOR kama ni mtaalam wa Segere atufanyie mambo...
He! Hapo umeninunulia kesi ambayo haikuwepo...... lol
Ulikosea illibidi utumie ya EMT: Don't think outside of the box, smash it and resurrect monuments.... lol
Ndo nini ulale bila kumwaga bodyguard wako?. Una kesi ya kujibu...............lol....... Jina lako kweli la jieleza... Huko aliko Ally Kiba atakua proud of you.....
AshaDii,Kama wewe mtaalam wa Kiduku kuna wadau humu sio chini ya watatu (me inclusive) tunataka kujifunza.... Hongera bana kwa kujipa raha...