Mauaji yaliyoendeshwa na huyo,vyombo vya habari ilikuwa mwiko kuandika. Ukijidai usikii ya Azory yanakukumba.Hoo Magufuli anaua watu sana!
Katika haya matukio simsikii Bagonza wala wanaharakayi wenzie wakisemea.
Mauaji yaliyoendeshwa na huyo,vyombo vya habari ilikuwa mwiko kuandika. Ukijidai usikii ya Azory yanakukumba.Hoo Magufuli anaua watu sana!
Katika haya matukio simsikii Bagonza wala wanaharakayi wenzie wakisemea.
Huna lolote jitu zima limekalia chaiMnoo... huwezi amini tangu March mwaka jana hadi hivi ninavyoongea nna vi dili vyangu huko bongo nimeingiza 240M... kwa yule kichaa isingewezekana.
To be honest tunapumua hasa wa ile kanda tengwa.
Wewe ni muongo boya kyande moja tu huna issue yoyote ukute waliwa kiboga huko nje magu alivyo danja ukapata uhuru zaidi wakuuza tigo yako kwa mabeberu na tz'Whatever evil money is.... being broke is not holy'
Asikuumize kichwa kyande mmoja huyoUkiona hivyo ujue vilikuwa vya upigaji! Na kuna siku lazima vitayeyuka tu!
Tuliozoea kuishi kwa mishe za halali hatukulia wala kukimbilia kwa beberu kama nyie wengine.
Umeangalia kwa jicho la 3 wangefikir hivi wasingekuwa wanaharakisha reportHaya mambo ya kupeana deadline za ajabu ajabu ndio yanachangia watu kubambikiziwa kesi.
Amandla...
IGP wa maofisa saba wanaoshikiliwa kwa Mauaji akomeshe maauaji yanayoendelea nchini, how can it be possible, polisi wanaoshikiliwa, kutuhumiwa, wazurumaji, watesaji leo hii wakakomeshe mauji hebu jamani nielewesheni, inawezekanaje wao wakakomesha au ndo Mchawi mpe mwana alee!!!“IGP yupo hapa, kama hayupo nakuagiza RPC umfikishie maagizo haya nataka kuanzia leo matukio ya mauaji ya kikatili yanayoendelea kuripotiwa katika maeneo mbalimbali ya nchi yanakomeshwa, tumechoka kuendelea kuongoza nchi ambayo kila siku kuna taarifa za watu kuuana na vyombo vya usalama vipo.
Na ya jaribio la Lissu isisahaulike.Tunasubiri report kamili
Utatulia tu kama Bia yetu jingalao jitombashisho YEHODAYA Jane Lowassa StrokeHata mimi yale majitu kama yaliyoko jela kwa ugaidi nafurahia sana uwepo wao pale
Mkuu Dr kaagiza nchi nzima msako ufanywe si Ddm peke yake.Why Dodoma Pekee ?
Hili hali ya Uharifu ni nchi nzima kwanini wasifanye uchunguzi ?
Na kama mpaka wakumbushwe basi kazi imewashinda...
Hili jina Samia ndiyo kalipatia kweli, limelipiku na la Chief Hangaya!Kubali kuwa huyo kafa kama alivyokufa Nyerere na ndugu zako...
Sasa ni zama za CHUI JIKE
Mungu Mwenyezi kaamua kwa baraka zake kuwaumbua waovu washika silaha za kutekeleza mauaji ama wafadhili wao, wote wanawekwa peupe sasa.Kwanini jeshi la polisi lina andamwa na kashfa za mauaji sana?
Maavi ya mbwa.Mnoo... huwezi amini tangu March mwaka jana hadi hivi ninavyoongea nna vi dili vyangu huko bongo nimeingiza 240M... kwa yule kichaa isingewezekana.
To be honest tunapumua hasa wa ile kanda tengwa.
Acha uongo wew kwa kazi gani unayoifanya mbon unajimwambafai san hata hela huna mbwembwe tu hamna loloteMnoo... huwezi amini tangu March mwaka jana hadi hivi ninavyoongea nna vi dili vyangu huko bongo nimeingiza 240M... kwa yule kichaa isingewezekana.
To be honest tunapumua hasa wa ile kanda tengwa.