Dk. Nchimbi tulia! Mwosha huoshwa

Dk. Nchimbi tulia! Mwosha huoshwa

Mkuu naomba kueleweka wazi kuwa sina na wala sikuwa na nia ya kuingilia any side ya huu mjadala, isipokuwa tu niliamua kuweka sawa mambo ambayo sikuyaona kuwa sawa, lakini sijui nani anagombea au nani hagombei, nani anakubalika na nani hakubaliki, lakini one thing I know ni kwamba ni mgombea anyetakiwa Rostam, ndiye mwenye nafasi kubwa ya kushinda. Otherwise ningewaomba tu muendelee na mjadala wenu.

Mkuu ES umenikuna na hiyo kauli kuwa anayetakiwa na RA ndiye mwenye nafasi ya kushinda unaweza ifafanua kidogo hiyo? Inaonyesha RA ana nafasi kubwa sana kwenye mustakabali wa CCM na hata nchi mtandao wake si ndiyo ulimweka JK? hebu kata issue hapo
 
Mkuu naomba kueleweka wazi kuwa sina na wala sikuwa na nia ya kuingilia any side ya huu mjadala, isipokuwa tu niliamua kuweka sawa mambo ambayo sikuyaona kuwa sawa, lakini sijui nani anagombea au nani hagombei, nani anakubalika na nani hakubaliki, lakini one thing I know ni kwamba ni mgombea anyetakiwa Rostam, ndiye mwenye nafasi kubwa ya kushinda.

Otherwise ningewaomba tu muendelee na mjadala wenu.

Siku zote ES ukiwa umeacha unazi huwa una spill beans kwa hili nasema chukua tano .Hili nami nakutetea kabisa huna wa kumuunga mkono na sababu ninazo sizitoi .
 
anayetakiwa na RA ndiye mwenye nafasi ya kushinda unaweza ifafanua kidogo hiyo? Inaonyesha RA ana nafasi kubwa sana kwenye mustakabali wa CCM na hata nchi mtandao wake si ndiyo ulimweka JK? hebu kata issue hapo

Mkuu wangu Ushirombo,

Heshima mbele, uchaguzi siku hizi ni pesa, leo ninajua kwa mahesabu ya haraka haraka ili uwe kuwa mwenyekiti wa UV-CCM ni lazima umwage angalau Shillingi za bongo millioni 300, sasa honestly analysis Nchimbi au Ridhiwani, watazitoa wapi hizo? Siku zote ni Ra peke yake mwenye huo uwezo na ninajua kuwa huwa anawakopesha na ninajua kuwa anawadai viongozi wengi sana wa juu, ndio maana wameishiwa nguvu ambazo zamani walikuwa nazo sana, matokeo yake wameishia kukosa nafasi zote muhimu walizokuwa wanazitaka ndani ya CCM kwa sababu Asilia wamewabana pabaya, na pole pole wameanza kujiuzulu, hiyo power Mtandao walipewa na Mkapa, na inasadikiwa kuwa moja ya sababu ilikuwa ni yeye Mkapa, kujikingia na maovu yake yasisemwe wazi au kuchukuliwa hatua za kisheria ndio maana akajikita kwa Mtandao,

Lakini things are changing, maana wabunge wa CCM wamekuja juu sana, najua kuwa wabunge sasa wana agenda ya Kiwira na Bandari, ambako kote kuna mikono mizito ya mkapa, muungwana ameshaonyesha kuwa hana ubavu under political pressure, kwa hiyo more political storms are coming.

Waandishi wetu uchwara wameharibu sana kwenye ishu ya Lowassa, kwa sababu angetokea mwanahabari safi asiyekuwa na ubia na hawa wanasiasa, angeweza kufukua mengi sana behind kujiuzulu kwa Lowassa, ambayo hayatakuja kusemwa wazi kwa wananchi kuhusiana na kutoka kwake, kwa sababu ukweli ni kwamba the man was at odd na wabunge kwa muda mrefu sana, kwenye very important ishus za taifa wabunge wamekuwa wakimuonya lowassa na muungwana, kwa muda mrefu sana lakini wote walikuwa hawasikiii, sasa the time is up wabunge hawatasimamishwa tena na anybody, na huko Butiama, ninakukikishia kuwa hakuna usalama huko.

Ahsante mkuu, naomba kukakaa pembeni na huu mjadala.
 
Ushahidi wa meseji za zito kwenye simu ya Amina {RIP} mahakamani katika nchi ya Tanzania-Dar au Dodoma ambako sim card zinauzwa kama maandazi ya mama ntilie kwa bei ya 500 na hakuna uthibitisho kuwa sim card hiyo ni haswa ya huyo aliyetumia ndio uthibitishe tuhuma za wanasiasa nguli kutoka vyama viwili toafauti tena pinzani katika mahakama tukufu ikisimamiwa na mawakiri makini kutokana na umakini na mvuto wa itakayo kuwa kesi.Huh!!kama ili litafanyika na likathibitishwa mahakamani kuwa mh.Zitto ndie mwenye sms na kuonekana kumtia hatiani au kumhusisha na kashfa basi mwaka huu Dunia inaisha rasmi na kwa wale wakristo ndipo tutamwona Yesu akishuka mawinguni.

Mr.Nchimbi nenda mahakamani tu.Hata mimi nakushauri uwahi haraka ili tujue mengi zaidi.Unafikiri hatujui habari zako???Nenda baba ukaaibike vizuri.Wewe unataka kumuongezea LISSU umaarufu tu kwani lazima atachukua kesi hiyo kumtetea Tanzania Daima na you gonna loose.
Kwani mabomu yako uliyokuwa unatumia zamani kimya kimya kumaliza shida ndogondogo kama hizo siku hizi hayafanyi kazi?? Au umevunja masharti?? Jaribu kwenda na kwao PM mpya.Kule nako ni wazuri.uta-renew mambo yako na yatakuwa sawa.Usilalie Bagamoyo tu.

Majita, haiyumkini wewe ni bonge ya mshirikina! Ukilala, ukiamka na ukikaa, ukitembea unasikia sauti kichwani mwako! Katika karne hii ingefaa tuache kuchochea mambo ya kishirikina. Nadhani wewe ni kati ya wale watu ambao wakisikia Bagamoyo, Sumbawanga, Pemba na Tanga wanachowaza si utajiri wa Tanzania katika mambo ya historia, ardhi yenye rutuba, wala natural harbour. Badala yake majina hayo yote yanakukumbusha MAHOKA! Tutaendelea kweli?
 
Nchimbi namjua ni mwanasiasa makini sana,hajakuruouka kwenda mahakamani ndio maaana wakati magazeti ya udaku kama Msanii yallipokuwa yakiandika ujinga alinyamaza na sasa likaja gazeti makini kama tanzania daima hapo naona akaamua apatumie kusafisha jina lake na sehemu pekee ambayo ushahidi wa wazi utaanikwa bila hofu ni mahakamani.Napiga taswira pale Mpakanjia atakapokuwa akiieleza mahakama jinsi ambavyo alimkamata Amina na meseji za mh Zito na pale madaktari wa liugalo watakapoeleza sababu za kifo cha Amina.mtaona aibu.NCHIMBI NAKUJUA WEWE NI MPIGANAJI,HUKATI TAMAA NA WALA HUJAWAHI KUBEBWA,PIGANA MPIGANAJI BECOUSE YOU HAVE NOTHING TO LOOSE EXCEPT MAJUNGU WANAYOKUPIGA NA UMBEYA.OUT OF THESE UTAIBUKA UKIWA NA NGUVU ZAIDI NA UTATOA SOMO KWA WAANDISHI UCHWARA WA TANZANIA NA PIA KWA WANASIASA WENZAKO WAACHE WOGA WA KUDAI HAKI ZAO NA WAACHE KUTUMIA TINDIKALI BALI WAENDE MAHAKAMANI,CHOMBO CHA HAKI.SONGA MBELE COMARADE TUKO NYUMA YAKO.

Maneno hayo! Haya ndiyo maneno ya kumwambia Muungwana. Sio mtu anataka kufuata njia njema mwingine anajifanya kutoa ushauri wa kumsaidia eti "ataaibika mahakamani" Ni ujinga mtupu! Nchimbi hawezi kuaibika mahakamani, watakaoaibika ni wale wanaopika kisichoiva na baadaye wanaogopa kupakua!
 
Maneno hayo! Haya ndiyo maneno ya kumwambia Muungwana. Sio mtu anataka kufuata njia njema mwingine anajifanya kutoa ushauri wa kumsaidia eti "ataaibika mahakamani" Ni ujinga mtupu! Nchimbi hawezi kuaibika mahakamani, watakaoaibika ni wale wanaopika kisichoiva na baadaye wanaogopa kupakua!

Je kesha tangaza lini anafungua kesi ? Au amesha fungua ? Kama kesha fungua ni namba ngapi ? Ana mada gani na itaanza kuunguruma lini ? Asije akaongeza idadi ya wanao tishia akaonekana wa ajabu .
 
Mkuu naomba kueleweka wazi kuwa sina na wala sikuwa na nia ya kuingilia any side ya huu mjadala, isipokuwa tu niliamua kuweka sawa mambo ambayo sikuyaona kuwa sawa, lakini sijui nani anagombea au nani hagombei, nani anakubalika na nani hakubaliki, lakini one thing I know ni kwamba ni mgombea anyetakiwa Rostam, ndiye mwenye nafasi kubwa ya kushinda.

Otherwise ningewaomba tu muendelee na mjadala wenu.

Najua una mapenzi makubwa ya familia ya mzee malecela na mpaka wazee walipokaa kusikiliza ushuhuda wa Mary nchimbi nawe ulialikwa.kwa hili wewe ni muongo mkubwa,kwani swala la baadhi ya watu kama kina londa kulaumiwa kwa kifo cha ipi kilianza ata kabla ya kufika dom ambako wewe unadai ndiko ushuhuda wa mary nchimbi ulitolewa.kumbuka ilitoka listi ya watu wasiotakiwa ktk msiba ule ata kabla ya huo ushuhuda wako,hapom ina maana mzee wako malecela alikuwaameshaota kabla ya ata huo ushuhuda?nimeongea na mary nchimbi katibu wa wilaya wa lufiji,amesema unapaswa kwenda kupimwa akili kwa uzushi wako huo,hajawahi kuongelea hicho kitu na wala hakijui kabisa.sasa wewe sijui ulikipata wapi hicho.Malecela alimuoa Kilingo kwa matarajio ya kuwa ni rais.rais mzee aliekataliwa na Nyerere....kile cheo alichopew ni siasa tu ya kumvua umakamu mwenyekiti wa ccm.ndio maana ata aliepewa ni almost age mate wake.Msekwa amerudishwa madarakani baada kugundulika ilikuwa na makosa kumtoa hasa baada ya SS kuonekana hana uwezo na msaliti mkubwa.Mambo makubwa aliofanya malecela ni yapi na ana nini mpaka mtu akamuombe nafasi ya chama.kisiasa tayari ni marehemu hawezi rudi tena ndio kaenda mzaee wako malecela.
 
Je kesha tangaza lini anafungua kesi ? Au amesha fungua ? Kama kesha fungua ni namba ngapi ? Ana mada gani na itaanza kuunguruma lini ? Asije akaongeza idadi ya wanao tishia akaonekana wa ajabu .

NIMETOKA KUFATILIA KESI YA KIHISTORIA KWA NCHI ZA DUNIA YA TATU AMBAPO HADHI YA MYU NA HESHIMA YAKE SI MUHIMU SANA HASA INAPOKUWA IMEVUNJWA NA WAFALME,MACHIFU,WAMISIONARI NA SASA MAGAZETI.HUPASWI KUYAHOJI WALA KUYAULIZA KWA HOFU YA KUJIMALIZA KISIASA.......LEO MAWAKILI WAWILI YANI LUGAZIYA KNA KAMPUNI YAKE NA WAKILI KENNEDY FUNGAMTAMA AMBAYE PIA NI WAKILI WA MAGAZETI YA MWANANCHI WAMEFUNGUA KESI RASMI MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KWA NIABA YA NDG NCHIMBI DHIDI YA GAZETI LA TANZANIA DAIMA NA WAANDISHI WAKE AKIWATAKA WATHIBITISHE TUHUMA DHIDI YAKE.BRAVO CAMARADE NCHIMBI!!!!!!!!!!!!!!
 
Dk. Nchimbi hatamalizwa kwa chuki

Na Zephaniaanjela

Kumekuwa na mjadala mkubwa uliojaa kila aina ya fitina, majungu na unafiki mkubwa dhidi ya Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Emmanuel John Nchimbi.

Wazushi wanatumia aina zote za uongo wanaoufahamu ili kuhalalisha matakwa yao na kukidhi malengo yao ya kisiasa.

Wanadai wana mashaka na udaktari wa falsafa wa Dk. Nchimbi, lakini hakuna hata mmoja wao anayeleta ushahidi wa vyeti ili kuthibitisha elimu yake mwenyewe kusudi tuone ni nani kati yao na Mbunge huyo wa Songea Mjini ambaye pia ni Mwenyekiti wa UVCCM aliyekwenda shule zaidi.

Nilipoandika kupinga uongo wa Irene Mark "wambea" wakazusha nimehongwa, lakini kutokana na ufinyu wa mawazo na upeo wao mdogo wa akili hakuna mashaka yoyote kwamba waliokuja na madai hayo ni "malimbukeni" wasiokuwa na hoja.

Kama Irene aliandika uongo dhidi ya Nchimbi akiamini ndivyo ilivyo, kwa nini yeye hakuambiwa kuwa kahongwa? Kwa nini tuhuma hizo za hongo ziwe kwa wale tu wanaozungumza katika upande wa pili kama siyo wendawazimu wa akili na chuki zilizovuka mpaka?

Iweje Irene, mfanyakazi wa Freeman Mbowe asionekane katumwa "kuichafua" CCM kwa kisingizio cha kuandika tuhuma za Nchimbi, zile ambazo hata hivyo ni uongo na uzandiki?

Mbona hakuandika kashfa ya Mbowe, mkewe na mdogo wake kukopa mamilioni ya fedha kutoka NSSF wakati siyo mwanachama wa mfuko huo, kisha akagoma kulipa na kuleta visingizio vya kitoto?

Inawezekanaje baada ya kuchukua fedha hizo aanze kuwadanganya Watanzania eti kuwa riba ya mkopo huo ni kubwa isivyo kawaida? Kipi kinaanza kati ya mkopaji kuyasoma masharti ya mkopo na kisha kutia saini ya kukopa kama ameridhika nayo? Mbowe pamoja na mkewe wanadhani watu hawana akili timamu wanapotaka kuwadanganya kama watoto wanaonyonya?

Narudia tena kuwa hata kama "mkichonga" mchana kutwa ama usiku kucha, Dk. Emmanuel John Nchimbi atabaki yuleyule aliyepanda ngazi moja hadi nyingine akianza na elimu ya chekechea, shule ya msingi, sekondari ya kawaida, sekondari ya juu na hatimaye akaanza kuhitimu shahada moja baada ya nyingine na kutunukiwa udaktari wa falsafa.

Anayedhani kwamba akimkashfu kwa makala za chuki magazetini au kupitia Jambo Forums "atammaliza" kisiasa ajue anajidanganya na kupoteza muda wake mwenyewe.

Long live Dk. Nchimbi. Long live Tanzania!
 
Dk. Nchimbi hatamalizwa kwa chuki

Na Zephaniaanjela

Kumekuwa na mjadala mkubwa uliojaa kila aina ya fitina, majungu na unafiki mkubwa dhidi ya Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Emmanuel John Nchimbi.

Wazushi wanatumia aina zote za uongo wanaoufahamu ili kuhalalisha matakwa yao na kukidhi malengo yao ya kisiasa.

Wanadai wana mashaka na udaktari wa falsafa wa Dk. Nchimbi, lakini hakuna hata mmoja wao anayeleta ushahidi wa vyeti ili kuthibitisha elimu yake mwenyewe kusudi tuone ni nani kati yao na Mbunge huyo wa Songea Mjini ambaye pia ni Mwenyekiti wa UVCCM aliyekwenda shule zaidi.

Nilipoandika kupinga uongo wa Irene Mark "wambea" wakazusha nimehongwa, lakini kutokana na ufinyu wa mawazo na upeo wao mdogo wa akili hakuna mashaka yoyote kwamba waliokuja na madai hayo ni "malimbukeni" wasiokuwa na hoja.

Kama Irene aliandika uongo dhidi ya Nchimbi akiamini ndivyo ilivyo, kwa nini yeye hakuambiwa kuwa kahongwa? Kwa nini tuhuma hizo za hongo ziwe kwa wale tu wanaozungumza katika upande wa pili kama siyo wendawazimu wa akili na chuki zilizovuka mpaka?

Iweje Irene, mfanyakazi wa Freeman Mbowe asionekane katumwa "kuichafua" CCM kwa kisingizio cha kuandika tuhuma za Nchimbi, zile ambazo hata hivyo ni uongo na uzandiki?

Mbona hakuandika kashfa ya Mbowe, mkewe na mdogo wake kukopa mamilioni ya fedha kutoka NSSF wakati siyo mwanachama wa mfuko huo, kisha akagoma kulipa na kuleta visingizio vya kitoto?

Inawezekanaje baada ya kuchukua fedha hizo aanze kuwadanganya Watanzania eti kuwa riba ya mkopo huo ni kubwa isivyo kawaida? Kipi kinaanza kati ya mkopaji kuyasoma masharti ya mkopo na kisha kutia saini ya kukopa kama ameridhika nayo? Mbowe pamoja na mkewe wanadhani watu hawana akili timamu wanapotaka kuwadanganya kama watoto wanaonyonya?

Narudia tena kuwa hata kama "mkichonga" mchana kutwa ama usiku kucha, Dk. Emmanuel John Nchimbi atabaki yuleyule aliyepanda ngazi moja hadi nyingine akianza na elimu ya chekechea, shule ya msingi, sekondari ya kawaida, sekondari ya juu na hatimaye akaanza kuhitimu shahada moja baada ya nyingine na kutunukiwa udaktari wa falsafa.

Anayedhani kwamba akimkashfu kwa makala za chuki magazetini au kupitia Jambo Forums "atammaliza" kisiasa ajue anajidanganya na kupoteza muda wake mwenyewe.

Long live Dk. Nchimbi. Long live Tanzania!

Haya Baba Zephania Anjela. Uamuzi wako wa kuandika haya makala mtandaoni ni ishara kuwa wewe na boss wako Nchimbi mmeguswa sana tu. Nchimbi si amesema anakwenda mahakamani jamani? Anasubiri nini? Aende akaishitaki pia Jambo Forums basi

Asha
 
Dk. Nchimbi hatamalizwa kwa chuki

Na Zephaniaanjela

Kumekuwa na mjadala mkubwa uliojaa kila aina ya fitina, majungu na unafiki mkubwa dhidi ya Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Emmanuel John Nchimbi.

Wazushi wanatumia aina zote za uongo wanaoufahamu ili kuhalalisha matakwa yao na kukidhi malengo yao ya kisiasa.

Wanadai wana mashaka na udaktari wa falsafa wa Dk. Nchimbi, lakini hakuna hata mmoja wao anayeleta ushahidi wa vyeti ili kuthibitisha elimu yake mwenyewe kusudi tuone ni nani kati yao na Mbunge huyo wa Songea Mjini ambaye pia ni Mwenyekiti wa UVCCM aliyekwenda shule zaidi.

Nilipoandika kupinga uongo wa Irene Mark "wambea" wakazusha nimehongwa, lakini kutokana na ufinyu wa mawazo na upeo wao mdogo wa akili hakuna mashaka yoyote kwamba waliokuja na madai hayo ni "malimbukeni" wasiokuwa na hoja.

Kama Irene aliandika uongo dhidi ya Nchimbi akiamini ndivyo ilivyo, kwa nini yeye hakuambiwa kuwa kahongwa? Kwa nini tuhuma hizo za hongo ziwe kwa wale tu wanaozungumza katika upande wa pili kama siyo wendawazimu wa akili na chuki zilizovuka mpaka?

Iweje Irene, mfanyakazi wa Freeman Mbowe asionekane katumwa "kuichafua" CCM kwa kisingizio cha kuandika tuhuma za Nchimbi, zile ambazo hata hivyo ni uongo na uzandiki?

Mbona hakuandika kashfa ya Mbowe, mkewe na mdogo wake kukopa mamilioni ya fedha kutoka NSSF wakati siyo mwanachama wa mfuko huo, kisha akagoma kulipa na kuleta visingizio vya kitoto?

Inawezekanaje baada ya kuchukua fedha hizo aanze kuwadanganya Watanzania eti kuwa riba ya mkopo huo ni kubwa isivyo kawaida? Kipi kinaanza kati ya mkopaji kuyasoma masharti ya mkopo na kisha kutia saini ya kukopa kama ameridhika nayo? Mbowe pamoja na mkewe wanadhani watu hawana akili timamu wanapotaka kuwadanganya kama watoto wanaonyonya?

Narudia tena kuwa hata kama "mkichonga" mchana kutwa ama usiku kucha, Dk. Emmanuel John Nchimbi atabaki yuleyule aliyepanda ngazi moja hadi nyingine akianza na elimu ya chekechea, shule ya msingi, sekondari ya kawaida, sekondari ya juu na hatimaye akaanza kuhitimu shahada moja baada ya nyingine na kutunukiwa udaktari wa falsafa.

Anayedhani kwamba akimkashfu kwa makala za chuki magazetini au kupitia Jambo Forums "atammaliza" kisiasa ajue anajidanganya na kupoteza muda wake mwenyewe.

Long live Dk. Nchimbi. Long live Tanzania!
WIVUU DHIDI YA MAFANIKIO ALIOYAPATA.KAMALIZA TU MZUMBE KAANZA KUPANDA VYEO KAMA UTANI HUKU AKIWADONDOSHA VIGOGO KAMA KINA FRANK UHAULA,NAPELEE NA LAWRENCE GAMA,HAJAPATA KUANGUKA UCHAGUZI HALALI ATA SIKU MOJA NA BADO ANASONGA MBELE HUKU AKIWA ANAJIIMARISHA ZAIDI NDANI YA CHAMA.NA SASA ATASHINDA KESI DHIDI YA MAFARAO WA TANZANIA DAIMA GAZETI LA MBOWE WA CHADEMA
 
NIMETOKA KUFATILIA KESI YA KIHISTORIA KWA NCHI ZA DUNIA YA TATU AMBAPO HADHI YA MYU NA HESHIMA YAKE SI MUHIMU SANA HASA INAPOKUWA IMEVUNJWA NA WAFALME,MACHIFU,WAMISIONARI NA SASA MAGAZETI.HUPASWI KUYAHOJI WALA KUYAULIZA KWA HOFU YA KUJIMALIZA KISIASA.......LEO MAWAKILI WAWILI YANI LUGAZIYA KNA KAMPUNI YAKE NA WAKILI KENNEDY FUNGAMTAMA AMBAYE PIA NI WAKILI WA MAGAZETI YA MWANANCHI WAMEFUNGUA KESI RASMI MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KWA NIABA YA NDG NCHIMBI DHIDI YA GAZETI LA TANZANIA DAIMA NA WAANDISHI WAKE AKIWATAKA WATHIBITISHE TUHUMA DHIDI YAKE.BRAVO CAMARADE NCHIMBI!!!!!!!!!!!!!!

haya bado ni maneno na aina ya madai pekee unaona kwamba ni gelesha .Kama kuna kesi ya aina hiyo wacha tungojee tutaona tu .Umesha sema kaa pembeni tungoje sasa vyombo vya habari vitupe news hizi natutaanzia hapo .Lakini hadi sasa ni maneno matupu na ikizingatiwa kwamba Nchimbi anajua watu kama wewe mko kazini .
 
haya bado ni maneno na aina ya madai pekee unaona kwamba ni gelesha .Kama kuna kesi ya aina hiyo wacha tungojee tutaona tu .Umesha sema kaa pembeni tungoje sasa vyombo vya habari vitupe news hizi natutaanzia hapo .Lakini hadi sasa ni maneno matupu na ikizingatiwa kwamba Nchimbi anajua watu kama wewe mko kazini .

Well put...nimependa hiyoo nukuuu
 
WIVUU DHIDI YA MAFANIKIO ALIOYAPATA.KAMALIZA TU MZUMBE KAANZA KUPANDA VYEO KAMA UTANI HUKU AKIWADONDOSHA VIGOGO KAMA KINA FRANK UHAULA,NAPELEE NA LAWRENCE GAMA,HAJAPATA KUANGUKA UCHAGUZI HALALI ATA SIKU MOJA NA BADO ANASONGA MBELE HUKU AKIWA ANAJIIMARISHA ZAIDI NDANI YA CHAMA.NA SASA ATASHINDA KESI DHIDI YA MAFARAO WA TANZANIA DAIMA GAZETI LA MBOWE WA CHADEMA

i like your message, but i hate your name, just a joke.
 
WIVUU DHIDI YA MAFANIKIO ALIOYAPATA.KAMALIZA TU MZUMBE KAANZA KUPANDA VYEO KAMA UTANI HUKU AKIWADONDOSHA VIGOGO KAMA KINA FRANK UHAULA,NAPELEE NA LAWRENCE GAMA,HAJAPATA KUANGUKA UCHAGUZI HALALI ATA SIKU MOJA NA BADO ANASONGA MBELE HUKU AKIWA ANAJIIMARISHA ZAIDI NDANI YA CHAMA.NA SASA ATASHINDA KESI DHIDI YA MAFARAO WA TANZANIA DAIMA GAZETI LA MBOWE WA CHADEMA

Nadhani tujadili hoja badala ya kupersonalise hoja!!! Hya usemayo rafiki yangu hayajengi nchi,maana kila atakayejadiliwa hapa utasema wivu dhidi ya mafanikio yake kisiasa!!Hivi mbona Nchimbi ni senior kwa kina Masha na Kamalla na wamemzidi vyeo hatusemi??Huu ni utaratibu tu wa kupanda!!Nchimbi mwenyewe anakiri na hapa na mnukuu..."najivunia kujua kushinda na kushindwa katika uchaguzi,karibu nusu ya chaguzi nilizogombea nimeshindwa na nusu nimeshinda"...Sasa rafiki haya ni maneno yake mwenyewe wewe unataka kupotosha umma hapa?..Halafu humtendei haki kumlinganisha na Nape tena waliharibu jina la kijana kwa kumuita Napelele!Nape bado kiumri,elimu na hata uzoefu hawezi kumfikia Nchimbi,pamoja na kuwa anaweza kuwa na akili mbichi ya kileo kuliko Nchimbi na ni jambo la kawaida kwani maisha na tabia ya mtu pamoja na kuathiriwa na genetics,huwa pia ni matokeo ya experience ya maisha.
 
Haya Baba Zephania Anjela. Uamuzi wako wa kuandika haya makala mtandaoni ni ishara kuwa wewe na boss wako Nchimbi mmeguswa sana tu. Nchimbi si amesema anakwenda mahakamani jamani? Anasubiri nini? Aende akaishitaki pia Jambo Forums basi

Asha
Asha huna hoja hapa wahi ukapike.kila jambo lina utaratibu wake na kamwe huwezi lazimisha Nchimbi aende mahakamani kwa speed yako wewe,bali atafata taratibu stahiki.Wewe umetumwa na bosi wako Mbowe kujibu haya?sasa kwa nini kila anaetoa mawazo yake hapa unadai ameguswa?ok kwa taarifa yako leo ndio kesi inatakiwa kufinguliwa kwa maana siku saba zimepita,tulia uone mwisho wake acha haraka kama unaoga nje.
 
Asha huna hoja hapa wahi ukapike.kila jambo lina utaratibu wake na kamwe huwezi lazimisha Nchimbi aende mahakamani kwa speed yako wewe,bali atafata taratibu stahiki.Wewe umetumwa na bosi wako Mbowe kujibu haya?sasa kwa nini kila anaetoa mawazo yake hapa unadai ameguswa?ok kwa taarifa yako leo ndio kesi inatakiwa kufinguliwa kwa maana siku saba zimepita,tulia uone mwisho wake acha haraka kama unaoga nje.

Kaka Fisadi mtoto kwa post hii nashukuru swali langu binafsi la muda mrefu nimepata jibu.

Pia kaka naomba uwakumbushe kua NAPE hatuna tatizo nae ila hapa tuanchojadili je ni material kwa jumiya yetu? interms of MAADILI,VISSION,MISSION,ATTITUDE,kwa wanaomfahamu nape wanajua kua yeye ni kijana na anauzoefu kua mnec kwa vipindi viwili je hiyo inatosha kumpa nafasi tuachane na umri,mimi kama mdau tajadili hayo mabo mnne niliyoyataja juu hapo kama baadhi ya wana JF waloniomba nimuongelee NAPE pia.

MAADILI.
Nape hana maadili mema kwa waliosoma nae pale kivukoni watakumbuka jinsi alivompora mshikaji mke ambae leo ndo mke wake just bcs anatumia influence yakua ndani ya chama mke alienae kampora mtu nisinge penda kumtaja hapa.

VISSION/mission
Hana vission ya kutupeleka sehemu todate niliongea nae katika baraza kuu dodoma juu ya mpango wake huu na kuja kugundua kua kumbe bado anamawazo ya kina malecela na hii ilikua ndo kauli yake( mimi tagombea uenyekiti na mama akimaanisha mama malecela atagomea UWT na mzee ni mjumbe wa kamati kuu tutaona hao jamaa wakina nchimbi watatokea wapi)hii ndo vission yake kulipiza kisasi ambacho sisi vijana hatujui wameandaa nini.

ATTITUDE/BEHAVIOUR/MAHUSIANO
Hili ni jambo muhimu kama kiongozi na hasa wa vijana NAPE ana bad behaviuor ya kua opportunist pale panapokua na uchaguzi anakua karibu na wapiga kura uchaguzi ukipita hata sms za wapiga kura kujibu inakua shida kidogo huyu tumpe uongozi,anatabia ya umungu mtu nape ameshiriki leo kummaliza mwenyekiti wa uvccm mkoa wa mtwara mpaka kuvuliwa uanachama.

Nachosema hapa ni kua leo hii tunamtafuta kiongozi wa aina gani je ni hawa ambao wanasema vitu ambavyo hawatendi tumesoma mmoja anatangaza kua atagombea but anachukia wanakua na vyeo vingi akisahau kua yeye anavyo zaidi ya kumi.

NAOMBA KUWASILISHA
 
Nadhani tujadili hoja badala ya kupersonalise hoja!!! Hya usemayo rafiki yangu hayajengi nchi,maana kila atakayejadiliwa hapa utasema wivu dhidi ya mafanikio yake kisiasa!!Hivi mbona Nchimbi ni senior kwa kina Masha na Kamalla na wamemzidi vyeo hatusemi??Huu ni utaratibu tu wa kupanda!!Nchimbi mwenyewe anakiri na hapa na mnukuu..."najivunia kujua kushinda na kushindwa katika uchaguzi,karibu nusu ya chaguzi nilizogombea nimeshindwa na nusu nimeshinda"...Sasa rafiki haya ni maneno yake mwenyewe wewe unataka kupotosha umma hapa?..Halafu humtendei haki kumlinganisha na Nape tena waliharibu jina la kijana kwa kumuita Napelele!Nape bado kiumri,elimu na hata uzoefu hawezi kumfikia Nchimbi,pamoja na kuwa anaweza kuwa na akili mbichi ya kileo kuliko Nchimbi na ni jambo la kawaida kwani maisha na tabia ya mtu pamoja na kuathiriwa na genetics,huwa pia ni matokeo ya experience ya maisha.
Unaposema kuwa masha na kamala kuwa nchimbi ni seneor kwao una maan gani!na vina uhusiano gani na kupanda vyeo ktk siasa???siasa haipandi kwa kuangalia ni nani alianza kuingia.au unaangalia jinsi ambavyo nafasi zao za kwanza kabisa katika siasa waliteuliwa na Nchimbi,yes kama mwanasiasa nadhani atakuwa anajivunia mafanikio hayo ya watu aliowagroom ktk siasa kupanda vyeo.Lakini ukumbuke kuwa Masha na Kamala wote kwa Nchimbi ni wakubwa kwa umri kumpita Nchimbi.
 
Back
Top Bottom