Do You Remember?

Do You Remember?

Its was last friday me na hubby we went this club,waooo n then they played this song 'lady in red'by chris de burge,n the way i like this song so i dance with him.it was fun coz the people in club was jus looking at us.


Yasmin i like the sound of this post.... Safi saaana, maana wengine hawachezagi na their men once they are married....lol... Good for you and Please keep on keeping on... Thank you for sharing....
 
Mwendabure Thank you for sharing..... ila tu ONE thing..... aaaisee mbona mbali saaana??? Inabidi uandae mazingira ya wewe kufurahi na kucheza karibuni.... How is your family you are so proud of??
<br />
<br />
Ndo hivyo AD! Familia haijambo! Majukumu yameniweka mbali kidogo na burudani, ukizingatia siku hizi burudani zimechakachuliwa mno na hawa vijana wa vyama vingi ati! Nakumbuka mi na mai waifu wangu tulikuwa na karatiba ketu.
IJUMAA- City Ambasador (zamani Gogo Hotel) hapo kulikuwa na WanaNjenje au Police Oficers Mess, Osterbay huko kulikuwa na Wazee Sugu (King Kikii)na Le Capitale.
JUMAMOSI- Mango Garden K'ndoni Hapo kulikuwa na Twanga Pepeta enzi za Rogat Hega (katapila) Adolph Mbinga nk.
JUMAPILI- MSASANI CLUB (Drive Inn) hapo kulikuwa na Bonanza la wiki na FM Academia (Wajelajela Gwa enzi hizo) wakati fulani walikuwa wakifanya onyesho la pamoja na Chuchu Sound, hapo utawapata Yusuf Chuchu, Mao Santiago, Omar Mkali, Jonico Flawa bila kusahau tumba za Gaby Katanga (Yero Masai) ilikuwa raha sambamba na umri saizi yake. Kwa sasa kilichobaki ni kulea watoto na kuhakikisha tunawanunulia elimu! (si kuwanunulia mitihani) teh teh teh!
 
Exactly... I like watching people dance (hivo unialike niku watch)... Have you ever watched the Legend of Zorro ya Banderas?? Ina Tango mle ndani kati ya Zetta Jones na Antonio Banderras mwenyewe.... I Love that part of the movie....

Very true Tango ni nzuri sana kuangalia na nimeangalia hio ya Banderras na nyingine nyingi hata moja ya kwenye Never Say Never Again Sean Connery...., na kuongelea dance movies..., vipi ...., "Save the Last Dance yule Mwanadada alivyochanganya dancing moves including ballet dancing.... so good

Best Dance Scene - Save The Last Dance - YouTube
 
Segere vipi jamani mbona hakuna anaelisifia



Umenikumbusha mbali... nasikitika tu hakuna wataalam wa ku upload hapa.... Ngoja tumjaribu VOR kama ni mtaalam wa Segere atufanyie mambo...
 
Hey AJ, mbona wanisingizia?? lol... Hapa King kaja kakutetea na nimelegeza kamba (thou you still have to answer to Sweetlady - Hivi umenotice she has not said her experience??) Mie nimekusamehe maana umenibania....
lol... AD umeniandama!... Nimeandikisha jina kwa Husninyo kucheza kiduku, ntakuja na maexperience ya kufa mtu, we endelea kusubiri. Ila vipi umemsamehe AJ bila kunishirikisha??..
 
<br />
<br />
Ndo hivyo AD! Familia haijambo! Majukumu yameniweka mbali kidogo na burudani, ukizingatia siku hizi burudani zimechakachuliwa mno na hawa vijana wa vyama vingi ati! Nakumbuka mi na mai waifu wangu tulikuwa na karatiba ketu.
IJUMAA- City Ambasador (zamani Gogo Hotel) hapo kulikuwa na WanaNjenje au Police Oficers Mess, Osterbay huko kulikuwa na Wazee Sugu (King Kikii)na Le Capitale.
JUMAMOSI- Mango Garden K'ndoni Hapo kulikuwa na Twanga Pepeta enzi za Rogat Hega (katapila) Adolph Mbinga nk.
JUMAPILI- MSASANI CLUB (Drive Inn) hapo kulikuwa na Bonanza la wiki na FM Academia (Wajelajela Gwa enzi hizo) wakati fulani walikuwa wakifanya onyesho la pamoja na Chuchu Sound, hapo utawapata Yusuf Chuchu, Mao Santiago, Omar Mkali, Jonico Flawa bila kusahau tumba za Gaby Katanga (Yero Masai) ilikuwa raha sambamba na umri saizi yake. Kwa sasa kilichobaki ni kulea watoto na kuhakikisha tunawanunulia elimu! (si kuwanunulia mitihani) teh teh teh!

NAJUTA kua most ya watu ulotaja hapa nawasikia tu bombani... I wish ningekua na knowledge ya Batalanda katika these things for he is good... Ila tu niseme kua nimefurahi kua atleast ulikua unafanya kwa saaana hivo you have kumbukumbu ulijenga ambazo ni dhahiri huacha ile bittersweet feeling when reminiscing... Mwendabure ASANTE for the deep insight... I hope mtu ambae amewahi weka vijiwe hapo apite na asome hii post yako... Uzuri najua Mango Garden, Msasani Club (naona wanaita new Msasani - sijui ndo mambo ya innovation)....
 
Very true Tango ni nzuri sana kuangalia na nimeangalia hio ya Banderras na nyingine nyingi hata moja ya kwenye Never Say Never Again Sean Connery...., na kuongelea dance movies..., vipi ...., "Save the Last Dance yule Mwanadada alivyochanganya dancing moves including ballet dancing.... so good

Best Dance Scene - Save The Last Dance - YouTube


I love this gal (Julia Stiles) fail in love with her in The Prince and me.... and mo' in Bourne Identity 3.... Na love her part in Monalisa Smile ya Julia Roberts.... Thank you, thou ujanitendea haki iko one sided....lol
 
lol... AD umeniandama!... Nimeandikisha jina kwa Husninyo kucheza kiduku, ntakuja na maexperience ya kufa mtu, we endelea kusubiri. Ila vipi umemsamehe AJ bila kunishirikisha??..


Si nilikua na hasira baridi dhidi yako.... baada ya post hii na jinsi ulivojipanga kujitetea.... nakusamehe na naungana na wewe kuhusu AJ... Mpaka kieleweke!!!! lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom