Itakuwa alishajiandaa mda mrefu, maana serikali ilianza kumfatiliia toka mwanzoni mwa mwaka huuHii reaction yake sidhani kama inatija sana. Hili linatupa picha kuwa ni kweli kulikuwa na tatizo.kubwa na ndio maana amekubaliana na hali hiyo. Kama alikuwa sahihi na pengine ni.ishu za matangazo ila huduma ni bora kwanini abadilishe biashara tena ndani ya muda mfupi namna hiyo?
Mkuu kuna shida kati ya mwaka na kigwaHii reaction yake sidhani kama inatija sana. Hili linatupa picha kuwa ni kweli kulikuwa na tatizo.kubwa na ndio maana amekubaliana na hali hiyo. Kama alikuwa sahihi na pengine ni.ishu za matangazo ila huduma ni bora kwanini abadilishe biashara tena ndani ya muda mfupi namna hiyo?
Uzazi?? Alikuwa mchungulia nyuchi za akina mama.... Kwanza anashule gani?? Udakitari ni taaluma mtu lazima ukae class... Mbona hakuna ma engineer wa kienyeji?? Mnafanyia maigizo afya zetu ....?? Nchi hii kweliJilas pipo neva win. Wee kaa Lumumba piga dili za buku 2 mwenzio Mwaka huyoooo anazidi kupiga hela...mmemzuia asiwape uzazi, sasa anawapa urembo.
Shikamoo Dk Mwaka!
Ma engineer wa kienyeji wapo. Hasa civil engineers Fanya research vizuri utagundua tena wengi tuUzazi?? Alikuwa mchungulia nyuchi za akina mama.... Kwanza anashule gani?? Udakitari ni taaluma mtu lazima ukae class... Mbona hakuna ma engineer wa kienyeji?? Mnafanyia maigizo afya zetu ....?? Nchi hii kweli
Acha, wivu wa kigwangala
"Kitanda usichokilalia huwezi kujua kunguni wake"Hii reaction yake sidhani kama inatija sana. Hili linatupa picha kuwa ni kweli kulikuwa na tatizo.kubwa na ndio maana amekubaliana na hali hiyo. Kama alikuwa sahihi na pengine ni.ishu za matangazo ila huduma ni bora kwanini abadilishe biashara tena ndani ya muda mfupi namna hiyo?
Chezea JJ Mwaka wewe, sasa anasambaza vifaa vya afya, urembo na usafi.
Hahahahaaa sasa sio Foreplan clinic tena bali ni kampuni ya foreplan. Hivyo bado foreplan kampuni ipo kama kawaida.
Nimesikia tangazo lake radio magic fm
Hivyo ulitaka abaki nyumbani analialia njaa?Vyombo vya serikali vinatakiwa kuangalia jambo hili kwa makini. Kama kweli huduma alizokuwa anatoa huyu jamaa kupitia clinic ya fore- plan zimethibitika kuwa na mapungufu na akafungiwa, halafu anafungua kampuni baada ya siku moja basi serikali inachezewa
Haaa Huyu Jamaa Anajua Sana Kusoma NyakatiHuo ni ubunifu wa kibiashara anastahili pongezi