Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Ninachofahamu ni alisoma Moshi Tech kipindi hiko kisha kusoma FTC pale DIT then degree UDSM.

Chamuriho alikuja kuwa lecturer katika Department ya Structural engineering pale Udsm Coet, Kabla ya kuja kuwa Permanent Secretary wa Wizara ya Ujenzi.

I'm Honoured nilikuwa naye Mlimani August 2020 tukabadilishana mawili matatu.

Shortly: Anapenda sana Shule.
Kama wizara ya Ujenzi basi kuna shida hapo
 
How sure you are? What if he created all this saga to prove you guys like gossiping?

That’ll be quite dumb. Gossiping is endemic human nature. It’s always there, everywhere. It’s global. No proof needed. Maybe you can say he wished to gauge: “what do they say am I?”. Still that would be a no brainer.

With his wilful trashing of the constitution, rule of law, & human rights, double-standard decision-making, unpredictable temper, brash comportment and “in-your-face” bullying, he should know he’s the most loathed prez the country has ever had. Unless some vital wires are missing upstairs.

I believe he’ll certainly come back greatly humbled by this nasty experience of his own making. I noted the demise of his former CS squeezed out a good measure of arrogance from his persona. Once you take a peek into the hell hole, you never remain the same - Jiwe. The Lissu case is still a puzzling exception to many.
 
Kama vipi wapigane kwenye kugombania hayo madaraka maana wote wanafanana,msitutegemee sana sisi raia ya kwenu hayatuhusu,malizaneni menyewe ka menyewe hakuna msaada wowote kutoka kwetu
Nalog off
 
Ninamjua Leonard Chamriho kwa kuwa nimewahi kufanya naye kazi.

Chamriho alipogombana na Mukandala pale UDSM wakati akiwa meneja wa idara ya miliki (Estate Manager) Magufuli (rafikiye, wakati huo akiwa waziri wa ujenzi), alimuahidi angemtafutia kazi nyingine, kisha 2014 alimteua kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Ujenzi (NCC).

Mwaka 2015 mara baada ya uchaguzi mkuu Magufuli alimteua Chamriho kuwa Katibu Mkuu, Ujenzi Mwasiliano na Uchukuzi (akishughulikia Uchukuzi). Mwaka jana baada ya uchaguzi mkuu Magufuli alimteua Chamriho kuwa Mbunge kisha kumteua tena kuwa waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi. Masuala yote ya ununuzi wa ndege aliyashughulikia Chamriho.

Hata hivyo, Chamriho siyo mtu tough wala smart guy isipokuwa alikuwa too loyal kwa Magufuli. Ninadhani wanaomtaka am-replace VP ni kwa sababu ya hiyo character yake ya kutokuwa smart ili kulirahisishia kundi la Magufuli (wengi wao wasukuma) kupitishaji mambo yao (ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanalinda vyeo vyao) kwenye utawala ujao.
 
Pole sana Mkuu.
Hii kitu ni ovyo kabisa.

Mimi sina uhakika kama ilikuwa hiyo au kitu kingine. Nilipigwa homa kali. Koo kuwashwa, homa kali, kichwa, viungo kuuma, kizunguzumgu kikali ambacho nilikuwa sijawahi kushuhudia. Sasa nipo kazini lakini kuna muda nasikia kichomi upande wa kushoto mwa kifua. Sijui ni madhara yaliyosababishwa au ni tatizo jimhine. Na hapa ndiyo naona ubaya wa kuzuia watu kupimwa. Unabakia unahisi tu!

Lakini kwa ujumla, mwili upo fit kabisa. Hata wakati wa kuugua, hakuna kitu kiliniumiza kama kizunguzungu - maana siku kama 3 hivi, ilishindikana kabisa kutembea kwa kujitegemea.
 
Kinachonishangaza sana ni kuwaona watu wakidiskas issues as if wanajua in and out, halafu all of a sudden wanadai mbona hatuambiwi kulikoni!??? Shame on you all mnaomwombea Rais mabaya!!!
Hapo tu hawana wanalolijua kuhusu afya ya JPM lakini check wanavyobwabwaja. Sijui ingekuwaje kama wangekuwa na uhakika wa afya ya mheshimiwa kwamba siyo nzuri. Ndio maana kwa nchi za watu wambeya na wapenda udaku kama tz taarifa sensitive ni za kutoweka wazi maana hawa wasivyo na akili wanaweza kudiscuss ugonjwa wa rais vijiweni mwaka mzima hata kama rais atakuwa amepona na anachapa kazi. THE COUNTRY OF UMBEYA & UDAKU!
 
Inategemea na unaweza ona kuna ambao wanakuwa na Corona hata dalili hawana. Siyo automatic kuwa kwa vile kapata Corona basi atapata Permanent damage. Yes yupo kwenye risk. But as for now the man is coming back. Tujiandae kwa vichambo.

Kuna jamaa ameugua na hakujua kama anao kabisa yaani yuko kawaida kabisa
Jamaa ana super antibodies
Binadamu tunatofautiana kwa kweli
IMG_6123.jpg
 
Muriro maana yake ni moto kwa kiha

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye siyo Chamuriro ni Chamriho. Hata hivyo makabila mengine hapa tz hususani kanda ya ziwa pia neno muriro/mlilo maana yake ni moto. Kibantu maneno mengi yanafanana hivyo usikariri maneno ya kibantu ili kujua kabila ya mtu. Huyo ni Leonard Chamriho. Ni mtu wa mkoa wa Mara. Either wilaya ya Butiama au Musoma Vijijini.
 
Upo sawa mkuu, nilisha pata huo ugonjwa bahati nzuri haukunichukua sana, lakini kama ukikukamata vizuri kisha oxgeni mwilini mwako ikishuka below 77% kitu cha kwanza kuathirika mwilini mwako ni ubongo, kwa hapa ulaya madakitari wanacho fanya ni kukulaza usingizini yaani coma na kukuweka ICU na kuendelea kukutibu ukipona hauta kuwa 100% fit, na utakuwa na athali za kiafya na mentali maisha yako yote.
Kweli kabisa kama Trump aligomea matokea huoni kama alikuwa ameathirika na corona? Pia Boris now so kama wa kipindi kile, sasa kwa kichwa cha ndugu yetu atakuwa mtu wa namna gani?
 
Lisu amesema kuwa yuko tayari kuhukumia kama yeye na vyanzo vyake vitasema uongo kuwa jiwe is Over na Matelefoni kuwa jiwe yuko kzina. Tafuta majojiano ya jana , he was too cnfident na statenemt zake BAK Sky Eclat

Ushaambiwa achana na wanasiasa, usiwaamini.
Nnachokuomba na kukusihi, msikilize Victoire anachokisema. Namie nakuhakikishia, the folk survived.
 
Kuna jamaa ameugua na hakujua kama anao kabisa yaani yuko kawaida kabisa
Jamaa ana super antibodies
Binadamu tunatofautiana kwa kweli
View attachment 1724874
Kwa mazingira ya Africa nina uhakika kwamba wengi wameugua Corona na wengine wanaendelea kuugua na hawajui kama wanaumwa maana immunity yao ipo strong. Kama si hivyo tungekufa kama nzi kuliko hata walivyokufa wanzungu maana mazingira yetu hygene ipo chini sana kulinganisha na developed countries.
 
Kwa mazingira ya Africa nina uhakika kwamba wengi wameugua Corona na wengine wanaendelea kuugua na hawajui kama wanaumwa maana immunity yao ipo strong. Kama si hivyo tungekufa kama nzi kuliko hata walivyokufa wanzungu maana mazingira yetu hygene ipo chini sana kulinganisha na developed countries.

Nakubaliana na wewe kwa sana
Wengi tumekutana na changamoto hizo ingawa kila mmoja wetu anapitia maumivu tofauti
Ila Mungu katusaidia na hali yetu hii kweli ni jambo la kushukuru
 
Yeye siyo Chamuriro ni Chamriho. Hata hivyo makabila mengine hapa tz hususani kanda ya ziwa pia neno muriro/mlilo maana yake ni moto. Kibantu maneno mengi yanafanana hivyo usikariri maneno ya kibantu ili kujua kabila ya mtu. Huyo ni Leonard Chamriho. Ni mtu wa mkoa wa Mara. Either wilaya ya Butiama au Musoma Vij
wa serengeti huyo
 
Back
Top Bottom