Kurutu wa Mungu
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 366
- 579
SureHuyo Victorie ndio nani kwenye jambo hili?mnapenda kusikia habari zinazowafurahisha ila za ukweli hamtaki.
SureHuyo Victorie ndio nani kwenye jambo hili?mnapenda kusikia habari zinazowafurahisha ila za ukweli hamtaki.
Haina neno boss
Achana na huyo muke ya kibabu cha kituntu na frustration zake maana kazi yake kuwahudumia wazee huko ulayaHivi wewe mrembo unakaa kabisa kwa akili na moyo wako. Watu watanzania wamchague Lissu over JPM. Are you for real. Naona mnazunguka kila mahali kuforce mada. Yani kimsingi ninyi Ni watoto wa baba NEGATIVITY. Mmeuza akili Sasa mnaongozwa na remote. It’s really a pity but Ndo hivyo kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake. Sifa moja ya wanafiki hawapingani wala hawagombani mana kuanzia sura mpaka maneno yao Ni Fake.
Ndugu yangu Lissu asingeweza kuchaguliwa kuwa Rais wa JMT. Angalia tu hata maneno yake huko aliko. Kuwa Rais Ni zaidi ya uharakati.
wengine mna hasira za ajabu, kwa vile tu humu hatuandikani jinsia na ukabilaWatanzania kama wewe unamaanisha. 90 % love their president. Nyie wengine wambeya tu na mnajiwekea mkakati wa kucomment then mnajiona wengi. JPM is loved. Nenda FB INSta kwenye watu na ID zao uone. Hapa unajidanganya na watu wengi Ni mkumbo hasa akijua hajulikani. Fanya kazi tunza wazazi wako wewe Acha kujidanganya.
Hii ni nji ya mafununu!
Nasikia huenda akawa ndiye Makamu wa Rais iwapo parapanda Italia one of these days!!
Hakua sawa kbs yeah maji nakinyw1.5 per dayKabisa Mkuu, ukihisi kuumwa na kichwa na kizunguzungu ndio yenyewe hiyo. Jitahidi pia kunywa maji ya kutosha haswaa watu wanachanganyikiwa, Mimi hata nilipomwona Mh. Philip Mpango akiongea ni kama hakuwa sawa hivi
Ninamjua Leonard Chamriho kwa kuwa nimewahi kufanya naye kazi.
Chamriho alipogombana na Mukandala pale UDSM wakati akiwa meneja wa idara ya miliki (Estate Manager) Magufuli (rafikiye, wakati huo akiwa waziri wa ujenzi), alimuahidi angemtafutia kazi nyingine, kisha 2014 alimteua kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Ujenzi (NCC).
Mwaka 2015 mara baada ya uchaguzi mkuu Magufuli alimteua Chamriho kuwa Katibu Mkuu, Ujenzi Mwasiliano na Uchukuzi (akishughulikia Uchukuzi). Mwaka jana baada ya uchaguzi mkuu Magufuli alimteua Chamriho kuwa Mbunge kisha kumteua tena kuwa waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi. Masuala yote ya ununuzi wa ndege aliyashughulikia Chamriho.
Hata hivyo, Chamriho siyo mtu tough wala smart guy isipokuwa alikuwa too loyal kwa Magufuli. Ninadhani wanaomtaka am-replace VP ni kwa sababu ya hiyo character yake ya kutokuwa smart ili kulirahisishia kundi la Magufuli (wengi wao wasukuma) kupitishaji mambo yao (ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanalinda vyeo vyao) kwenye utawala ujao.
Si watanganyika wote mkuu, ni nyumbu pekee.Tumienu akili hata kidogo basi, Waziri wa Ujenzi tena kwa ubunge wa kuteyliwa ana nguvu gani juu ya Makamu wa Raisi.
Mnafikiri kwa kutumia nini ndugu watanganyika
Ni kweli Mkuu bahati mbaya hela nyingi ipo kwenye siasa.Hard working guy. Ila sio mwanasiasa hata kidogo. Ni mtendaji zaidi
Januari covid ilinipiga kisawasawa. Nilikuja kuambiwa kuwa ilikuwa yenyewe zaidi ya mwezi na nusu baada ya kupona.
Namshukuru Mungu kwamba nilipona bila kutumia dawa yoyote. Si malimao wala kujifukiza.
Mr Econometricians,Ni mjita anatokea either BUTIAMA au MUSOMA VIJIJINI na alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya ujenzi-over.
Boss,Kama ni muha nashauri ajihadhari na yatakayo zozote za kuvunja katiba..
Mfano tumeuona mwenye macho haambiwi tazama
😆😆😆😆
Unajisikiaje Leo ukisoma hii msg hujioni juha? polokwaneAchaneni na ujinga wa habari za upotoshaji za mitandaoni nyie watu, yaani najiuliza huyo mnaye danganyana eti anaumwa sana siku mnamuona akiwa fiti sijui mtaficha wapi sura zenu na hao wapotoshaji wenu wa twita yaan nyie sijui kwakweli.