Dk. Nchimbi tulia! Mwosha huoshwa

Dk. Nchimbi tulia! Mwosha huoshwa

Utaachaje kuyapenda nawe akilia yako haina uwezo wa kufunguka kwa haraka na kuona hoja

Fisadi ukitaka uaminike sisi tutangoja mawakili wenyewe waseme kama kawaida yao kwamba wana kesi Mahakama Kuu na ni kesi namba ngapi . Kama haya hayatakuwepo then acha tuendelee kusikia wengine wanasemaje kuhusu Nchimbi na kwenda Mahakamani.Wamesha toa maonyo hapa akina Masha majuzi tu na kwenda Mahakamani juu ya Imma lakini hadi sasa kimya .Au maeneo ya Mahakani ni mbali kiasi kwamba kwa usafuri wao wa kawaida hawawezi kufika hadi usafiri maalumu ?
 
Kaka Fisadi mtoto kwa post hii nashukuru swali langu binafsi la muda mrefu nimepata jibu.

Pia kaka naomba uwakumbushe kua NAPE hatuna tatizo nae ila hapa tuanchojadili je ni material kwa jumiya yetu? interms of MAADILI,VISSION,MISSION,ATTITUDE,kwa wanaomfahamu nape wanajua kua yeye ni kijana na anauzoefu kua mnec kwa vipindi viwili je hiyo inatosha kumpa nafasi tuachane na umri,mimi kama mdau tajadili hayo mabo mnne niliyoyataja juu hapo kama baadhi ya wana JF waloniomba nimuongelee NAPE pia.

MAADILI.
Nape hana maadili mema kwa waliosoma nae pale kivukoni watakumbuka jinsi alivompora mshikaji mke ambae leo ndo mke wake just bcs anatumia influence yakua ndani ya chama mke alienae kampora mtu nisinge penda kumtaja hapa.

VISSION/mission
Hana vission ya kutupeleka sehemu todate niliongea nae katika baraza kuu dodoma juu ya mpango wake huu na kuja kugundua kua kumbe bado anamawazo ya kina malecela na hii ilikua ndo kauli yake( mimi tagombea uenyekiti na mama akimaanisha mama malecela atagomea UWT na mzee ni mjumbe wa kamati kuu tutaona hao jamaa wakina nchimbi watatokea wapi)hii ndo vission yake kulipiza kisasi ambacho sisi vijana hatujui wameandaa nini.

ATTITUDE/BEHAVIOUR/MAHUSIANO
Hili ni jambo muhimu kama kiongozi na hasa wa vijana NAPE ana bad behaviuor ya kua opportunist pale panapokua na uchaguzi anakua karibu na wapiga kura uchaguzi ukipita hata sms za wapiga kura kujibu inakua shida kidogo huyu tumpe uongozi,anatabia ya umungu mtu nape ameshiriki leo kummaliza mwenyekiti wa uvccm mkoa wa mtwara mpaka kuvuliwa uanachama.

Nachosema hapa ni kua leo hii tunamtafuta kiongozi wa aina gani je ni hawa ambao wanasema vitu ambavyo hawatendi tumesoma mmoja anatangaza kua atagombea but anachukia wanakua na vyeo vingi akisahau kua yeye anavyo zaidi ya kumi.

NAOMBA KUWASILISHA

Kaka mtoto wa mkulima nashukuru kwa kuamua kurudi sasa tujadili hoja zinazompeleka mtu UVCCM umemjadili Nape katika maeneo haya MAADILI, VISION, MISSION, ATTITUDE NA BEHAVIOUR. Sasa pengine tujadili bila kuwa biased;

MAADILI
-
Hayo unayoyasema kuwa eti kivukoni alipora mke wa mtu ni uongo mkubwa tena wa hadharani,bahati nzuri wakati yeye akiwa mwaka wa pili pale tena akiwa waziri wa serikali ya wanafunzi mimi nilikuwa mwaka wa kwanza, nakumbuka alikuwa na girl friend ambaye hakuwa mke wa mtu, katika kumbukumbu zangu alimaliza kivukoni kwa heshima bila kuwa na kashfa ya kutembea na mke wa mtu,ka unahoja katika hili thibitisha badala ya kumpaka matope.

Umeenda mbali kwa kudai mke aliyenaye kampora mtu, huu nao ni UZANDIKI wa ajabu, Mke wa Nape anaitwa Tumaini ni mtoto wa Brig.Gen.(rtd) S.Hemedi ninajua wamejuana naye toka mwaka 1996 amekuja kumuoa 2004, sasa alikuwa mke wa mtu lini na wapi mpaka Nape apore?? Ndoa imetangazwa na kufuata taratibu zote huyo mwenye mke alikuwa wapi?? Katika waadilifu vijana CCM kwa swala la NGONO basi Nape ni mmoja wao maana kila vikao ndiye Mjumbe kijana anayeenda na mkewe Dodoma na hii ni mfano wa kuigwa!!

-VISSION/MISSION:
Hapa napo umemlisha maneno kwa faida ya mafisadi,kwanza ninachojua Mama Kilango hana mpango wa kugombea UWT ka unavyotaka watu waamini hapa.Nakumbuka ni Nape huyu aliyesema wazi mwaka 2004 kuwa moja ya tatizo la Uenyekiti wa UVCCM ni kuwa watu wengi wanautaka coz wanataka ujumbe wa kamati kuu ni siyo Uenyekiti wenyewe, wakapotosha hoja kwa kudai Nape anataka UVCCM iwe kitengo ndani ya CCM, leo unamtuhumu kwa kuutaka ujumbe wa kamati kuu!!! Naahidi kumtafuta aeleze nini vission yake lakini hayo uliyomlisha si kweli!!

ATTITUDE/BEHAVIOUR

Hapa napo usitake tuamini kwamba Nape kashinda NEC mwaka jana kwa mizengwe.Naamini kilichomsaidia ni mtaji wa wajumbve ambao amekuwa akiwasiliana nao kwa muda wote tangu ameingia siasa, na hii ndo siri ya nguvu yake mpaka leo mwamjadili.Nitoe mfano,aliposhindwa uenyekiti wa vijana mwaka 2004, aliwashangaza wengi pale alipoamka asubuhi saa kumi na mbili kwenda station ya treni kuwaaga wajumbe wa kanda ya ziwa licha ya kumnyima kura, wapo kwa mujibu wa taarifa waliotoa machozi, wakisema tuliyemchagua kalala tuliyemnyima kura kaja kututakia safari njema!!! huyu ndo leo wathubutu kumuita Mungu mtu!!!! Nape angekuwa opportunist msimamo wake thabiti dhidi ya wapora nchi wana mtandao usingekuwa vile!!! Hapa nikutafuta matope kwenye sakafu iliyopigwa deki!!!
Jingine kubwa ni hili la mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa MTWARA, Jamani tumuogopeni Mungu kusema uongo hadharani, huyu ndiye aliyehesabu kura za Naoe Dodoma mwaka 2004, swahiba wake mkubwa, mie najua kilichomsibu Rashidi Namwatika ni ugomvi wake binafsi kati yake na mkuchika na wanasiasa wengine Mtwara, ninao mkanda mzima wa hili, Nape kahusika vipi??? Tena ninachojua kajitahidi kumtetea isifike hapo kwani ni nguzo yake muhimu kama ataamua kugombea.
-
 
Asha huna hoja hapa wahi ukapike.....

Toa bangi zako hapa... mambo ya kumwambia Asha akapike yanahusiana vipi na hii thread? mijitu mingine hata mnatia kichefuchefu na huyo Nchimbi wenu... Gooshi .....nilidhani mlivyomshikia bango Amina Chifupa mngeacha baada ya kufa? grrrrrrrrrr
 
Toa bangi zako hapa... mambo ya kumwambia Asha akapike yanahusiana vipi na hii thread? mijitu mingine hata mnatia kichefuchefu na huyo Nchimbi wenu... Gooshi .....nilidhani mlivyomshikia bango Amina Chifupa mngeacha baada ya kufa? grrrrrrrrrr
TUMWACHE WAKATI ALIAMUA MWENYEWE KUFA,ALIGOMA KULA BILA SABABU,AKAPENDA NGONO KULLIKO MAISHA,AKAMPENDA ZITO KULIKO MUMEWE....SASA TUMSAIDIAJE HUYO NA KAMA ALIPENDA MWENYEWE,TUNANGOJA MUNGU AKAFANYE HUKUMA YA HAKI
 
Mkuu Fisadi,

Hivi kweli ni lazima uishuhse hadhi na utu wa bina-adam kiasi hiki ili kumbeba Nchimbi? I mean unachojaribu kutuambia hapa ni nini hasa? Kwamba wewe ni shetani au wewe ni mzimu?

Acha hizo mkuu, msafishie mtu wako lakini heshimu utu, maana hao kina Amina, wana ndugu pia waliokuwa wakiwapenda, kufa ni kufa ni wajibu wetu wote siku moja kufa, hakuna wa kukwepa, sasa wewe kumtukana aliyekufa ni kujitukana wewe mwenyewe, ndio maana nashangaa Nchimbi anawezaje kuwa na wapambe wa namna hii,

Hivi point yako hasa ni nini, kwamba wewe ni mtoto wa mmoja wa mafisadi? au? Maana watoto wa mafisadi wa kweli hawana muda kabisa na forums, na wengi wao ninawafahamu kwa karibu sana, huwa hawana hizi lugha zako mkuu.
 
Mkuu Fisadi,

Hivi kweli ni lazima uishuhse hadhi na utu wa bina-adam kiasi hiki ili kumbeba Nchimbi? I mean unachojaribu kutuambia hapa ni nini hasa? Kwamba wewe ni shetani au wewe ni mzimu?

Acha hizo mkuu, msafishie mtu wako lakini heshimu utu, maana hao kina Amina, wana ndugu pia waliokuwa wakiwapenda, kufa ni kufa ni wajibu wetu wote siku moja kufa, hakuna wa kukwepa, sasa wewe kumtukana aliyekufa ni kujitukana wewe mwenyewe, ndio maana nashangaa Nchimbi anawezaje kuwa na wapambe wa namna hii,

Hivi point yako hasa ni nini, kwamba wewe ni mtoto wa mmoja wa mafisadi? au? Maana watoto wa mafisadi wa kweli hawana muda kabisa na forums, na wengi wao ninawafahamu kwa karibu sana, huwa hawana hizi lugha zako mkuu.
Wewe ndiew unajua kipimo cha utu leo.Kwani ulivyoandika kuwa ulikuwepo wakati Marry anatoa ushahidi wa sambusa ya sumu wakati ukijua unazusha ni sawa.au wewe una haki ya kusingizia marehemu.Wewe mpambe wa Malecela ndio unaogopa kufa wenzako kufa ni furaha na wajibu.kwanza yote niliomwandika ni ya kweli nawe unajua tatizo lako ni unafiki
 
Mkuu Fisadi,

Hivi kweli ni lazima uishuhse hadhi na utu wa bina-adam kiasi hiki ili kumbeba Nchimbi? I mean unachojaribu kutuambia hapa ni nini hasa? Kwamba wewe ni shetani au wewe ni mzimu?

Acha hizo mkuu, msafishie mtu wako lakini heshimu utu, maana hao kina Amina, wana ndugu pia waliokuwa wakiwapenda, kufa ni kufa ni wajibu wetu wote siku moja kufa, hakuna wa kukwepa, sasa wewe kumtukana aliyekufa ni kujitukana wewe mwenyewe, ndio maana nashangaa Nchimbi anawezaje kuwa na wapambe wa namna hii,

Hivi point yako hasa ni nini, kwamba wewe ni mtoto wa mmoja wa mafisadi? au? Maana watoto wa mafisadi wa kweli hawana muda kabisa na forums, na wengi wao ninawafahamu kwa karibu sana, huwa hawana hizi lugha zako mkuu.

Asante mkulu kwa kuliona hili maana inaonekana Nchimbi ameamua kupambana na mzimu wa Amina Chifupa (RIP) hadi kaburini na hizo degree zake fake!
 
Asante mkulu kwa kuliona hili maana inaonekana Nchimbi ameamua kupambana na mzimu wa Amina Chifupa (RIP) hadi kaburini na hizo degree zake fake!

UNAJIPA MOYO WA KIJINGA HAPA NCHIMBI HAWEZI NA HANA MUDA WA KUPAMBANA NA HUYO MDADA NA WALA HUWA HAJIBU WATU WENYE AKILI NDEFU KAMA ZAKO.KWANZA SIDHANI ATA KAMA ANAWEZA KUWA ANASOMA HAPA KWA KUWA THE GUY IS MORE SMART AND SERIOUS THAN WHAT WE DISCUSS HIRE...KUWA NA DEGREE FAKE HILO SIWEZI KULIZUNGUMZIA HAPA,LAKINI NADHANI HAPA NI SWALA LA KUTAMBULIKA KWA VYUO ALIVYOSOMA.WALAU NINA UHAKIKA KUWA KASOMA UNDERGRADUATE MZUMBE NA PIA ALIFANYA MBA MZUMBE.SASA KAMA MZUMBE NI CHUO FAKE HILO NI TATIZO LA SERIKALI NA NI MJADALA MPANA SANA,OXFORD UNIVERSITY HAWAWACHUKUI WANAFUNZI WALIOMALIZA UDSM FOR MASTERS.SIJUI KAMA WANAZITAMBUA DEGREE ZETU....DOKTA ALIEMALIZA MUHIMBILI AKAFANYA MASTERS YA MAMBO YA MOYO NA DOKTA ALIEMALIZA COLOMBIA UNIVERSITY NAE AKAFANYA MASTERS YA MAMBO YA MOYO.UKIWAPA MGONJWA WAMFANYIE OPERATION YA MOYO NI WAZI KUWA WA MUHIMBILI ATASHINDWA VIBAYA SANA LAKINI HIO HAIMAANISHI KUWA DOKTA WA MUHIMBILI HANA MASTERS AU NI FAKE...KUNA MAMBO MENGI KAMA EXPOSURE ETC.
 
Wakati nasikia Nchimbi naye yumo kwenye harakati za kujiandaaa na uraisi kama alivyofanya JK kwa miaka 10 sasa yeye ni 20 hadi 2025. YAngu macho

ahahahahahahhahahahahahah................. this is a BIG JOKE!!!
 
WIVUU DHIDI YA MAFANIKIO ALIOYAPATA.KAMALIZA TU MZUMBE KAANZA KUPANDA VYEO KAMA UTANI HUKU AKIWADONDOSHA VIGOGO KAMA KINA FRANK UHAULA,NAPELEE NA LAWRENCE GAMA,HAJAPATA KUANGUKA UCHAGUZI HALALI ATA SIKU MOJA NA BADO ANASONGA MBELE HUKU AKIWA ANAJIIMARISHA ZAIDI NDANI YA CHAMA.NA SASA ATASHINDA KESI DHIDI YA MAFARAO WA TANZANIA DAIMA GAZETI LA MBOWE WA CHADEMA

we unajichanganya tuu hapa nadhani hujaelewa watu wanachoongelea hapa, hivi umetumia akili kweli uliposema watu wanamuonea wivu?? kwanini yeye tu ndo aonewe wivu wa kiasi hiki kiliko rais???? labda kama hujui huyo jamaa yako sijui mchinvi sijui nchimbi aslimia 98 ya waCCM hawampendi ulozi ndo umaomuweka hapo alipo na ndo maana haanguki kwny uchanguzi... subiri mziki unakuja
 
Majita, haiyumkini wewe ni bonge ya mshirikina! Ukilala, ukiamka na ukikaa, ukitembea unasikia sauti kichwani mwako! Katika karne hii ingefaa tuache kuchochea mambo ya kishirikina. Nadhani wewe ni kati ya wale watu ambao wakisikia Bagamoyo, Sumbawanga, Pemba na Tanga wanachowaza si utajiri wa Tanzania katika mambo ya historia, ardhi yenye rutuba, wala natural harbour. Badala yake majina hayo yote yanakukumbusha MAHOKA! Tutaendelea kweli?

Mzee naona umeungua sana jamaa yako anavoumbuliwa hapa... pole bwana... hata shetani anarafiki
 
Fisadi ukitaka uaminike sisi tutangoja mawakili wenyewe waseme kama kawaida yao kwamba wana kesi Mahakama Kuu na ni kesi namba ngapi . Kama haya hayatakuwepo then acha tuendelee kusikia wengine wanasemaje kuhusu Nchimbi na kwenda Mahakamani.Wamesha toa maonyo hapa akina Masha majuzi tu na kwenda Mahakamani juu ya Imma lakini hadi sasa kimya .Au maeneo ya Mahakani ni mbali kiasi kwamba kwa usafuri wao wa kawaida hawawezi kufika hadi usafiri maalumu ?

KESI IMEKWISHA FUNGULIWA....NANUKUU :IMEFUNGULIWA KESI LEO .CIVIL CASE NO 42 OF 2008 MAKAMA KUU YA TANZANIA KANDAS YA DAR ES SALAAM.PAMBANO LITAKUWA KALI,UCHAFUZI UTAKUWA MKALI ZAIDI HATIMAE KWA NIABA YA WANAOONEWA NA KUSINGIZIWA KILA KUKICHA TUTASHINDA.
 
we unajichanganya tuu hapa nadhani hujaelewa watu wanachoongelea hapa, hivi umetumia akili kweli uliposema watu wanamuonea wivu?? kwanini yeye tu ndo aonewe wivu wa kiasi hiki kiliko rais???? labda kama hujui huyo jamaa yako sijui mchinvi sijui nchimbi aslimia 98 ya waCCM hawampendi ulozi ndo umaomuweka hapo alipo na ndo maana haanguki kwny uchanguzi... subiri mziki unakuja
Kaka wewe ni darasa la ngapi ambae unatupa data bila utafiti?asilimia 98 umeipata wapi? alafu uwezo wako wa kufikiri ni avarge sana ndio maana unawaza uchawi ata wa kuloga kura?????????hii kali
 
Wewe ndiew unajua kipimo cha utu leo.Kwani ulivyoandika kuwa ulikuwepo wakati Marry anatoa ushahidi wa sambusa ya sumu wakati ukijua unazusha ni sawa.au wewe una haki ya kusingizia marehemu.

Mkuu ukiniwekea address kwenye pm nitakutumia picha za pale chini mbuyuni kwenye compound ya Malecela, karibu na makaburi ya mkewe na mama yake malecela, ambako tulikuwa tumekaa huku dada yako akiwa amevaa nguo nyeupee akilia sana machozi ya mamba na kuropoka ovyo, by the way dada yako amekuambia ni kwa nini rafiki yake Sumaye, alimfukuza baaada ya kile kifo?

Wewe mpambe wa Malecela ndio unaogopa kufa wenzako kufa ni furaha na wajibu.kwanza yote niliomwandika ni ya kweli nawe unajua tatizo lako ni unafiki

Mkuu wangu kabla hujaingia kufanya kazi kwenye meli, karatasi ya kwanza kusaini ni ile inayosema ukifa what to with your dead body na belongings, sasa kwa wale tuliowahi kuifanya hiyo kazi unafikiri kweli tunaweza kuwa tunaogopa kufa kama unavyosema hapo juuu?

Unafiki? hivi huoni kwa maandishi yako na yangu ni clear mnafiki ni nani na mkweli ni nani? Unaionaje mkuu hiii forum, hapa watu wana akili sana ya kujua ukweli na pumba mkuu, uliyoandika kuhusu kufa kwa Amina(RIP), ni pure nonesense hasa ukizingatia kuwa imeandikwa na bina-adam kama Amina, ambaye anasubiri kufa pia, ni watu kama wewe ninaaamini kuwa mmekuja hapa kuharibu hiii forum, kwa sababu exactly unachojaribu kujadili sielewi ni kipi hasa? hoja yako hasa ni ipi mkuu?

Hebu sasa tujadili hoja, naomba useme exactly hoja yako kwenye huu mjadala ni nini? au ni ipi hiyo maan so far sijaiona zaidi tu matusi na maneno ya kujifanya wewe ni mzimu na mtoto wa kiongozi aliyeibia taifa, wakati hao watoto wa mafisadi tunwajua jinsi walivyo-busy kushughulikia hela za wizi za baba zao hawana muda wa kuja hapa JF, acha hizo mkuu, unajipakazia bure something you are not!
 
Mkuu ukiniwekea address kwenye pm nitakutumia picha za pale chini mbuyuni kwenye compound ya Malecela, karibu na makaburi ya mkewe na mama yake malecela, ambako tulikuwa tumekaa huku dada yako akiwa amevaa nguo nyeupee akilia sana machozi ya mamba na kuropoka ovyo, by the way dada yako amekuambia ni kwa nini rafiki yake Sumaye, alimfukuza baaada ya kile kifo?



Mkuu wangu kabla hujaingia kufanya kazi kwenye meli, karatasi ya kwanza kusaini ni ile inayosema ukifa what to with your dead body na belongings, sasa kwa wale tuliowahi kuifanya hiyo kazi unafikiri kweli tunaweza kuwa tunaogopa kufa kama unavyosema hapo juuu?

Unafiki? hivi huoni kwa maandishi yako na yangu ni clear mnafiki ni nani na mkweli ni nani? Unaionaje mkuu hiii forum, hapa watu wana akili sana ya kujua ukweli na pumba mkuu, uliyoandika kuhusu kufa kwa Amina(RIP), ni pure nonesense hasa ukizingatia kuwa imeandikwa na bina-adam kama Amina, ambaye anasubiri kufa pia, ni watu kama wewe ninaaamini kuwa mmekuja hapa kuharibu hiii forum, kwa sababu exactly unachojaribu kujadili sielewi ni kipi hasa? hoja yako hasa ni ipi mkuu?

Hebu sasa tujadili hoja, naomba useme exactly hoja yako kwenye huu mjadala ni nini? au ni ipi hiyo maan so far sijaiona zaidi tu matusi na maneno ya kujifanya wewe ni mzimu na mtoto wa kiongozi aliyeibia taifa, wakati hao watoto wa mafisadi tunwajua jinsi walivyo-busy kushughulikia hela za wizi za baba zao hawana muda wa kuja hapa JF, acha hizo mkuu, unajipakazia bure something you are not!

kaka hizo picha weka hapa tuzione email yangu haina umuhimu kwako,ata hivyo hizo picha hazitoi maneno yaliokuwa yakiongelewa.naweza kuwa sina point nawe unazo lakini point zako wewe kibaraka wa malecela unaleta point za uwongo hapa ,ndoto zako unataka tuziamini
 
;

MAADILI
-
Hayo unayoyasema kuwa eti kivukoni alipora mke wa mtu ni uongo mkubwa tena wa hadharani,bahati nzuri wakati yeye akiwa mwaka wa pili pale tena akiwa waziri wa serikali ya wanafunzi mimi nilikuwa mwaka wa kwanza, nakumbuka alikuwa na girl friend ambaye hakuwa mke wa mtu, katika kumbukumbu zangu alimaliza kivukoni kwa heshima bila kuwa na kashfa ya kutembea na mke wa mtu,ka unahoja katika hili thibitisha badala ya kumpaka matope.

Mke wa Nape anaitwa Tumaini ni mtoto wa Brig.Gen.(rtd) S.Hemedi ninajua wamejuana naye toka mwaka 1996 amekuja kumuoa 2004, sasa alikuwa mke wa mtu lini na wapi mpaka Nape apore?? .
-

Naomba niulize,

Nape alikuwa KIVUKONI kati ya miaka ipi? Na jee kama alikuwa hapo kati ya miaka 1996 na 2004 alipomuoa huyo mkewe iweje alikuwa na girlfriend hapo Kivukoni? Naomba ufafanuzi

Tanzanianjema
 
kaka hizo picha weka hapa tuzione email yangu haina umuhimu kwako,ata hivyo hizo picha hazitoi maneno yaliokuwa yakiongelewa.naweza kuwa sina point nawe unazo lakini point zako wewe kibaraka wa malecela unaleta point za uwongo hapa ,ndoto zako unataka tuziamini

Hawa wageni wengine wanaboa. Unashindana na mtu usiyemjua halafu unadhani unamsaidia huyo unayejaribu kumsafisha......Mwisho wa siku utajikuta umemmaliza kabisa huyo unayemkuwadia hapa badala ya kumsaidia.

Tanzanianjema
 
Mkuu yuhunika kumbe wewe ndiye mtoto wa fisadi? Kwa nini majina mengi mkuu wakati una hoja nzito ya kumbeba Nchimbi? Mimi najua wenye majina mengi huwa ni waoga wa hoja, sasa kumbe na wewe,

Haya wasalimie mkuu!
 
Mkuu yuhunika kumbe wewe ndiye mtoto wa fisadi? Kwa nini majina mengi mkuu wakati una hoja nzito ya kumbeba Nchimbi? Mimi najua wenye majina mengi huwa ni waoga wa hoja, sasa kumbe na wewe,

Haya wasalimie mkuu!

Ooops wewe Es umemrusha jamaa kaanguka na kapiga matako katika ncha ya mkuki sasa mwache ajimalize .Nimesha onya hapa mambo ya kuja bila ya hoja za msingi si mambo haya kabisa .
 
Naomba niulize,

Nape alikuwa KIVUKONI kati ya miaka ipi? Na jee kama alikuwa hapo kati ya miaka 1996 na 2004 alipomuoa huyo mkewe iweje alikuwa na girlfriend hapo Kivukoni? Naomba ufafanuzi

Tanzanianjema

Mkuu heshima kwako,Nape alikuwa Kivukoni kati ya mwaka 2001/2003.Kujuana kwake na mke wake wa sasa nimemaanisha kumfahamu na si uchumba,na nilikuwa najaribu kuangalia uwezekano wa mkewe wa sasa kuwa mke wa mtu kabla hajamuoa kama mkuu alivyodai "KAPORA MKE WA MTU",maana walifahamiana siku nyingi na wazazi wao wakiwa marafiki na wanaotoka kusini na jeshini, yaani ya Brig.Gen.(rtd)Hemedi na Brig.Gen.(rtd) Nnauye
 
Back
Top Bottom