Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Kiwingu gani ambacho katibu mkuu wa wizara ya usafirishaji anaweza kumuwekea Vice president?

Huyu bwana naambiwa sio katibu mkuu tena bali JIWE alimteua kuwa mbunge na hapo hapo akampa uwaziri wa usafirishaji!!!
 
Ni muhimu kusimamia haki, yule mama alifurahi kabisa tukiporwa ushindi na aliona haki ikipokwa. Kwa kejeli alitutamkia kuwa hata tukipiga kura kule ni sawa na kumwaga sukari Ziwa Victoria, wao ndiyo wataunda serikali.

Sasa serikali iliyoundwa bila haki inataka kumpoka haki yake.

Hivi wewe mrembo unakaa kabisa kwa akili na moyo wako. Watu watanzania wamchague Lissu over JPM. Are you for real. Naona mnazunguka kila mahali kuforce mada. Yani kimsingi ninyi Ni watoto wa baba NEGATIVITY. Mmeuza akili Sasa mnaongozwa na remote. It’s really a pity but Ndo hivyo kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake. Sifa moja ya wanafiki hawapingani wala hawagombani mana kuanzia sura mpaka maneno yao Ni Fake.

Ndugu yangu Lissu asingeweza kuchaguliwa kuwa Rais wa JMT. Angalia tu hata maneno yake huko aliko. Kuwa Rais Ni zaidi ya uharakati.
 
That’ll be quite dumb. Gossiping is endemic human nature. It’s always there, everywhere. It’s global. No proof needed. Maybe you can say he wished to gauge: “what do they say am I?”. Still that would be a no brainer.

With his wilful trashing of the constitution, rule of law, & human rights, double-standard decision-making, unpredictable temper, brash comportment and “in-your-face” bullying, he should know he’s the most loathed prez the country has ever had. Unless some vital wires are missing upstairs.

I believe he’ll certainly come back greatly humbled by this nasty experience of his own making. I noted the demise of his former CS squeezed out a good measure of arrogance from his persona. Once you take a peek into the hell hole, you never remain the same - Jiwe. The Lissu case is still a puzzling exception to many.

Umeongea ujinga kabisa.
 
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👍🏽
That’ll be quite dumb. Gossiping is endemic human nature. It’s always there, everywhere. It’s global. No proof needed. Maybe you can say he wished to gauge: “what do they say am I?”. Still that would be a no brainer.

With his wilful trashing of the constitution, rule of law, & human rights, double-standard decision-making, unpredictable temper, brash comportment and “in-your-face” bullying, he should know he’s the most loathed prez the country has ever had. Unless some vital wires are missing upstairs.

I believe he’ll certainly come back greatly humbled by this nasty experience of his own making. I noted the demise of his former CS squeezed out a good measure of arrogance from his persona. Once you take a peek into the hell hole, you never remain the same - Jiwe. The Lissu case is still a puzzling exception to many.
 
Muosha HUOSHWA!
Ni muhimu kusimamia haki, yule mama alifurahi kabisa tukiporwa ushindi na aliona haki ikipokwa. Kwa kejeli alitutamkia kuwa hata tukipiga kura kule ni sawa na kumwaga sukari Ziwa Victoria, wao ndiyo wataunda serikali.

Sasa serikali iliyoundwa bila haki inataka kumpoka haki yake.
 
Akisha ruhusiwa na madaktari, wasaidizi wake wmamwonyeshe mambo yaliyokua yanaongelewa na watanzania.

Anaweza jirekebisha

Kwa mimi ukiacha upande wake ule mbaya wa kuonea watu na kuto kuwa na ubinadamu , kwenye swala la usimamizi wa kazi yupo poa sana, hata nawaza huyu mzee asipo kuwepo yamkini kuna miradi itadorora.


Mungu amsaidie huko aliko, awe na afya njema.

Watanzania kama wewe unamaanisha. 90 % love their president. Nyie wengine wambeya tu na mnajiwekea mkakati wa kucomment then mnajiona wengi. JPM is loved. Nenda FB INSta kwenye watu na ID zao uone. Hapa unajidanganya na watu wengi Ni mkumbo hasa akijua hajulikani. Fanya kazi tunza wazazi wako wewe Acha kujidanganya.
 
Watanzania kama wewe unamaanisha. 90 % love their president. Nyie wengine wambeya tu na mnajiwekea mkakati wa kucomment then mnajiona wengi. JPM is loved. Nenda FB INSta kwenye watu na ID zao uone. Hapa unajidanganya na watu wengi Ni mkumbo hasa akijua hajulikani. Fanya kazi tunza wazazi wako wewe Acha kujidanganya.
Hujaeleweka unasimamia wapi
 
Hapo tu hawana wanalolijua kuhusu afya ya JPM lakini check wanavyobwabwaja. Sijui ingekuwaje kama wangekuwa na uhakika wa afya ya mheshimiwa kwamba siyo nzuri. Ndio maana kwa nchi za watu wambeya na wapenda udaku kama tz taarifa sensitive ni za kutoweka wazi maana hawa wasivyo na akili wanaweza kudiscuss ugonjwa wa rais vijiweni mwaka mzima hata kama rais atakuwa amepona na anachapa kazi. THE COUNTRY OF UMBEYA & UDAKU!

This is what actually happens when the tongue turns the brain its rightful employee -- instead of being vice versa.
 
Lisu amesema kuwa yuko tayari kuhukumia kama yeye na vyanzo vyake vitasema uongo kuwa jiwe is Over na Matelefoni kuwa jiwe yuko kzina. Tafuta majojiano ya jana , he was too cnfident na statenemt zake BAK Sky Eclat


Kabla ya yote, afafanue kwanza Nairobi Rais alitoka lini kwenda India, then India akatoka lini kuja Tanzania. Hatuna mengi kwa sasa, ajibu hayo tu, sawa!??? Na kama bado yuko India, pia atuambie. Mr Mzungu anahaha na confusion zake, hatokaa aamini atakachokiona. Aliambiwa last year Ikulu wanaingia wenye reasonable mind only, akaanza kuleta vizungu vingiiii. Where is he now!???
 
Tumienu akili hata kidogo basi, Waziri wa Ujenzi tena kwa ubunge wa kuteyliwa ana nguvu gani juu ya Makamu wa Raisi.

Mnafikiri kwa kutumia nini ndugu watanganyika

Nakushangaa sana unahangaika na hawa vibweterere. Sasa hivi kila kihoja kwao ni hoja kubwa -- wamepoteana. Eti TISS succeeded in misinforming the public!!! Hivi hawahawa hawakusema wana taarifa zote, hata zile za chunguni!???
 
Hivi wewe mrembo unakaa kabisa kwa akili na moyo wako. Watu watanzania wamchague Lissu over JPM. Are you for real. Naona mnazunguka kila mahali kuforce mada. Yani kimsingi ninyi Ni watoto wa baba NEGATIVITY. Mmeuza akili Sasa mnaongozwa na remote. It’s really a pity but Ndo hivyo kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake. Sifa moja ya wanafiki hawapingani wala hawagombani mana kuanzia sura mpaka maneno yao Ni Fake.

Ndugu yangu Lissu asingeweza kuchaguliwa kuwa Rais wa JMT. Angalia tu hata maneno yake huko aliko. Kuwa Rais Ni zaidi ya uharakati.
Ili kuonesha nyinyi ni mashetani mlijaribu kumuua mkashindwa.
 
Chamuriho akiwa UDSM alikuwa anafanya consultancies za structural analysis kwa ujenzi wa majengo mbali mbali ya magorofa hapo Dar; nadhani ni kupitia consultancies hizo aliweza kufahamiana na Magufuli wakati akiwa waziri wa ujenzi. Pamoja na kuwa alikuwa chuo kikuu kipindi kimoja na Magufuli, hawakua watu wa karibu kihivyo.
 
Tumienu akili hata kidogo basi, Waziri wa Ujenzi tena kwa ubunge wa kuteyliwa ana nguvu gani juu ya Makamu wa Raisi.

Mnafikiri kwa kutumia nini ndugu watanganyika
Peter Mutharika
Mdogo wa marehemu Mutharika aliyekuwa rais wa Malawi alikuwa na cheo gani hadi walipiga zengwe mama Banda avuliwe uvp kiharamu ili awe rais?nguvu ya jeshi ndiyo ilimzuia
Akili ya waafrika kwenye madaraka inafanana.
 
Back
Top Bottom