MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,345
- 11,227
Maana ipi mkuu, kama ni kuhusu term ngapi, katiba iko wazi Mama Samia hivi sasa ataweza kugombea mara moja tu.Itakuwa na maana huko mbeleni hasa 2025!
Maana ipi mkuu, kama ni kuhusu term ngapi, katiba iko wazi Mama Samia hivi sasa ataweza kugombea mara moja tu.Itakuwa na maana huko mbeleni hasa 2025!
Halafu wakisha soma hiyo 37 (5) waje pia wasome ibara ya 40 ibara ndogo ya 4Labda tatizo ni katiba!
Kwani amesema katiba inamtambua kama makamu wa Rais?Wasome vizuri ibara ya 37 ibara ndogo ya 5 >> IBARA YA 37 (5) amabayo inasema :-
"(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais
kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu
kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa
kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais
ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi
cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya
40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka
Rais atapendekeza jina la mtu atakae kuwa Makamu wa Rais na
uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua
asilimia hamsini ya Wabunge wote."
Halafu waje waniambie kwa sasa katiba inamtambua SAMIA SULUHU HASAN kama rais au makamu wa rais.
Halafu baada ya hapo huyo mwana sheria koko anaye jiita msomi wa sheria aje aniambie ni wapi katika katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania imezungumzia hayo maswala ya awamu.
Ni rais wa awamu ya 6 hutaki hama nchi , wasukuma mmekuwaje lakini? Kwani huyo mtu wenu mungu mtu wenu magufuli aliwaambia yeye ndiye aliye iumba tanzania? Mbona mnagubu hivyo?KiKilaza anakuwa yule anakimbilia kuhesabu Awamu kuliko kuacha Agenda ndiyo zi-name Awamu. Kwani angekaa kimya tu bila kujitaja kuwa ni Kiongozi wa ngapi watanzania wangalikosa namna ya kumtofautisha na aliyemtangulia? Kwani la maana ni lipi ni kuwa na mambo ya kumtofautisha au kutofautisha na namba?
Sasa anapo sema kwamba ni makamu wa raisi aliye pewa urais ana maana gani kilaza huyo haijui katiba au ndi UTIMU MAGUFULI umemtoa ufahamu.Kwani amesema katiba inamtambua kama makamu wa Rais?
Ngoja wanakuja wanasheria!Kwani katiba inasemaje kuhusu ukomo wa nafasi ya Rais?
Akifa Rais yule anayechukua nafasi anakua nani?
Mihula ya urais tunahesabu miaka au yule aliyehuduma?
Na katiba imefafanua vizuri kabisa sasa hao wanao taka kutulazimisha eti ni awamu ya 5 sijui wana malengo ganiKwani amesema katiba inamtambua kama makamu wa Rais?
Hilo lisha jibiwa na vifungu vya katiba nimesha wekaNgoja wanakuja wanasheria!
Eti Awamu ya Sita! Kwa nini anakimbilia kujinasibu Awamu ya Sita badala ya kukomaa na Agenda? Kila kitu anataka kujitofautisha na mtangulizi wake lakini wakati huo huo anasema yeye na mtangulizi wake ni kitu kilekile? Kama yeye na Mtangulizi wake ni kitu kimoja mambo ya awamu ya Sita yanatoka wapi?Watanzania wana vichwa vigumu....
Magufuli na Samia walichaguliwa /pair kwa miaka 5 2020/2025....
Makubaliano ni kwamba kama Magu akifa au angekuwa incapacitated kwa namna yyte Samia anamalizia na katiba ipo clear....
mambo ya kusema hii ni awamu ya sita yanatokea wp!!??
Ni awamu ya 6 kwa sasa mh Samia amekul kiapo kipya cha urais!Watanzania wana vichwa vigumu....
Magufuli na Samia walichaguliwa /pair kwa miaka 5 2020/2025....
Makubaliano ni kwamba kama Magu akifa au angekuwa incapacitated kwa namna yyte Samia anamalizia na katiba ipo clear....
mambo ya kusema hii ni awamu ya sita yanatokea wp!!??
Muwe mnasoma katiba......Ni awamu ya 6 kwa sasa mh Samia amekul kiapo kipya cha urais!
duuuhKama anachosema ni sahihi basi upo uwezekano samia suluhu akawa rais kwa Muda wa miaka 14, yaani ikifika mwaka 2030 samia ajenge hoja kuwa, kuanzia 2021 to 2025 hakuwa rais kamili Bali alikuwa anahudumu awamu ya tano, so 2025/2030 ndo muhula wake wa kwanza awamu ya sita na 2030 achukue fomu tena ya urais kumalizia muhula wake wa pili wa 2030/2035
Mzee kasome katiba ..Kwa mujibu wa katiba Mama Samia atagombea kipindi kimoja tu cha 2025/30 kama atataka lakini.Kama anachosema ni sahihi basi upo uwezekano samia suluhu akawa rais kwa Muda wa miaka 14, yaani ikifika mwaka 2030 samia ajenge hoja kuwa, kuanzia 2021 to 2025 hakuwa rais kamili Bali alikuwa anahudumu awamu ya tano, so 2025/2030 ndo muhula wake wa kwanza awamu ya sita na 2030 achukue fomu tena ya urais kumalizia muhula wake wa pili wa 2030/2035
Kama JPM angekuwa amefariki mwaka 2022 au 23 na 2024 basi mama Samia angegombea Urais mara mbili ,hio 2025/30 na 30/35Kama anachosema ni sahihi basi upo uwezekano samia suluhu akawa rais kwa Muda wa miaka 14, yaani ikifika mwaka 2030 samia ajenge hoja kuwa, kuanzia 2021 to 2025 hakuwa rais kamili Bali alikuwa anahudumu awamu ya tano, so 2025/2030 ndo muhula wake wa kwanza awamu ya sita na 2030 achukue fomu tena ya urais kumalizia muhula wake wa pili wa 2030/2035
Hapo kwa kudumu miaka 14 ndio tutaona udhaifu wa katiba tulionayo na patashimbika kwa mikwaruzano ya kikatiba na kisheria.Kama anachosema ni sahihi basi upo uwezekano samia suluhu akawa rais kwa Muda wa miaka 14, yaani ikifika mwaka 2030 samia ajenge hoja kuwa, kuanzia 2021 to 2025 hakuwa rais kamili Bali alikuwa anahudumu awamu ya tano, so 2025/2030 ndo muhula wake wa kwanza awamu ya sita na 2030 achukue fomu tena ya urais kumalizia muhula wake wa pili wa 2030/2035