Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Inategemea na unaweza ona kuna ambao wanakuwa na Corona hata dalili hawana. Siyo automatic kuwa kwa vile kapata Corona basi atapata Permanent damage. Yes yupo kwenye risk. But as for now the man is coming back. Tujiandae kwa vichambo.
kama Lissu aliyelianzisha hawezi kusema hivyo, nawe una speculate kaa wengine
 
Huyu ndio alitakiwa kumridhi Kijazi kama katibu kiongozi
Kuna huyu mtanzania anaitwa Dr. Leonard Chamuriho, huyu ni nani hasa katika historia ya Tanzania?

Nini mafanikio yake katika utumishi wa Tanzania? Naomba tumjadili kwa pamoja hapa free media JF
 
Lisu amesema kuwa yuko tayari kuhukumia kama yeye na vyanzo vyake vitasema uongo kuwa jiwe is Over na Matelefoni kuwa jiwe yuko kzina. Tafuta majojiano ya jana , he was too cnfident na statenemt zake BAK Sky Eclat
 
Kuna huyu mtanzania anaitwa Dr. Leonard Chamuriho, huyu ni nani hasa katika historia ya Tanzania?

Nini mafanikio yake katika utumishi wa Tanzania? Naomba tumjadili kwa pamoja hapa free media JF
Huyo ndio alikua anaiba na meko toka wakati ujenzi.
 
Ni muhimu kusimamia haki, yule mama alifurahi kabisa tukiporwa ushindi na aliona haki ikipokwa. Kwa kejeli alitutamkia kuwa hata tukipiga kura kule ni sawa na kumwaga sukari Ziwa Victoria, wao ndiyo wataunda serikali.

Sasa serikali iliyoundwa bila haki inataka kumpoka haki yake.
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
 
Lisu amesema kuwa yuko tayari kuhukumia kama yeye na vyanzo vyake vitasema uongo kuwa jiwe is Over na Matelefoni kuwa jiwe yuko kzina. Tafuta majojiano ya jana , he was too cnfident na statenemt zake BAK Sky Eclat
Source za Lissu ni reliable, kumbuka kuwa yeye ni mwanasheria hawezi kuongea kwa uwazi kitu asicho na uhakika nacho.
 
Lisu amesema kuwa yuko tayari kuhukumia kama yeye na vyanzo vyake vitasema uongo kuwa jiwe is Over na Matelefoni kuwa jiwe yuko kzina. Tafuta majojiano ya jana , he was too cnfident na statenemt zake BAK Sky Eclat
Mbona hata suala la Nairobi na India, he was too confident!??? Wadanganyao ndivyo walivyo -- confusion at worst.
 
Source za Lissu ni reliable, kumbuka kuwa yeye ni mwanasheria hawezi kuongea kwa uwazi kitu asicho na uhakika nacho.
Your so-called ^mwanasheria^ must apologize. Aache kubadili tune and narrative. He has proved time and again to be a very unreliable source & cornman.
 
Inategemea na unaweza ona kuna ambao wanakuwa na Corona hata dalili hawana. Siyo automatic kuwa kwa vile kapata Corona basi atapata Permanent damage. Yes yupo kwenye risk. But as for now the man is coming back. Tujiandae kwa vichambo.
Kuna mwanafunzi kwenye lab yangu alipata Corona; akawa anahema sana na alihangaika nayo kwa muda kama wiki tatu. Nilikuwa na wasiwasi sana kuwa huenda kaniambukiza na mimi mzee wa shamba- nadhani niliweka bandiko hilo hapa, nikakaa karantini wiki mbili na baadaye nikapimwa na kukutwa negative. Sasa yule kijana alipopona na kurudi shule, alikuwa na backlog kubwa ya assignments ila alizipangua harakaharaka na sasa hivi anafanya vizuri tu wala hakuna athari zozote zinazoonyesha kuwa uwezo wake kiakili umeathiriwa!
 
Back
Top Bottom