Jamani mwacheni aende huko Mahakamani, kwani sii anaona sh. Bilioni Moja ndio atamaliza kila kitu.. Kwani nani asiyejua kuwa aliandikwa sana wakati wa uchaguzi wa UVCCM mwaka 1998? Kwanza tunamjua ni "FUNDI" na ufundi wenyewe anao mwenyewe wala aendi mahali SCREEN anazo mwenyewe. Nani asiyejua yule dada aliyekuwa tishio kubwa kwake mwaka huo alilala hospitali zaidi ya mwezi? kama sio wazazi wake kuwa na hela lile kombora lilikuwa limchukue.. Nani asiyejua kuwa aliandikwa sana kwenye sakata la kifo cha Amina Chifupa? Nani asiyejua kuwa Amina alikuwa tishio kubwa kwa UVCCM? Mwacheni aende huko Mahakamani tutajua mambo mengi zaidi siku akienda mahakamani. Yeye asiandikwe kwa kuwa ni naibu waziri wa ulinzi au? Mbona wengine wanaandikwa? kama hataki kuandikwa sii akae nyumbani kwake aone kama kuna mtu atamfuata? Amekubali mwenyewe kuwa Public Figure waache watu wamchambue..