Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Ni muhimu kusimamia haki, yule mama alifurahi kabisha tukiporwa ushindi na aliona haki ikipokwa. Kwa je hei alitutamkia kuwa hata tukipiga kura kule ni sawa na kumwaga sukari Ziwa Victoria, wao ndiyo wataunda serikali.

Sasa serikali iliyoundwa bila haki inataka kumpoka haki yake.
Hali gani, Mimi Niko nje kabisa ya wigo leo ndiyo nafungua simu
 
Aliwahi kuwa Mkufunzi Chuo kikuu cha DSM (CoeT) baadaye mtendaji Mkuu wa Baraza la Ujenzi la Taifa.

Mwaka 2016 aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu Mawasiliano iliyoko Wizara ya Ujenzi. Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 aliteuliwa kuwa Mbunge na hatimaye Waziri wa Ujenzi.

Inaonekana wana mahusiano mazuri ya kikazi na Mhe. JPM

Ni mwenyeji wa Mkoa wa Mara
Jf kiboko ya wachawi hapa tz , wewe ulianzisha jf upo na makao mazuri siku yako ikifika, jf ni ukweli na uhakika
 
Mtoa mada, kwa nini leo ndio umetamani kumfaham na si hapo kabla?
 
Ninachofahamu ni alisoma Moshi Tech kipindi hiko kisha kusoma FTC pale DIT then degree UDSM.

Chamuriho alikuja kuwa lecturer katika Department ya Structural engineering pale Udsm Coet, Kabla ya kuja kuwa Permanent Secretary wa Wizara ya Ujenzi.

I'm Honoured nilikuwa naye Mlimani August 2020 tukabadilishana mawili matatu.

Shortly: Anapenda sana Shule.
Ni Engineer mzuri sana. Waziri sasa. Kafundisha FOE (CoET) kwa muda mrefu.
 
Ni muhimu kusimamia haki, yule mama alifurahi kabisha tukiporwa ushindi na aliona haki ikipokwa. Kwa kejeli alitutamkia kuwa hata tukipiga kura kule ni sawa na kumwaga sukari Ziwa Victoria, wao ndiyo wataunda serikali.

Sasa serikali iliyoundwa bila haki inataka kumpoka haki yake.
Shetani hana rafiki, acha na yeye aisome namba tu.
 
Ni muhimu kusimamia haki, yule mama alifurahi kabisha tukiporwa ushindi na aliona haki ikipokwa. Kwa kejeli alitutamkia kuwa hata tukipiga kura kule ni sawa na kumwaga sukari Ziwa Victoria, wao ndiyo wataunda serikali.

Sasa serikali iliyoundwa bila haki inataka kumpoka haki yake.
Haki yake kivip wakati yeye bado ni Vp?!
 
Back
Top Bottom