Mkuu kuwajibika kupo kama Kiongozi wa nchi anakua serious katika issue muhimu....!!Mkuu nchi yetu haina kitu kinachoitwa uwajibikaji. Nina uhakika kwenye hili hakuna atakayewajibika, na atakayewajibishwa.
Haiingii akili hata kidogo kutuambia kuwa walifanya ukaguzi siku 3 zilizopita na kuona kuwa kuko salama.
Ni bira wasichukuliane hatua lakini watuambie ukweli wa tukio lenyewe, otherwise tutajua wenyewe.
Hizo picha jamani kweli viongozi hawazioni?
Waziri wa Ulinzi!!! Ulinzi gani huu wa kulipuana na mabomu? Akiendelea kuwepo atafanya kazi gani sijui! nchi hii kwakweli heri yenu mliopo nje bora hata msirudi!
Nikweli PJ, hata mimi niliiona Channel Ten niliipenda sanaKuhusu hiyo picha ya mwisho ambayo Presidaa anamlisha mtoto......
Niliona hii incidence live kwenye TV, MTOTO HUYU ALIPOLISHWA uji na JK alikataa katakata kuunywa... sijui huwa watoto wanahisi nini...
Nadhani kuna hali ya instinct mtoto anaipata anapoona mtu ambaye si mzuri kwake!
Kwa walioona watanisaidia kutafsiri ile hali!
Kosa la nani kwanini Mwinyi?
dah, wanandugu na watanzania wote poleni sana. Huyo huenda ni mzazi/mke/dada/shemeji/rafiki au mtegemewa wa watu.
Kifo kibaya sana maskini kilichompata. Mw'Mungu ampe mapumziko mema, Akiendelea kutunusuru na majanga haya.
Kama ilivuokuwa kambini mbagala, lazima kutakuwa kuna kauzembe kambini Gongo la Mboto. Hali hii ikiachiwa, next patalipuka hata pale Magogoni... kuna kambi ya jeshi vile vile na Tipper pale.
jamani jamani jamani jamani!!!!!!
Watanzania sisi ni waoga kuchukua maamzi, Dr Mwinyi kusema hana mpago wa kuachia madaraka siyo ticket ya kumfanya aendelee kuwepo pale na mtu kama mwinyi kumgoa nikazi ya saa tu kama watu wakiamua....Mubarak pia alisema haondokie lakini kaondoa atakuwa mbwa mdogo kama yeye....Sielewi huyo Dr. Mwinyi anaishi nchi gani. Huwezi kuona hali hii halafu unasema kuwa huna mpango wa kuachia madaraka. Watanzania hatuwezi kukubali uzembe wa namna hii. Wasipowajibika basi wananchi hatuna budi kuwawajibisha. Huo uwezo tunao ila ila tunaghilibiwa na tabia ya mazoea. Huwezi kuzoea hali hii, watu wanapoteza maisha yao kwa sababu ya uzembe ya baadhi ya watu fulani.
It's time for Mwinyi, Mwamunyange kuwajibika. Watanzania wenzangu, poleni kwa haya majanga yanayoweza kuzuilika.
Kosa la nani kwanini Mwinyi?
Eti wameamua kuwa watgharamia mazishi na matibabu kwa wahanga then watawapa unbani familia zilizofiwa!!
So sad kucheza na maisha ya watu then unakuja na majibu mepesi hivi...!!