Dkt. Godwin Gunele: Rais ni taasisi hivyo Kikatiba inabadilika kila baada ya miaka 5, hivyo Rais Samia anatumikia kipindi cha Hayati Magufuli

haina maana yoyote,katiba imeeleza wazi,kama samia angekua VP kwa zaidi ya miaka mitatu,maana yake 2025 angeondoka tu,lakini kwa sasa itabidi tusubiri mpaka 2030 hatuna jinsi labda akatae kuendelea
Katiba inazungumzia Rais wewe unazungumzia mtu.

Samia ikimpdndeza ataendelea hadi 2035 kwa mujibu wa katiba!
 
Je aliyeridhi kiti akikataa sera za mtangulizi wake, za kupiga, kuteka, kuua, kubambika kesi,
Je akiruhusu demokrasia na Katiba mpya
Je akikubali korona ipo na tiba ya kisayansi
Huoni Kama zitakuwa awamu mbili tofauti
na tumulize Huyo nguli, hivi ?" mabinvwa WA awamu walikosea kusema Nyerere alitawala awamu y'a Kwanzaa wakati alitawala takribani miaka 25,si ingekuwa "awamu ya:1,2 name 3.hivyo mwinyi alikuwa awamu ya 4 nakuendelea
 
Kwa hiyo na yy aitwe raisi wa 5 wa Tanzania?
Mm sio mwanasheria, ila najua sheria haipingani na common sense, so lazima huyu awe raisi wa 6 wa Tanzania and then atafanya changes ambazo rais anatakiwa kufanya (ikiwemo kumuondo PM kama akitaka) and hence hii ni awamu ya 6 ya utawala wa Tanzania
 
Jombaa kumbuka yule ni mwanasheria asiyefuata upepo wa wanasiasa na sisi wapiga porojo mtandaoni!! . Yule anasimamia misingi ya taaruma yake ya sheria. Si zambi kukosea Kisha akaja mtu akatusahihisha..
Sawa mkuu je hiyo mada inatusaidia nini sisi wanaichi
 
Jombaa kumbuka yule ni mwanasheria asiyefuata upepo wa wanasiasa na sisi wapiga porojo mtandaoni!! . Yule anasimamia misingi ya taaruma yake ya sheria. Si zambi kukosea Kisha
Mwanasheria nguli Dr Godwin Gunele amesema Rais siyo mtu bali ni taasisi ambayo kikatiba inakaa kwa miaka 5.

Kwa maana hiyo awamu tuliyopo ni ya 5 siyo ya 6 kwa sababu Rais Samia siyo " President elect" bali ni makamu wa Rais aliyechukua nafasi ya Rais aliyefariki.

Dr Godwin anasema hata waziri mkuu na mwanasheria mkuu wa serikali wataendelea na kazi hadi kufikia ukomo wa uwepo ofisini wa President elect yaani 2025.

Mjadala uko mubashara Star tv muda huu kipindi cha Ajenda.

Itaendelea.
Kama ni mwana sheria basi arudi darasani maana ni mjinga na hajui maana ya kula kiapo cha urais na maana ya kuapishwa kuwa rais haijui,

Anacho takiwa kijua kifo ni sehemu moja kati ya sehemu nyingi zinazo weza kuweka ukomo wa rais kama ambavyo ipo kwenye kuondolewa na bunge, kupinduliwa nk

Anacho takiwa kujua huyo mwanasheria koko maana imebidi nimuite mwanasheria koko bila kujali taaluma yake ni kwamba ukisha apishwa kuwa rais bila kujali urais umeupata kwa mfumo gani unakuwa na mamlaka kamili ya urais na unaweza kufanya maamuzi yote ya kiurais ikiwa ni pamoja na kutengua jaji mkuu na kuteua mwingine ama kuvunja baraza lote la mawaziri akiwemo waziri mkuu na kuweka wengibe au vinginevyo

Huyo jaji hadi sasa hajui kama nafasi ya makamo wa rais nayo imepigiwa kura ndio maana ukiitizama vizuri ile karatasi tiki inawekwa sehemu moja tu tena sio chini ya jina la mgombea bali mbele ya wagombea wote wawili tafsiri yake kura inayo mchagua rais ndiyo kura inayo mchagua makamu wake.

Huyo mwanasheria ni popoma sana tena POPOMA HASWA kwenye maswala ya kisheria halafu eti ndio wasomi wetu hawa ndio maana watu wanafungwa bila hatia na hasa kama jambo hili dogo limemshinda.
Huwezi kuwa rais mwingine ndani ya awamu ya mtu mwingine ni sawa na ofisi yeyote ile kiongozi akifa au akiacha kazi au vinginevyo huwezi sema huyo mpya yupo kwa ajili yaa wamu ya wanyuma yake
 
Kama ni mwana sheria basi arudi darasani maana hajui maana ya kula kiapo cha urais na maana ya kuapishwa haijui

Anacho takiwa kujua huyo mwanasheria koko maana imebidi nimuite mwanasheria koko bilankujali taaluma yake ni kwamba ukisha apishwa kuwa rais bila kujali urais umeupata kwa mfumo gani unaweza kufanya maamuzi yote ya kiurais ikiwa ni pamoja na kutengua jaji mkuu na kiteua mwingine ama vinginevyo
Huyo jaji hadi sasa hajui kama nafasi ya makamo wa rais nayo

Kama ni mwana sheria basi arudi darasani maana ni mjinga na hajui maana ya kula kiapo cha urais na maana ya kuapishwa kuwa rais haijui,

Anacho takiwa kijua kifo ni sehemu moja kati ya sehemu nyingi zinazo weza kuweka ukomo wa rais kama ambavyo ipo kwenye kuondolewa na bunge, kupinduliwa nk

Anacho takiwa kujua huyo mwanasheria koko maana imebidi nimuite mwanasheria koko bila kujali taaluma yake ni kwamba ukisha apishwa kuwa rais bila kujali urais umeupata kwa mfumo gani unakuwa na mamlaka kamili ya urais na unaweza kufanya maamuzi yote ya kiurais ikiwa ni pamoja na kutengua jaji mkuu na kuteua mwingine ama kuvunja baraza lote la mawaziri akiwemo waziri mkuu na kuweka wengibe au vinginevyo

Huyo jaji hadi sasa hajui kama nafasi ya makamo wa rais nayo imepigiwa kura ndio maana ukiitizama vizuri ile karatasi tiki inawekwa sehemu moja tu tena sio chini ya jina la mgombea bali mbele ya wagombea wote wawili tafsiri yake kura inayo mchagua rais ndiyo kura inayo mchagua makamu wake.

Huyo mwanasheria ni popoma sana tena POPOMA HASWA kwenye maswala ya kisheria halafu eti ndio wasomi wetu hawa ndio maana watu wanafungwa bila hatia na hasa kama jambo hili dogo limemshinda.
Huwezi kuwa rais mwingine ndani ya awamu ya mtu mwingine ni sawa na ofisi yeyote ile kiongozi akifa au akiacha kazi au vinginevyo huwezi sema huyo mpya yupo kwa ajili yaa wamu ya wanyuma yake
Labda tatizo ni katiba!
 
Ndivyo itakavyokua!
Wakati anafanya hivyo sisi Wananchi tunakuwa Maboya au? Kwa mambo gani mpaka atake kukaa madarakani kwa miaka 14? Kwa hiyo, pamoja na ile 5 aliyohudumia akiwa na marehsmu inakuwa 19? Ni mambo gani anataka lufanya kwa miaka 14 ambayo hakufanya kwa miaka 5 na hii 4? Hebu tuache utani!
 
Katiba mbona ipo bayana kabisaa ni basi tu hawa vilaza wa kukalili sheria wanataka kukwepesha ukweli
KiKilaza anakuwa yule anakimbilia kuhesabu Awamu kuliko kuacha Agenda ndiyo zi-name Awamu. Kwani angekaa kimya tu bila kujitaja kuwa ni Kiongozi wa ngapi watanzania wangalikosa namna ya kumtofautisha na aliyemtangulia? Kwani la maana ni lipi ni kuwa na mambo ya kumtofautisha au kutofautisha na namba?
 
KiKilaza anakuwa yule anakimbilia kuhesabu Awamu kuliko kuacha Agenda ndiyo zi-name Awamu. Kwani angekaa kimya tu bila kujitaja kuwa ni Kiongozi wa ngapi watanzania wangalikosa namna ya kumtofautisha na aliyemtangulia? Kwani la maana ni lipi ni kuwa na mambo ya kumtofautisha au kutofautisha na namba?
Wenzako wanaangalia Rais Samia ataongoza kwa miaka 9 au 14?

Wako kiuchaguzi zaidi!
 
Wenzako wanaangalia Rais Samia ataongoza kwa miaka 9 au 14?

Wako kiuchaguzi zaidi!
Yeye kama ataingia katika huo mtego tutajua fika ana Uroho wa Madaraka! Marehemu alishasema Yeye na Mama wangaliachia madaraka mwaka 2025 na mama hakuwahi kukanusha. Sasa leo aje ademke na Uongozi kwa muda zaidi, tumueleweje? Ina maana atakuwa anaongozwa na Falsafa ya Kufa kufaana? Na kama ndivyo, kule anakosema anafanana na Marehemu kuko wapi?
 
Labda tatizo ni katiba!
Wasome vizuri ibara ya 37 ibara ndogo ya 5 >> IBARA YA 37 (5) amabayo inasema :-

"(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais
kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu
kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa
kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais
ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi
cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya
40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka
Rais atapendekeza jina la mtu atakae kuwa Makamu wa Rais na
uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua
asilimia hamsini ya Wabunge wote."

Halafu waje waniambie kwa sasa katiba inamtambua SAMIA SULUHU HASAN kama rais au makamu wa rais.

Halafu baada ya hapo huyo mwana sheria koko anaye jiita msomi wa sheria aje aniambie ni wapi katika katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania imezungumzia hayo maswala ya awamu.
 
Anaachaje kuwa president elect wakati alipigiwa kura sambamba na Mwendazake? SSH aligombwa umakamu wa rais na akapigiwa kura, kama zilikua halali, sijui, lakini lengo lilikua kama rais atashindwa kuendelea na kazi, makamu ashike hatamu! Akiamua kuteua mwanasheria mkuu, waziri mkuu, anaweza hata leo!
Inashangaza, wanavyoongea as if kamshikia mtu.... ni kama vile kaazimwa kiti, mwenyewe anakuja. Watu bado wako kwenye denial stage, ni kama vile mtu aliyeachwa na meli kwenye kisiwa... bado haamini kama meli ndio imeondoka.

Mama Samia leo anaweza kutoa kila mtu aliyekuwa appointed na Magu, kuanzia CDF, IGP, AG, PM na Baraza lake etc na hakuna wa kumwambia chochote.
 
Back
Top Bottom