Dkt. Mpango: Rais Samia anakerwa na mauaji yanayotokea nchini. Ameagiza Jeshi la Polisi kufanya msako kubaini wanaojiuhusisha na vitendo vya mauaji

Mnoo... huwezi amini tangu March mwaka jana hadi hivi ninavyoongea nna vi dili vyangu huko bongo nimeingiza 240M... kwa yule kichaa isingewezekana.

To be honest tunapumua hasa wa ile kanda tengwa.
Ukiona hivyo ujue vilikuwa vya upigaji! Na kuna siku lazima vitayeyuka tu!

Tuliozoea kuishi kwa mishe za halali hatukulia wala kukimbilia kwa beberu kama nyie wengine.
 
Yes thats the reality of the world. Ni kama vile ulivyofurahia na kunywa mvinyo wakati Lissu katandikwa risasi ndivyo nami nilivyoangusha Ng'ombe siku yule kichaa alivyokula kifusi pale chattle.

Kuimba na kulia ni kwa kupokezana.
Haaa... Mimi sikuchinja chochote ila nilihakikisha ile takataka inatokomea kabisa hadi kwa amstadam
 
Haaa... Mimi sikuchinja chochote ila nilihakikisha ile takataka inatokomea kabisa hadi kwa amstadam
Kama takataka yenu ilivyojichimbia pale chato si ndio...

Hapo kuna win na lose....

Ile takataka ya Amsterdam inaweza rudi bongo ila takataka yako ishageuka mbolea kwa mimea ya furu pale chato.
 
'Whatever evil money is.... being broke is not holy'
Unabishana na mtu mpumbavu sana. Yeye amekulia kwenye umasikini so anaona sifa kuitwa mnyonge mpumbavu mkubwa huyo achana nae.

Yule Mungu wao aliwajenga waamini kwenye umasikini akawabadilisha jina kuwaita wanyonge wakati kiukweli alimaanisha masikini mafukara wajinga wasio na m ele Wala nyuma.

Akiona mtu tajiri anawaza kijinga eti itakuwa umeona, mpuuzi sana ishu ni kuchezesha akili upate pesa sio kuzubaa walizoea kuambiwa usiibe jamaa anawadanganya Ila yeye anaiba anajenga mahoteli anahonga wanawake pale Kebbys demu kamjengea Ile hoteli wao wanabaki na upumbavu wao tu shenzi kabisa.
 
Hoo Magufuli anaua watu sana!

Katika haya matukio simsikii Bagonza wala wanaharakayi wenzie wakisemea.
Haya tena na kuna wafanyabiashara wale watano wakariakoo hadi leo haijulikani wapo wapi. Walimtusi sana yule mzee
 
Unabishana na mtu mpumbavu sana. Yeye amekulia kwenye umasikini so anaona sifa kuitwa mnyonge mpumbavu mkubwa huyo achana nae.

Yule Mungu wao aliwajenga waamini kwenye umasikini akawabadilisha jina kuwaita wanyonge wakati kiukweli alimaanisha masikini mafukara wajinga wasio na m ele Wala nyuma.

Akiona mtu tajiri anawaza kijinga eti itakuwa umeona, mpuuzi sana ishu ni kuchezesha akili upate pesa sio kuzubaa walizoea kuambiwa usiibe jamaa anawadanganya Ila yeye anaiba anajenga mahoteli anahonga wanawake pale Kebbys demu kamjengea Ile hoteli wao wanabaki na upumbavu wao tu shenzi kabisa.


Wewe siku zote huwa nakuambia una stress zinazotokana na umasikini.

Acha kukaa hapo alikoolewa dadako, tafuta hela!

Mwenzio huyo kakimbilia kwa mababeru! Tz hii wanaume halisi tu ndio tunasavaivu nyie mlenda mlenda mtabaki na stress na kutukana hovyo humu mitandaoni kama hivi.
 
Kama takataka yenu ilivyojichimbia pale chato si ndio...

Hapo kuna win na lose....

Ile takataka ya Amsterdam inaweza rudi bongo ila takataka yako ishageuka mbolea kwa mimea ya furu pale chato.
Ile haiwezi kurudi!

Imeshanogewa kule! Bora hii huku ni mbole inafaidisha mimea!
.
Ile kule wanaikula kina amastadam
 
Makamu wa Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa siku saba kwa vyombo vya upelelezi Nchini kuhakikisha wahalifu waliotekeleza mauaji ya watu watano wa familia moja katika kijiji cha Zanka wilayani Bahi mkoani Dodoma wanapatikana
 
Nadhani kuna vita kimya kimya inapiganwa bila Raia kujua!!inawezekana hizi ni hujuma kwa mama aonekane kuwa kashindwa kuongoza jeshi la polisi!! Hivyo wananchi wakose imani nae kwa kusema ameshindwa kuituliza nchi!!!Au ni hujuma kwa jiji la Dodoma lisiwe makao makuu au lichelewe kuwa makao makuu kwasababu maalumu hasa viongozi wa pwani hawataki mapato ya dar kuhamia Dom na mzunguko wa fedha kukwama!!!Au ni Mpango maalum wa kumuondoa mama madarakani kwa kumkatisha tamaa ili aachie ngazi wenye nchi wamuweke wanaemtaka!!!inaweza pigs tiki kwa jibu litakalo kuridhisha Kati ya hayo!!!!
 
Nadhani kuna vita kimya kimya inapiganwa bila Raia kujua!!inawezekana hizi ni hujuma kwa mama aonekane kuwa kashindwa kuongoza jeshi la polisi!! Hivyo wananchi wakose imani nae kwa kusema ameshindwa kuituliza nchi!!!Au ni hujuma kwa jiji la Dodoma lisiwe makao makuu au lichelewe kuwa makao makuu kwasababu maalumu hasa viongozi wa pwani hawataki mapato ya dar kuhamia Dom na mzunguko wa fedha kukwama!!!Au ni Mpango maalum wa kumuondoa mama madarakani kwa kumkatisha tamaa ili aachie ngazi wenye nchi wamuweke wanaemtaka!!!inaweza pigs tiki kwa jibu litakalo kuridhisha Kati ya hayo!!!!
Haya mauaji ni kama mauaji mengine
Na siajabu wakichunguza chanzo itakuwa
Mgogoro wa mali mambo ya kifamilia tu
Ngoja tusubirie police report watasrmaje

Ova
 


Wewe siku zote huwa nakuambia una stress zinazotokana na umasikini.

Acha kukaa hapo alikoolewa dadako, tafuta hela!

Mwenzio huyo kakimbilia kwa mababeru! Tz hii wanaume halisi tu ndio tunasavaivu nyie mlenda mlenda mtabaki na stress na kutukana hovyo humu mitandaoni kama hivi.
Acha kujipendekeza kwangu nitakupa mimba ya mqnd fala wewe. Nimemjibu mwingine we unaleta matako yako mbele yangu nitakufirrr mbwa wewe
 
Makamu wa Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa siku saba kwa vyombo vya upelelezi Nchini kuhakikisha wahalifu waliotekeleza mauaji ya watu watano wa familia moja katika kijiji cha Zanka wilayani Bahi mkoani Dodoma wanapatikana
Sielewi kwanini wahalifu wa Dodoma inachukua mda kukamatwa,,, isije tu kuwa profesheno job
 
Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango, ametoa siku 7 kwa Jeshi la Polisi likiongozwa na IGP Simon Sirro, kufanya uchunguzi wa mauaji ya watu watano wakazi wa Kata ya Zanka, kijiji cha Zanka jijini Dodoma yaliyotokea hivi karibuni.

Dkt Mpango ametoa maagizo hayo hii leo Januari 26, 2022, mara baada ya kutembelea eneo lilipofanyika tukio hilo na kutoa pole kwa wafiwa.
Kwahiyo IGP na askari walirelux wakisubiri agizo la VP
 
Back
Top Bottom