Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,919
- 33,502
Ukiona hivyo ujue vilikuwa vya upigaji! Na kuna siku lazima vitayeyuka tu!Mnoo... huwezi amini tangu March mwaka jana hadi hivi ninavyoongea nna vi dili vyangu huko bongo nimeingiza 240M... kwa yule kichaa isingewezekana.
To be honest tunapumua hasa wa ile kanda tengwa.
Tuliozoea kuishi kwa mishe za halali hatukulia wala kukimbilia kwa beberu kama nyie wengine.