Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,869
- 29,031
Kumbe anatokea kanda ya ziwa...sawaNi mjita anatokea either BUTIAMA au MUSOMA VIJIJINI na alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya ujenzi-over.
Kumbe anatokea kanda ya ziwa...sawaNi mjita anatokea either BUTIAMA au MUSOMA VIJIJINI na alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya ujenzi-over.
Twita wamemuongelea kwa mafumbo kuwa yuko mzenaTwende kazi sasa kumjua huyu dizaini ya Mfugale
A secret keeper..
Kikatiba anatakiwa aapishwe kuwa P kama hayo yasemwayo yamo.Haki yake kivip wakati yeye bado ni Vp?!
Lack of information feeds misinformationTwita wamemuongelea kwa mafumbo kuwa yuko mzena
Lakini wale funza hawaangali kama ni mwili wa Mao au wa Sky, wao wanatafuna tu.Lack of information feeds misinformation
Mao aliogopwa in life and in death as well.
Wanatia kinyaa hawa watu
MaggotLakini wale funza hawaangali kama ni mwili wa Mao au wa Sky, wao wanatafuna tu.
Kaona maprofesor wanakula life kilaini bila kuhangaishana na students.Kaacha paper yake angekua Professor, kaitupiria mbali
Pole mkuu bora wasema waumwa ,leo tz mtu sema ndugu,jirani, mfanyakazi wake sema anaumwa atatafutwa na polis ,how shame it is,haibu Sana ,sijawahiAsante nimeumwa now it is about two weeks hoi bin taaban
kwani kuna nini chief...?Speculations....
Disco linakaribia kuingia Yero masaiKiwingu kipi ? Kwani Kuna Nini? She is a VP
Ongeza nyama mkuu, amefanya nini?,kuna tatizo gani?.Kuna huyu mtanzania anaitwa Dr. Leonard Chamuriho, huyu ni nani hasa katika historia ya Tanzania?
Nini mafanikio yake katika utumishi wa Tanzania? Naomba tumjadili kwa pamoja hapa free media JF
Mkuu tangu Kama siku mbili nilikabiwa na codes mbali mbali husiana na mh rais but nilizama kimaombi zaidi japo mie sio mchungaji, but leo nimepata jibu ,kwamba, Kuna kitu hakipo sawa so wamtakao rais wao kujitokeza popote hakipo nawaunga mkono, sio maneno yangu asema bwanaShetani hana rafiki, acha na yeye aisome namba tu.
Sasa hivi ndie Waziri wa UjenziNi mjita anatokea either BUTIAMA au MUSOMA VIJIJINI na alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya ujenzi-over.
Hakuna lolote mkuu , tuendelee kuchapa kazi.kwani kuna nini chief...?
Comments reservedNi muhimu kusimamia haki, yule mama alifurahi kabisha tukiporwa ushindi na aliona haki ikipokwa. Kwa kejeli alitutamkia kuwa hata tukipiga kura kule ni sawa na kumwaga sukari Ziwa Victoria, wao ndiyo wataunda serikali.
Sasa serikali iliyoundwa bila haki inataka kumpoka haki yake.
Mimi nabaki Afrika.Ninachojua ndo Super substitution inayotajiwa kupata namba kucheza kama forward
Na mimi naiombaNimekutumia clip iangalie
Mkuu wewe huna habari za Jamuhuri ya watu wa Twitter, fuatilia habari huko nasikia hiyo ni nchi inayojitegemea na Rais wao K14Tunataka uhusika wake na VP
Forward wapi ?Jiwe yupo hai kabisa na anaelekea kuishinda rona.Ninachojua ndo Super substitution inayotajiwa kupata namba kucheza kama forward