Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Achaneni na ujinga wa habari za upotoshaji za mitandaoni nyie watu, yaani najiuliza huyo mnaye danganyana eti anaumwa sana siku mnamuona akiwa fiti sijui mtaficha wapi sura zenu na hao wapotoshaji wenu wa twita yaan nyie sijui kwakweli.
Atakuwa amepona
 
How sure you are? What if he created all this saga to prove you guys like gossiping?
You cant play with corona if you have heart problems . No one ever survived
 
Chamurinho pia inadaiwa walikuwa pamoja na jiwe UDSM wakati wakati wote wakifanya Bachelor Degree.
Ni kweli; lakini siyo kuwa walikuwa marafiki. Zaidi ya Chamuriho, wengine waliongia kwenye siasa ni pamoja na Charles Kitwanga (Mathematics and Computer Science), Charles Kadege (Education)- huyu alikuwa DC sehemu fulani, Joseph Nyamuhanga (Civil Engineering)- Katibu Mkuu wa wizara fulani, Deusdedit Kakoko (Civil Engineering)- Bandari sasa, Irene Isaka (Economics) -Huyu alikuwa CEO wa mfuko fulani wa jamii, Lawrence Marsha (Sheria) na wengine kadhaa, lakini hawakuwa marafiki; ni kazi zimewakutanisha tu.
 
Hii kitu ni ovyo kabisa.

Mimi sina uhakika kama ilikuwa hiyo au kitu kingine. Nilipigwa homa kali. Koo kuwashwa, homa kali, kichwa, viungo kuuma, kizunguzumgu kikali ambacho nilikuwa sijawahi kushuhudia. Sasa nipo kazini lakini kuna muda nasikia kichomi upande wa kushoto mwa kifua. Sijui ni madhara yaliyosababishwa au ni tatizo jimhine. Na hapa ndiyo naona ubaya wa kuzuia watu kupimwa. Unabakia unahisi tu!

Lakini kwa ujumla, mwili upo fit kabisa. Hata wakati wa kuugua, hakuna kitu kiliniumiza kama kizunguzungu - maana siku kama 3 hivi, ilishindikana kabisa kutembea kwa kujitegemea.
Huyo huyo mkuu..pole sana
 
Pole sana. Walikupa mseto wa kutibu malaria? Kuna jamaa mmoja aliugua, dalili za covid 100%, wakamwandikia mseto za kumeza mpaka nikamwonea huruma. Ameshapona sasa hivi lakini. Huyo dr alisema eti zinasaidia. Tatizo la nchi yetu ni kuwa hakuna mwongozo wowote kuhusu namna ya kutibu huu ugnjwa. Kila dr anatumia maarifa yake. Nchi nyingine wana-update mwongozo kila baada ya muda na dr wanashea uzoefu.
Mseto wamenipa juz alhamis.
Yes dk amesema ni combination nzr..thnks friend
 
Ninachofahamu ni alisoma Moshi Tech kipindi hiko kisha kusoma FTC pale DIT then degree UDSM.

Chamuriho alikuja kuwa lecturer katika Department ya Structural engineering pale Udsm Coet, Kabla ya kuja kuwa Permanent Secretary wa Wizara ya Ujenzi.

I'm Honoured nilikuwa naye Mlimani August 2020 tukabadilishana mawili matatu.

Shortly: Anapenda sana Shule.
Shkamoo Jf
 
Inategemea na unaweza ona kuna ambao wanakuwa na Corona hata dalili hawana. Siyo automatic kuwa kwa vile kapata Corona basi atapata Permanent damage. Yes yupo kwenye risk. But as for now the man is coming back. Tujiandae kwa vichambo.
Ukiumwa Ile stage ya critical hata ukipona inachukua muda afya kukaa sawa. Kwa hiyo inategemea umeumwa vipi
 
Akisha ruhusiwa na madaktari, wasaidizi wake wmamwonyeshe mambo yaliyokua yanaongelewa na watanzania.

Anaweza jirekebisha

Kwa mimi ukiacha upande wake ule mbaya wa kuonea watu na kuto kuwa na ubinadamu , kwenye swala la usimamizi wa kazi yupo poa sana, hata nawaza huyu mzee asipo kuwepo yamkini kuna miradi itadorora.


Mungu amsaidie huko aliko, awe na afya njema.
Hawa Watanzania wa mitandaoni?! Tena hata mitandaoni ni wachache tu. Mtandaoni kuna sehemu ndogo sana ya Watanzania. Tena wale wale saa hii wako Twitter baadae wako jf etc
 
T
Kesho mtamuona mzee wetu kanisani akiwa na afya tele!! Mnalishwa matango pori yatawaumiza myoyo baadae!!

Nimejaribu kupitia story toka mwanzo naona nizakuunga unga tu!!

Ilianza nairobi
Ikaja india
Ikaja hajaondoka yuko dar
Ikaja mzena


Maneno meeengi bila ushaidi!! Kesho mnaumbuliwa!!!
Thubutu yako haonekani ng'o kesho ? Thubutu .
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kuna huyu Mtanzania anaitwa Dr. Leonard Chamuriho, huyu ni nani hasa katika historia ya Tanzania?

Nini mafanikio yake katika utumishi wa Tanzania? Naomba tumjadili kwa pamoja hapa free media JF
Mwalimu wa engineering chuo kikuu cha Dar Es Salaam. Civil Engineering. Very hard working and loyal to the cause he believes. And very intelligent upstairs
 
Aliwahi kuwa Mkufunzi Chuo kikuu cha DSM (CoeT) baadaye mtendaji Mkuu wa Baraza la Ujenzi la Taifa.

Mwaka 2016 aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu Mawasiliano iliyoko Wizara ya Ujenzi. Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 aliteuliwa kuwa Mbunge na hatimaye Waziri wa Ujenzi.

Inaonekana wana mahusiano mazuri ya kikazi na Mhe. JPM

Ni mwenyeji wa Mkoa wa Mara

Hard working guy. Ila sio mwanasiasa hata kidogo. Ni mtendaji zaidi
 
Back
Top Bottom