Kwa Data Hizi Azim Dewji Alikuwa Sawa Kusema Upungufu wa Umeme unaletwa na Maendeleo. Vifaa vya Umeme vya 7 Trilioni Vililetwa Nchini Mwaka 2023

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,042
49,727
Mfanyabiashara Maarufu na Kada wa CCM na shabiki lialia wa Samia Mzee Azim Dewji aliwahi kunukuliwa akisema kwamba Changamoto za upungufu wa umeme na katokakatika vimesababishwa na maendeleo hususani uingizaji wa mitambo na vifaa vingi vya umeme wakati vyanzo havijaongezeka.

Sasa Kwa mujibu wa takwimu za BoT za mwaka 2023 ,Mitambo,mashine na vifaa vya Umeme vyenye thamani ya Shilingi Trilioni 6.9 approximately 7 Trilion Viliingizwa Nchini tayari Kwa matumizi na vyote hivyo vinajitahidi umeme na sehemu kubwa ni mashine za uwekezaji.
Uagizaji wa bidhaa toka nje kwa mwaka 2023:

1. Mitambo, mashine na vifaa vya umeme- Trilioni 6.92.

Mafuta- Trilioni 6.53. Malighafi mbalimbali za viwanda- Trilioni 5.74.Chuma- Trilioni 2.65.

Vipuri- Trilioni 2.36.Plastiki- Trilioni 1.47.

Ngano- Bilioni 9988.Mbolea- Bilioni 9869.

Bidhaa mbalimbali za matumizi majumbani- 873B10.

Magari- Bilioni 806
1708234427714.jpeg

Just imagine hiyo ni area Moja tuu ya kitambo na vifaa vya Umeme Bado majumba na Biashara, construction sites,Umeme Vijijini, kwenye miradi ya maji,mashule ,Afya ,migodini nk nk.

Watu walitoa mapovu sana na kubisha Kwa hisia bila takwimu kama Mzee alivyoweka huku wakijipiga vigua kwamba eti awamu ya 5 umeme ulikuwa haukatiki.

Mlichosahau kusema ni kwamba Mahitaji ya umeme yalikuwa yanaongezeka Toka 2016 na yakaja kuongezeka Kwa Kasi zaidi kuanzia 2021 baada ya Samia.kufungua Nchi lakini vyanzo vya uzalishaji umeme vilisalia vile vile huku Nchi ikisubiria bwawa.

Sasa Kwa Hali hiyo unatarajia umeme utaacha kukatika? Na unaanzaje kulaumu awamu ya 6 wakati waliotangulia hawakuandaa umeme wa dharula ku cover demand Mpya wakati bwawa linasubiliwa? Na umeme sio kama kujenga madarasa Bali itahitaji mda na pesa ndegu.

My Take
Walaumiwe ambao hawakuandaa umeme kipindi Cha mpito sio walioleta maendeleo Kwa Kasi na kusababisha umeme kupungua.
 
Mzee aliongea shallow ila ilikuwa ni point kubwa, mzee alisema sana ishu iliyopo ni upungufu yaani demand kubwa kuliko supply... Umeme upo ila hautoshi kwa kifupi pia alisema mpaka vijijini huko umeme unahitaji kwa sana.

Vifaa vya umeme kila kona tena bei rahisi ndio maana mahitaji ya umeme ni makubwa bado hizo mashine kubwa...
 
Ila machawa kuna fyuzi zimekatika hamjijui tu.

We unasema tusilaumu awamu ya 6 ila tulaumu awamu ya 5 sababu haikuandaa umeme kipindi cha mpito, hivi kwa akili yako kisoda walio kwenye awamu ya 6 walikuwa wapi wakati wa awamu ya 5?

Kwako wewe ni kama awamu ya 6 imetoka mbinguni ghafla timu yote mpyaaaaa imeingia 100% new baada ya kifo cha JPM. Hivi unajua asilimia ngapi ya mawaziri waliokuwa awamu ya 5 wameendelea na uwaziri awamu ya 6? Unasahau hata Rais wa awamu ya 6 ni makamu wa Rais wa awamu ya 5! Kwanini hawa watu unawaepusha na lawama za kutoandaa huo umeme wa mpito? Usitawaliwe na mahaba mkuu, kama ni lawama kwa serekali basi na awamu iliyopo inapaswa kulaumiwa the same kwa kuwa walikuwa serekalini tangu awamu zilizopita.

Serekali ni ile ile we jamaa. Acha wenge.
 
Mfanyabiashara Maarufu na Kada wa CCM na shabiki lialia wa Samia Mzee Azim Dewji aliwahi kunukuliwa akisema kwamba Changamoto za upungufu wa umeme na katokakatika vimesababishwa na maendeleo hususani uingizaji wa mitambo na vifaa vingi vya umeme wakati vyanzo havijaongezeka.

Sasa Kwa mujibu wa takwimu za BoT za mwaka 2023 ,Mitambo,mashine na vifaa vya Umeme vyenye thamani ya Shilingi Trilioni 6.9 approximately 7 Trilion Viliingizwa Nchini tayari Kwa matumizi na vyote hivyo vinajitahidi umeme na sehemu kubwa ni mashine za uwekezaji.
Uagizaji wa bidhaa toka nje kwa mwaka 2023:

1. Mitambo, mashine na vifaa vya umeme- Trilioni 6.92.

Mafuta- Trilioni 6.53. Malighafi mbalimbali za viwanda- Trilioni 5.74.Chuma- Trilioni 2.65.

Vipuri- Trilioni 2.36.Plastiki- Trilioni 1.47.

Ngano- Bilioni 9988.Mbolea- Bilioni 9869.

Bidhaa mbalimbali za matumizi majumbani- 873B10.

Magari- Bilioni 806
View attachment 2907619
Just imagine hiyo ni area Moja tuu ya kitambo na vifaa vya Umeme Bado majumba na Biashara, construction sites,Umeme Vijijini, kwenye miradi ya maji,mashule ,Afya ,migodini nk nk.

Watu walitoa mapovu sana na kubisha Kwa hisia bila takwimu kama Mzee alivyoweka huku wakijipiga vigua kwamba eti awamu ya 5 umeme ulikuwa haukatiki.

Mlichosahau kusema ni kwamba Mahitaji ya umeme yalikuwa yanaongezeka Toka 2016 na yakaja kuongezeka Kwa Kasi zaidi kuanzia 2021 baada ya Samia.kufungua Nchi lakini vyanzo vya uzalishaji umeme vilisalia vile vile huku Nchi ikisubiria bwawa.

Sasa Kwa Hali hiyo unatarajia umeme utaacha kukatika? Na unaanzaje kulaumu awamu ya 6 wakati waliotangulia hawakuandaa umeme wa dharula ku cover demand Mpya wakati bwawa linasubiliwa? Na umeme sio kama kujenga madarasa Bali itahitaji mda na pesa ndegu.

My Take
Walaumiwe ambao hawakuandaa umeme kipindi Cha mpito sio walioleta maendeleo Kwa Kasi na kusababisha umeme kupungua.
Hii serikali ya CCM ya hovyo sana, Sasa wanapokimbilia kusema
Mitambo haikukarabatiwa enzi za Magufuli wana maana gani?
Kwamba mvua zinazonyesha maji hayaendi kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme wana maana gani?
Wapowapo hawajui kinachoendelea nchini kweli??
Nchi ina viongozi mabogus sana.
 
Mzee aliongea shallow ila ilikuwa ni point kubwa , Mzee alisema sana ishu iliyopo ni upungufu yaani demand kubwa kuliko supply ...Umeme upo ila hautoshi kwa kifupi pia alisema mpaka vijijini huko umeme unahitaji kwa sana.

Vifaa vya umeme kila kona tena bei rahisi ndio maana mahitaji ya umeme ni makubwa bado hizo mashine kubwa...
Just imagine
-Zaidi ya Vijiji 4,000 vipya vimepata umeme
-Zaidi ya miradi 1,000 mipya ya maji imepata umeme
-Zaidi ya zahanati 900 Mpya zimejengwa zimewekewa umeme
-Zaidi ya Vituo vya Afya 460 vipya vimejengwa vyote vina umeme
-Zaidi ya Camps za Miradi ya Barabara 700 Mpya zimeanzishwa na zote zimeungwa umeme
-Ziaidi ya Camps Mpya za viwanja vya ndege 12 Mpya zimeungwa zote zimewekewa umeme
-Hapo Bado majumba,viwanda, biashara Mpya nk nk

Kiufupi demand ni kubwa kushinda supply.

Narudia kule kule wa kulaumiwa ni yule ambae hana akili alikuwa kabisa bwawa litachukua miaka kadhaa ,mahitaji yanaongezeka na hakuandaa umeme wa dharula harafu uje kumlaumu.Samia.labda kama akili huna.
 
Hii serikali ya CCM ya hovyo sana, Sasa wanapokimbilia kusema
Mitambo haikukarabatiwa enzi za Magufuli wana maana gani?
Kwamba mvua zinazonyesha maji hayaendi kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme wana maana gani?
Wapowapo hawajui kinachoendelea nchini kweli??
Nchi ina viongozi mabogus sana.
Vyote Kwa pamoja ila sababu kuu ni mahitaji kuzidi supply na mbaya zaidi poor maintenance na disruptions za ukame mwaka Jana.

Nyie mkiona Mafuriko Dar na Moro mnajua mvua zimenyesha Nchi nzima ,Kwa taarifa yenu tuu Iringa na Mbeya hakuna Mafuriko ndiko vyanzo vya mabwawa ya Maji mvua ni za kawaida
 
Ila machawa kuna fyuzi zimekatika hamjijui tu.

We unasema tusilaumu awamu ya 6 ila tulaumu awamu ya 5 sababu haikuandaa umeme kipindi cha mpito, hivi kwa akili yako kisoda walio kwenye awamu ya 6 walikuwa wapi wakati wa awamu ya 5?

Kwako wewe ni kama awamu ya 6 imetoka mbinguni ghafla timu yote mpyaaaaa imeingia 100% new baada ya kifo cha JPM. Hivi unajua asilimia ngapi ya mawaziri waliokuwa awamu ya 5 wameendelea na uwaziri awamu ya 6? Unasahau hata Rais wa awamu ya 6 ni makamu wa Rais wa awamu ya 5! Kwanini hawa watu unawaepusha na lawama za kutoandaa huo umeme wa mpito? Usitawaliwe na mahaba mkuu, kama ni lawama kwa serekali basi na awamu iliyopo inapaswa kulaumiwa the same kwa kuwa walikuwa serekalini tangu awamu zilizopita.

Serekali ni ile ile we jamaa. Acha wenge.
Umemaliza kila kitu. haina come back
 
Just imagine
-Zaidi ya Vijiji 4,000 vipya vimepata umeme
-Zaidi ya miradi 1,000 mipya ya maji imepata umeme
-Zaidi ya zahanati 900 Mpya zimejengwa zimewekewa umeme
-Zaidi ya Vituo vya Afya 460 vipya vimejengwa vyote vina umeme
-Zaidi ya Camps za Miradi ya Barabara 700 Mpya zimeanzishwa na zote zimeungwa umeme
-Ziaidi ya Camps Mpya za viwanja vya ndege 12 Mpya zimeungwa zote zimewekewa umeme
-Hapo Bado majumba,viwanda, biashara Mpya nk nk

Kiufupi demand ni kubwa kushinda supply.

Narudia kule kule wa kulaumiwa ni yule ambae hana akili alikuwa kabisa bwawa litachukua miaka kadhaa ,mahitaji yanaongezeka na hakuandaa umeme wa dharula harafu uje kumlaumu.Samia.labda kama akili huna.
Umeme wa dharura ungewekwa bado mgekuja kulalamika hapa watanzania kama kawaida yenu.

Na ukizungumzia umeme wa dharura ujue ni magenerator amabayo tulishangilia yalipozimwa kwasababu ya gharama kubwa za uendeshaji.
 
Vyote Kwa pamoja ila sababu kuu ni mahitaji kuzidi supply na mbaya zaidi poor maintenance na disruptions za ukame mwaka Jana.

Nyie mkiona Mafuriko Dar na Moro mnajua mvua zimenyesha Nchi nzima ,Kwa taarifa yenu tuu Iringa na Mbeya hakuna Mafuriko ndiko vyanzo vya mabwawa ya Maji mvua ni za kawaida
Sabuni unayo tumia mkuu inazidi kuchafua
 
Elimu ipi inayohitajika kusoma hizo takwimu?
Elimu itakayokusaidia kuwa na UELEWA mpana na kukupa REASONING CAPACITY inayotakiwa kulingana na umri na pengine madarasa uliyopitia.
  • Sehemu zisizo na umeme ni nyingi, wanaambiwa hakuna MIRADI ya kuwaunganisha umeme kwa sasa! Mind you hawa watu wanalipia gharama zote na wako tayari kulipa.
  • Miaka 10 nyuma, installed capacity ilikuwa 1500M, leo ni 1600MW. Kwahiyo fikra zako zinakubaliana na hizo pesa kwa ongezeko la 100MW?
  • Hiyo mitambo, ni kwaajili ya kutumia huo umeme au kuzalisha huo umeme?
  • Bajeti ya nchi kwa mwaka ni kiasi gani? Ni sehemu gani ya bajeti ya nchi nzima inakamilishwa na mapato ya ndani? 32trln si ni pesa yote ya nchi?
  • 6.9trln ndo thamani ya bwawa lote la Nyerere, unataka kusema mitambo ya bwawa hilo imeagizwa na kizimkazi? Anajua lolote kuhusu miradi iliyopo?


AJABU kabisa, ununuzi wa MAGARI ni mkubwa kuliko MADAWA, bado unashupaza shingo kuona UCHAWA ni jambo jema?
 
Umeme wa dharura ungewekwa bado mgekuja kulalamika hapa watanzania kama kawaida yenu.

Na ukizungumzia umeme wa dharura ujue ni magenerator amabayo tulishangilia yalipozimwa kwasababu ya gharama kubwa za uendeshaji.
Achana na wajinga ,Mimi naelewa siwezi kulalamika,hata JK aliweka umeme wa dharula wa mitambo Kwa sababu kama hizo.

Gasi ndio ilikuwa kwenye process ,umeme hakuna Kwa hiyo angeacha Kusubiria gas? That could have been nonsense.

Mwisho Bora gharama kubwa za uendeshaji kuliko kukaa bila umeme kusubiria bwawa.Hayo majenereta yasingezidi mwaka 1 maana Kwa Sasa tunatumia zaiidi kuliko kama tungetumia gharama kubwa lakini biashara zifanye kazi tungesevu Ajira , uwekezaji nk.

Mfano mwaka Jana mauzo ya Nje yameanguka kidogo Kwa sababu za Umeme 👇

View: https://www.instagram.com/p/C3aUH0vI0i6/?igsh=MXkxZTNha3QzZWZpdg==
 
Back
Top Bottom