Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rip na mungu awajalie majeruhi wapone haraka!
Hivi kwanini JK huwa anacheka cheka tuuu kama TAAHIRA kila mahali anapokwenda?
Iwe kwenye majonzi, huzuni, furaha, raha etc - yeye pozi lake ni kucheka cheka. Inakera sana
Ndani ya miaka mitatu tatizo lile lile linajirudia - waziri yule yule, mkuu wa majeshi yule yule (?) ila mkuu wa kaya anacheka cheka tu. Baraza la mawaziri halina meno ya kumlazimisha huyu checkbob kuchukua maamuzi sahihi? (haya si maamuzi magumu).
Uzembe uliopindukia sisi tunaita bahati mbaya au ajari. WTF!
not to have a mind is being very wasteful. :majani7::majani7:Kosa la nani kwanini Mwinyi?
Hivi lile Baraza la Usalama la Taifa aliloita JK jana lina akina nani vile? Wameamua nini juu ya hili?
Dr. Wilbrod Slaa
Tunafuatilia kwa karibu matukio ya milipuko ya ghala za JWTZ huko Gongo la Mboto. Ni wazi kuwa licha ya madhara ya uharibifu wa mali kutakuwa na madhara katika maisha ya watu na makazi yao. Wakati huu si wa kutupiana lawama na shutuma bali ni wakati wa kuja pamoja kama Taifa kuhakikisha kuwa hali inatengemaa na maisha ya wananchi wetu yanarejeshwa katika utengemau mapema. Poleni wahanga wa GlM
I strongly need and support whoever demanding resignation of General Mwamnyange and Hussein Mwinyi. If they cannot resign the President should fire them, otherwise, we the people should force the President to FIRE THEM IMMEDIATELY
I strongly need and support whoever demanding resignation of General Mwamnyange and Hussein Mwinyi. If they cannot resign the President should fire them, otherwise, we the people should force the President to FIRE THEM IMMEDIATELY
And what IF the Pres. Kikwete does nothing?
'''''
,ikishindikana tuombe vita ya kirafiki na majirani zetu wanaojifanya kupendapenda vita,kama burundi,kongo DRC,Rwanda na wengine ambao tunaweza kupigana nao vita ya kirafiki kuliko yatulipukie wenyewe eti yamekaa sana,je vita ya kirafiki tuombe na nani?
I strongly need and support whoever demanding resignation of General Mwamnyange and Hussein Mwinyi. If they cannot resign the President should fire them, otherwise, we the people should force the President to FIRE THEM IMMEDIATELY