Kama ni hivyo basi kuanzia aapishwe ni serikali awamu ya sita, katiba naijua vzur nimejibu hivi ili kuwafumbua macho mnaoamini awamu ni miaka kumi.Mzee kasome katiba ..Kwa mujibu wa katiba Mama Samia atagombea kipindi kimoja tu cha 2025/30 kama atataka lakini.