.............SASA WAJINGA NDIO WANAOSEMA HUMU KUWA NCHIMBI ANAPINGA WASOMI,NAPE MALIZA SHULE YAKO KARNE HII UMOJA WA VIJANA WA CCM HAUWEZI RUDI NYUMA NA KUONGOZWA NA MTU AMBAE HAJAMALIZA HIGHER INSTITUTION KAMA KIONGOZI WA VIJANA CHADEMA.KATIKA WATU WOTE WALIOONYESHA NIA YA KUGOMBEA NAFASI YA NCHIMBI KATI YA 17 NI MMOJA TU AMBAYE NI NAPE HAJAGRADUATE NA MBAYA NI MKUBWA KWA UMRI KULIKO WENZIE..TENA FAMILIA YA MNAUYE HAIMTAMBUI ALIJITANGAZA KUWA NI MTOTO WA MNAUYE BAADA YA MZEE KUFA.INASEMEKANA BABA YAKE HALALI NI MTUSI.........
Ndugu yangu Fisadi mtoto,kweli we fisadi mtoto..kwanza hapa mimi ndo niliyetetea kuwa yapo mazuri machache ya Nchimbi nikayataja na kuomba wenye mazuri mengine wayataje,mwisho wa siku tuyapime na yanayosemwa mabaya yake!!!!!!!Ongeza nondo za uzuri wake walau ujae kijiko cha chai ili tujadili vizuri.
Hili la bwana mdogo Nape nadhani UZANDIKI huo unataka kuvuka mipaka.FITINA hii iliwahi kutumika mwaka2003/2004 alipogombea mara ya kwanza Uenyekiti wa vijana...tena nakumbuka ilikuwa gazeti la Tazama ambalo lilikuwa mahususi kumbeba Nchimbi na mtandao wakati huo na ndo maana sasa moja ya nguzo muhimu za gazeti hilo yupo UVCCM,Charles Charles ka shukrani kwa kazi nzuri.
Nakiri simfahamu sana Nape lakini machache nayafahamu juu yake maana naikumbuka vizuri hoja hii...ALIYEMPELEKA NAPE CHUO CHA SIASA KIVUKONI-CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWL.NYERERE MWAKA 2001 NI BRIG.GEN.(rtd) MOSES NNAUYE NA KUANDIKISHA KUWA NI BABA YAKE MZAZI AMBAYE NDIYE ALIYEKUWA ANAMLIPIA MASOMO YALE.
-ILIPOIBULIWA HOJA YA UBABA WA NNAUYE KWA NAPE MSEMAJI WA FAMILIA MZEE GALLUS ABEID-(sasa ni mtumishi Taasisi ya Mwl.Nyerere Dar kama msaidizi wa mzee Butiku) alikuja na orodha ya watoto wa mzee Nnauye,ambayo ilitiwa sahihi na Mzee Nnauye mwenyewe tena mwaka 1983 ambayo alidai coppy iko ikulu na mahakamani kwa ajili ya shughuli za mirathi na kwa Mzee Makamba ambaye naye alithibitisha kuwa na coppy ya watoto wa mzee Nnauye yenye jina la Nape,tena limeandikwa Napalepe,hili ni jina la kimakonde lenye maana ya "HATA IWEJE ITAKUWA"
Data kwa uchache wa hoja yako, SI VIZURI KUTUMIWA, WANAKUTUMIA ILI MUMUHARIBIE KIJANA WAWATU BIAL SABABU,HAO HOJA HIYO ILIWAHI KUJA NAKUKUMBUSHA NI UZANDIKI AMBAO ULIKWISHA SHINDWA SIKU NYINGI. HIVI KAMA IPO KWENYE ORODHA YA WATOTO TENA MAHAKAMANI KWA AJILI YA MIRATHI ANAYESEMA NI MWANA FAMILIA NA HAMTAMBUI NI NANI??? HAO MAFISADI WANATAKA KUJIFANYA WASEMAJI WA FAMILIYA??? UKIHITAJI DATA ZAIDI NINAZO,ACHA KUTUMIKA WANAKUUZA.
HILO LA UMRI WA NAPE NALO LILITUMIKA WAKATI ANAGOMBEA NEC 2007,BAHATI MBAYA LIKASHINDWA DAKIKA YA MWISHO TENA JK AKAWAUMBUA "msimuonee Nape mpeni haki yake" wakajaribu kuhakikisha anaanguka huku wakidhani yupo shule India atashindwa,kila wakitathimini dogo anashinda wakataka basi walau awe wa mwisho,akawachana mashine waliotakiwa na mafisadi akiwemo Beno.Akapata kura za kishindo!!!!Ikiwa aligombea NEC akaruhusiwa leo miezi sita baadae eti manakuja na hoja ya kuzidi umri,ajabu kabisa!!Labda asitake tu yeye mwenyewe kugombea na ndio dua za wapambe wa Nchimbi na wafuasi wake maana wanajua si mchezo akiingiza jina.Ninachokumbuka huyu bwana kazaliwa mwishoni mwa mwaka 1977 na ndo maana Nchimbi kwa kuweweseka akatangaza kuwa atakayegombea awe amezaliwa 1978 anataka kumzuia Nape,jambo ambalo linamnyima usingizi.
DHAMBI YA NAPE NI MOJA TU,SI MWANAMTANDAO TENA ALIYEWAZI KUSEMA POPOTE BILA AIBU NA UKWELI WAKE UNAWATISHA MAFISADI. LA ELIMU NILICHOSIKIA TOKA KWA WAPAMBE WAKE ANAMALIZA MAY 2008 ANAKUJA NA DEGREE TENA SIO MOJA......wacha nipumue!