Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Ndio akili yako ilipoishia, kwenye kuchunguliwa. Kwa hiyo wewe mtu aliyekaa class umempa ruksa ya kukuchungulia sababu ya madarasa eti?Uzazi?? Alikuwa mchungulia nyuchi za akina mama.... Kwanza anashule gani?? Udakitari ni taaluma mtu lazima ukae class... Mbona hakuna ma engineer wa kienyeji?? Mnafanyia maigizo afya zetu ....?? Nchi hii kweli
Kapewe mizizi ule upate akili. Tiba mbadala haiishii kwenye kuzibua mirija ya uzazi tu, hata ya ubongo. Ulipogusia maigizo nilidhani umeanza kupata akili, shida ni kwamba hujui umesimama juu ya nini, acha nikudokeze: FUNGUA RADIO CLOUD, UTASIKIA MATANGAZO YA LUPIMO SANITARIUM CLINIC...YULE ALIYEFUNGIWA PAMOJA NA DK MWAKA, BADO YUPO HEWANI ANAPIGA MZIGO NDIO UTAJUA HILI SUALA LILIKUWA LINALENGA MTU NA SIO TATIZO