Kama inauma chomoaWe LAFA kweli lile dikteta nalifananishwi na yeyote labda mako.nda na sa7ya.
Police Wa Mtwara Ama
Hivi ulijifunzia wapi kiswahili?Hoo Magufuli anaua watu sana!
Katika haya matukio simsikii Bagonza wala wanaharakayi wenzie wakisemea.
Isiwe tu kama ile ya matibabu ya Kule bot imeishia huko hukoTunasubiri report kamili
Hoo Magufuli anaua watu sana!
Katika haya matukio simsikii Bagonza wala wanaharakayi wenzie wakisemea.
Khee...huyu Mzee Kikohozi naye ni lihangaya kweli kweli....amechoka kwani analazimishwa kuendelea kuongoza?Makamu wa Rais Dr Mpango amesema Amiri jeshi mkuu amechoka na yeye amechoka kuongoza taifa ambalo kila siku yanaripotiwa matukio ya mauwaji sehemu mbalimbali bila ya watuhumiwa kukamatwa...
Hana jipya lolote, yeye mwenyewe yuko madarakani kwa chama chake kufanya mauaji, na ukatili mwingi wa wazi. Anashangaa mauji wakati wao ni waasisi wa tabia hiyo? Aache utapeli wa kijinga.Makamu wa Rais Dr Mpango amesema Amiri jeshi mkuu amechoka na yeye amechoka kuongoza taifa ambalo kila siku yanaripotiwa matukio ya mauwaji sehemu mbalimbali bila ya watuhumiwa kukamatwa...
Una ushahidi?Hana jipya lolote, yeye mwenyewe yuko madarakani kwa chama chake kufanya mauaji, na ukatili mwingi wa wazi. Anashangaa mauji wakati wao ni waasisi wa tabia hiyo? Aache utapeli wa kijinga.
Unafirahia mwenzio kunyooka? Magufuli Kapandikiza binadamu wa ajabu sana.Utanyooka tu
Una ushahidi?
Ripoti ya kuungua kwa Kariakoo mpaka sasa iko kabatini.Tunasubiri report kamili
Hangaya akiambiwa majizi yamerudi anasema eti siyo kweli.Mnoo... huwezi amini tangu March mwaka jana hadi hivi ninavyoongea nna vi dili vyangu huko bongo nimeingiza 240M... kwa yule kichaa isingewezekana.
To be honest tunapumua hasa wa ile kanda tengwa.