Disturbing photos from the 'Gongo la Mboto' blasts

Mbona enzi za mwalimu hatukusikia haya? Au maghala ya silaha hayakujengwa? Nahisi ni kauzembe ka wachache! Hata nchi jirani zina tushangaa ?????
 
Mkuu mimi sioni tatizo aingie mpagani nafasi hii ama Mwislamu hata Mkristo, nia ni HUYU jamaa aondoke. Enough is enough, vinginevyo watalazimisha tufike wasikotarajia twende. Wanatutafuta ubaya ambao hatustahili kuonekana nao.

If the president has got balls, he will immediately ACT!

Sijawahi kuona Mkuu Invisible amekasirika hivi, kweli hili sio la kufumbia macho
 
Nimekuwa najiuliza maswali mengi sana lakini sipati majibu, napata kizunguzungu then wakati mwingine natokwa na machozi tangia watu walivyouwawa Arusha mpaka leo, saa zingine napata hasira nyingi sana labda tusaidiane haya maswali ndugu ndugu za tuyatafutie majibu kwa pamoja:-

  1. Hivi inawezekana vipi nchni maskini kama hii kiongozi wake badala ya kununua madawa ya kuuwa magugu na mbolea kwa ajili ya Wakulima ana nunua madawa ya kumwagia wananchni ili wawashwe, nimejuliza sana kama haya ni matumizi sahihi ya fedha na kama kweli kiongozi wa namna hiyo siyo dictator na Mnyama kuanzia kwenye akili yake hadi matendo?
  2. Nimekuwa nashangaa sana kwanini Watu kama UWT na Polisi bado wanaweza kumlinda mtu kama EL na kumwona RA anakatiza lakini wao hawapati hasira kama mimi, najiuliza kama kweli hayo majeshi yanauzalendo wowote sipati jibu, Uwa najiuliza hivi kweli hata akija mtu kutoka nje ya nchni akawaonga hawa jamaa kwaajili ya kututawala kama watakuwa na uthubutu wa kupinga au kutetea nchni maana tulikofikia ni nusu utumwa.
  3. Nimekuwa najiuliza inakuwavipi katika majeshi yote ya JWTZ, UWT, Polisi na nk hakuna Watanzania Wazalendo au huko wanafundishwa elimu gani? sijajua kwanini hawa watu hawaoni kama Tanzania inadhulumiwa na Wachache au hayo majeshi hayana wasomi wa kutosha kuamsha mijadala?
  4. Nimejiuliza mara nyingi sana kwanini Jeshi litunze silaha kali kama hizi Mbagala na Gongolamboto kwenye ghala kama wafanyabiashara wa silaha lakini sipati jibu, nimejisemea kwanini yasikae ngelengele kule polini lakini pia sijajua?
  5. Nimejiuliza kama Jeshi linatumika kuuwa raia makusudi au ni ukosefu wa elimu sahihi ya kunza silaha lakini pia sijajua, Nimetafuta kila kona kupekua kama kulipuka kwa silaha ghalani ni kitu cha kawaida lakini sijapata! nimejiuliza kama Askali wetu wana elimu yakutosha juu ya utunzaji wa silaha au la! lakini pia sina jibu.
  6. Nimejiuliza inakuwaje mtu anag'ang'ania kazi za kiasa wakati hawezi, nashangaa ni kwanini mtu uzembe wake unauwa raia kiasi hiki lakini haonyeshi uzuni hata kidogo! Nimeshangaa kwanini hatukujifunza na yaliyotokea Mbagala lakini pia sijajua
  7. Nimeshangaa pia kwanini Kikwete alipokuwa Kikosini akipewa taarifa na Mkuu wa kikosi alikuwa hataki kupigwa picha?

Maswali ni mengi haya mauwaji yanauzunisha sana, tuwaombee marehemu wetu, tuombe mungu atupe hekima na ujasiri wa kupambana na hawa wanyonyaji wanaotutawala kimabavu, Kwa mtu Mstaharabu haitaji kuambia jiuzuru, Tayari Mwamunyange na Mwinyi wameonyesha kukosa Ustaharabu mpaka sasa, Tanzania tumerudi nyuma siku za miaka ya 1800 tunahitaji wakina Mkwawa wengine, wako wapi wapigania uhuru zaidi? iwapi maji maji rebellion ya leo?, Mungu tusaidie bado hatujapata uhuru kamili.
 
Nimekuwa najiuliza maswali mengi sana lakini sipati majibu, napata kizunguzungu then wakati mwingine natokwa na machozi tangia watu walivyouwawa Arusha mpaka leo, saa zingine napata hasira nyingi sana labda tusaidiane haya maswali ndugu ndugu za tuyatafutie majibu kwa pamoja:-

  1. Hivi inawezekana vipi nchni maskini kama hii kiongozi wake badala ya kununua madawa ya kuuwa magugu na mbolea kwa ajili ya Wakulima ana nunua madawa ya kumwagia wananchni ili wawashwe, nimejuliza sana kama haya ni matumizi sahihi ya fedha na kama kweli kiongozi wa namna hiyo siyo dictator na Mnyama kuanzia kwenye akili yake hadi matendo?
  2. Nimekuwa nashangaa sana kwanini Watu kama UWT na Polisi bado wanaweza kumlinda mtu kama EL na kumwona RA anakatiza lakini wao hawapati hasira kama mimi, najiuliza kama kweli hayo majeshi yanauzalendo wowote sipati jibu, Uwa najiuliza hivi kweli hata akija mtu kutoka nje ya nchni akawaonga hawa jamaa kwaajili ya kututawala kama watakuwa na uthubutu wa kupinga au kutetea nchni maana tulikofikia ni nusu utumwa.
  3. Nimekuwa najiuliza inakuwavipi katika majeshi yote ya JWTZ, UWT, Polisi na nk hakuna Watanzania Wazalendo au huko wanafundishwa elimu gani? sijajua kwanini hawa watu hawaoni kama Tanzania inadhulumiwa na Wachache au hayo majeshi hayana wasomi wa kutosha kuamsha mijadala?
  4. Nimejiuliza mara nyingi sana kwanini Jeshi litunze silaha kali kama hizi Mbagala na Gongolamboto kwenye ghala kama wafanyabiashara wa silaha lakini sipati jibu, nimejisemea kwanini yasikae ngelengele kule polini lakini pia sijajua?
  5. Nimejiuliza kama Jeshi linatumika kuuwa raia makusudi au ni ukosefu wa elimu sahihi ya kunza silaha lakini pia sijajua, Nimetafuta kila kona kupekua kama kulipuka kwa silaha ghalani ni kitu cha kawaida lakini sijapata! nimejiuliza kama Askali wetu wana elimu yakutosha juu ya utunzaji wa silaha au la! lakini pia sina jibu.
  6. Nimejiuliza inakuwaje mtu anag'ang'ania kazi za kiasa wakati hawezi, nashangaa ni kwanini mtu uzembe wake unauwa raia kiasi hiki lakini haonyeshi uzuni hata kidogo! Nimeshangaa kwanini hatukujifunza na yaliyotokea Mbagala lakini pia sijajua
  7. Nimeshangaa pia kwanini Kikwete alipokuwa Kikosini akipewa taarifa na Mkuu wa kikosi alikuwa hataki kupigwa picha?

Maswali ni mengi haya mauwaji yanauzunisha sana, tuwaombee marehemu wetu, tuombe mungu atupe hekima na ujasiri wa kupambana na hawa wanyonyaji wanaotutawala kimabavu, Kwa mtu Mstaharabu haitaji kuambia jiuzuru, Tayari Mwamunyange na Mwinyi wameonyesha kukosa Ustaharabu mpaka sasa, Tanzania tumerudi nyuma siku za miaka ya 1800 tunahitaji wakina Mkwawa wengine, wako wapi wapigania uhuru zaidi? iwapi maji maji rebellion ya leo?, Mungu tusaidie bado hatujapata uhuru kamili.

Well said bra,amen.
 
Tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Lazima kuheshimu binadamu, hata kama ni marehemu. It is against civilized standards to place pictures of dead people and/or human parts on newspapers or on the internet.

Naomba sana picha ya kwanza iondolewe. Kuiweka hapa ni kuwavunjia heshima marehemu na ndugu zake.
 
Hii ni nchi ya ajabu sana, hivi mpaka sasa Mwinyi na Mwamunyange hawajajiuzuru?

Nimeamini serikali haipo kwa ajili ya wananchi bali ni kinyume chake! Kwa hiyo tusitegemee maendeleo ya kweli.

Utawala bora uko wapi?
 
Hivi kwanini JK huwa anacheka cheka tuuu kama TAAHIRA kila mahali anapokwenda?

Iwe kwenye majonzi, huzuni, furaha, raha etc - yeye pozi lake ni kucheka cheka. Inakera sana

Ndani ya miaka mitatu tatizo lile lile linajirudia - waziri yule yule, mkuu wa majeshi yule yule (?) ila mkuu wa kaya anacheka cheka tu. Baraza la mawaziri halina meno ya kumlazimisha huyu checkbob kuchukua maamuzi sahihi? (haya si maamuzi magumu).

Uzembe uliopindukia sisi tunaita bahati mbaya au ajari. WTF!

Huyu kwa kikwetu tunamuita KULU DABA
 
jamani jamani jamani jamani!!!!!!


Inasikitisha na inaumiza moyo.

HALAFU MWANASIASA ANAJITOKEZA NA KUDAI KUWA JESHI HALINA UTAMADUNI WA KUJIUZULU KWA SABABU HALINA SIASA!!!!!!!!!!!!!!
HAININGII AKILINI. MKUU WA MAJESHI MWAMNYANGE KATEULIWA NA RAIS KIWETE,ATASEMAJE JESHI HALIHUSIANI NA SIASA???

TUNATAKA KIKWETE AMBAYE NDIYE ALIYEMTEUA MWAMNYANGE AMFUKUZE KAZI MARA MOJA.WATANZANIA HATUWEZI KUVUMILIA CHINJA CHINJA HII YA NDUGU ZETU. LAZIMA MWAMNYANGE NA WZIRI WAKE HUSSEIN MWINYI WAFUKUZWE KAZI KAMA HAWATAKI KUJIUZULU.FULL STOP!!!
 
Tunawapa pole wote waliofikwa na matatizo haya. Tunajua kwamba kuna uzembe mkubwa katika matatizo yanayotukabili kwa sasa. Watu wamepoteza maisha kwa makombora waliyonunua kwa kodi zao - jasho lao limewauwa. Ni kwa sababu wale tuliowapa dhamana wamejisahau kiasi cha kushindwa kufanya maamuzi sahihi.kuacha mabomu jirani na makazi ya watu ilhali tulishapata matatizo kule mbagala inaonesha jinsi tuna ombwe kubwa la uwajibikaji.


For we tanzanians its time we get a chance to think of whether those we put in our high offices are right or wrong and take decision.

Minister of Defence and Top officials of JWTZ must resign lets force them taking such decision.We may think it is a hard decion but when our immagination are joined into a common purpose such a decision may be very easy.

Lets not play with these politicians ,otherwise we will see our lives destructed.
 
Jk anasema atatoa kifuta jasho kwa waathirika huku mwamunyange akitamba kuwa hatajiuzulu jaman ! hiv 2naweza 2kamlipa fidia aliyefiwa???
 
Mimi nikiwa mhanga na ambaye pia kombora moja lilinikosakosa baada ya kujiviringisha kama hatua tano hv toka lilipolipukia nasema uchunguzi lazima ufanyike, tusifany juu juu. Zipo kauli mimi personally nimejibiwa na maafisa fulani nilipowataarifu kuwa makombora yameangukia makazi ya watu na hadi sasa wanajeshi wamekataa ama wanasua sua kuja kuyatoa. Majibu mojawapo ni kuwa mkawambie CCM wenu......hapa nadhani hapatakiwi majibu mepesi......Tusithubutu kuingiza siasa majeshini na viongozi wawe wakali.....Mkurugenzi wa Usalama jeshini na Mkurugenzi wa TISS msiridhike na majibu mepesi, toeni uhuru watu wana taarifa, wapiganaji wengi wanasema maneno ambayo si mazuri, tutafute ukweli zaidi inawezekana kuna dalili mbaya zinakuja huko mbele ya safari.... Sisi tuioshuhudia na kuponea kwenye tundu la sindano tunaomba watanzania pamoja na umasikini wetu, tusifike huko, tusikate tamaa tukadhani vurughu ndo tiba ya matatizo yetu...Mi bado naamini ni ajali lkn tufanye kazi zaidi kupata proof, pengine ni ajali lkn imetengenezwa. Baadhi ya watalamu waliosomea utunzaji, usafirishaji na masuala mengine ya milipuko ambao bado wapo kazini wanasema undugu na kufahamiana ndo imekuwa kigezo cha kuwapanga watu kazini, wamesema unakuta mabomu ama milipuko hii inaangaliwa na watu ambao hawana utaalaam bali ni wale store keepers wakawaida. pili tubadilike tuendeshe masuala hiya kisasa, milipuko hii imetokea sana hata kwa wenzetu....Australia hata marekani lkn walibadilika, mifumo ya taahadhali ilianzishwa kama SMS yaani safety Management systems ktk magala, na shughuli zote. yangu ni haya tu
 
Tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Lazima kuheshimu binadamu, hata kama ni marehemu. It is against civilized standards to place pictures of dead people and/or human parts on newspapers or on the internet.

Naomba sana picha ya kwanza iondolewe. Kuiweka hapa ni kuwavunjia heshima marehemu na ndugu zake.
Umesoma kichwa cha thread hii Ama umekurupuka tu?
Some times its better to Keep quite.
 
Tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Lazima kuheshimu binadamu, hata kama ni marehemu. It is against civilized standards to place pictures of dead people and/or human parts on newspapers or on the internet.

Naomba sana picha ya kwanza iondolewe. Kuiweka hapa ni kuwavunjia heshima marehemu na ndugu zake.


We nae usituletee ujinga wako hapa. Wanaovunja heshima ni hao wasiotaka kuwajibika kwa kujiuzulu na huyo anaechekacheka kwenye huzuni kama hii.
 
It appears many people seem to to be blind of the real cause of all these....the underlying cause is nothing but the institutionalised corruption masterminded by a bunch of greedy politicians known even by kindergatten kids, ganged up by hopeless but selfish CCM stalwarts and their hench men placed in sensitive position in the government circles....with one mission at hand...TO MAKE THE STATE to become both UN - GOVERNABLE and un-popular!!! HOPING that come 2015..the presidency shall be theirs. Thus it may be logical to conclude that exposing these perpetrators and to deal with them accordingly is one of the formidable solution of our current problem!! thats my take!

To deal with them accordingly - how give us a clear action
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom