johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Mwanasheria nguli Dr Godwin Gunele amesema Rais siyo mtu bali ni taasisi ambayo kikatiba inakaa kwa miaka 5.
Kwa maana hiyo awamu tuliyopo ni ya 5 siyo ya 6 kwa sababu Rais Samia siyo " President elect" bali ni makamu wa Rais aliyechukua nafasi ya Rais aliyefariki.
Dr Godwin anasema hata waziri mkuu na mwanasheria mkuu wa serikali wataendelea na kazi hadi kufikia ukomo wa uwepo ofisini wa President elect yaani 2025.
Mjadala uko mubashara Star tv muda huu kipindi cha Ajenda.
Itaendelea.
Kwa maana hiyo awamu tuliyopo ni ya 5 siyo ya 6 kwa sababu Rais Samia siyo " President elect" bali ni makamu wa Rais aliyechukua nafasi ya Rais aliyefariki.
Dr Godwin anasema hata waziri mkuu na mwanasheria mkuu wa serikali wataendelea na kazi hadi kufikia ukomo wa uwepo ofisini wa President elect yaani 2025.
Mjadala uko mubashara Star tv muda huu kipindi cha Ajenda.
Itaendelea.