Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huko? Ni biashara pekee ama kuna njia nyingine?

Alimpokonya Nani huku Afrika? Wacha kuleta propaganda za Kanisa lenu
JamiiForums1628199844.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo dini zote zilikija kwa nia ovu, hakuna kupepesa macho wala kuficha ficha ukweli.

Hizo takataka mnazoita zimeletwa na Mungu, mngejuwa ni mamilion mangap ya waafrika wasio na hatia walikufa kwa kulaazmishwa kushika, mneachana nazo.

Mambo mengi mabaya ya dini mnayaficha na kuyafunika, wakat wa kujua kweli ni sasa, ufike muda tuache kung'ang'ania tamaduni za wageni
1641550725947.jpg
 
Hizo dini zote zilikija kwa nia ovu, hakuna kupepesa macho wala kuficha ficha ukweli.

Hizo takataka mnazoita zimeletwa na Mungu, mngejuwa ni mamilion mangap ya waafrika wasio na hatia walikufa kwa kulaazmishwa kushika, mneachana nazo.

Mambo mengi mabaya ya dini mnayaficha na kuyafunika, wakat wa kujua kweli ni sasa, ufike muda tuache kung'ang'ania tamaduni za wageniView attachment 2081508
Kweli kabisa
 
Hata baadhi ya Mila zetu za Kiafrika ziliua mamilioni ya watu.
Waliozaliwa wakiwa vilema au kama walikuwa kasoro yoyote ya kimaumbile.
Waliuawa na wakunga mala tu baada ya kuzaliwa.
Ndio maana ni nadra sana hadi sasa kumwona Arbino Mmasai au Kilema kwa kuendeleza mila za Kiafrika za Kizamani.
Sio hilo tu baadhi ya Mila za Kiafrika ziliwatoa kafara watoto wachanga na hata watu wazima ili kuilizisha Mizimu yao.
Kuuana kwa kurogana lilikuwa jambo la kawaida kabisa ndio maana jamii nyingi za Kiafrica zilikuwa zenye Elimu duni na maendeleo hafifu kufikia hadi kuwa katika mfumo wa Ujima hadi
Karne ya 19.
Wavamizi na Wakoloni pamoja na baadhi ya desturi zao kuto kufaa katika Jamii za Afrika lakini ziko baadhi ya Tamaduni zao ambazo zimeleta mapinduzi makubwa ya Kimaendeleo katika Jamii za Kiafrika.
Mambo kama Utawala Bora, Elimu, Dini, Mapinduzi ya Viwanda na Teknolojia, Siasa, Uchumi Nk. Yaliweza kuitoa Jamii ya Kiafrika toka kwenye Giza la Umaskini na Vita vya Kikabila na kuiingiza katia Mwanga wa Maendeleo na Demokrasia.
Kwa kuhitimisha Afrika imenufaika zaidi kwa kurithi Desturi za Wakoloni na Wavamizi kuliko hasara iliyopata.
 
Hata baadhi ya Mila zetu za Kiafrika ziliua mamilioni ya watu.
Waliozaliwa wakiwa vilema au kama walikuwa kasoro yoyote ya kimaumbile.
Waliuawa na wakunga mala tu baada ya kuzaliwa.
Ndio maana ni nadra sana hadi sasa kumwona Arbino Mmasai au Kilema kwa kuendeleza mila za Kiafrika za Kizamani.
Sio hilo tu baadhi ya Mila za Kiafrika ziliwatoa kafara watoto wachanga na hata watu wazima ili kuilizisha Mizimu yao.
Kuuana kwa kurogana lilikuwa jambo la kawaida kabisa ndio maana jamii nyingi za Kiafrica zilikuwa zenye Elimu duni na maendeleo hafifu kufikia hadi kuwa katika mfumo wa Ujima hadi
Karne ya 19.
Wavamizi na Wakoloni pamoja na baadhi ya desturi zao kuto kufaa katika Jamii za Afrika lakini ziko baadhi ya Tamaduni zao ambazo zimeleta mapinduzi makubwa ya Kimaendeleo katika Jamii za Kiafrika.
Mambo kama Utawala Bora, Elimu, Dini, Mapinduzi ya Viwanda na Teknolojia, Siasa, Uchumi Nk. Yaliweza kuitoa Jamii ya Kiafrika toka kwenye Giza la Umaskini na Vita vya Kikabila na kuiingiza katia Mwanga wa Maendeleo na Demokrasia.
Kwa kuhitimisha Afrika imenufaika zaidi kwa kurithi Desturi za Wakoloni na Wavamizi kuliko hasara iliyopata.
Umejitahidi kuelezea ila umesahau kwamba umedefine maendeleo kwa mlengo wa wageni kwa jamii za kiafrika maendeleo hayakua kuwa na umeme wala maghorofa ilikua kugundua sanaa nyingine za ufinyazi kugundua njia mbalimbal za tiba kama miti na sanaa nyingine za kitabibu kwa maana hio kama wagen wasingekuja tusijue kuna umeme hakuna ambae angelalamikia kiza

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Umejitahidi kuelezea ila umesahau kwamba umedefine maendeleo kwa mlengo wa wageni kwa jamii za kiafrika maendeleo hayakua kuwa na umeme wala maghorofa ilikua kugundua sanaa nyingine za ufinyazi kugundua njia mbalimbal za tiba kama miti na sanaa nyingine za kitabibu kwa maana hio kama wagen wasingekuja tusijue kuna umeme hakuna ambae angelalamikia kiza

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Ahaa...!
Nadhani wewe utakuwa kama sio Msandawe basi ni Mhadzabe ambaye hadi sasa umechagua kuishi katika maisha ya Ujima kwa kufikiri kuwa Maendeleo ni kile anacho ona wewe kuwa kinafaa.

Na sio kile kinachorahisisha maisha yako.

Ila kwakua wewe inaonekana una thamini vitu vya wakoloni, kwa kumiliki simu yao ya Android huku umevaa lubega lwako la kitambaa cha wavamizi wa kihabeshi, ukaachana kabisa na lubega lwako ĺwa magome ya miti, basi inawezakana kabisa kuwa wewe ni Mmasai.
 
Ukristo na Uislamu umechangia sana katika maendeleo ya Mwafrika pamoja ya kuwa hizo sio tamaduni za asili za mwafrika.

Hizi dini zimesaida sana katika swala la Usalama wa Raia.
Kuna watu wengi ambao bila hizi Dini wangekuwa waovu sana katika jamii zetu.
Matendo maovu kama wizi, ujambazi, ugonvi, mauaji Nk. yamepungua katika jamii zetu kwa ushawishi wa hizi Dini.
Kuna watu ni wema katika jamii zetu kwa kwasababu tu ya kuzingatia mafundisho ya hizi Dini za kigeni.
Ajira pia ni moja ya manufaa ya hizi Dini.
Kwa upande wa Ukristo Dini yao imeweza kuajiri idadi kubwa tu ya Waafrika. Kuna Wachungaji, Maaskofu, Makatekista, Mapadre, Manabii (a.k.a. Nabii Mashimo)
Wahudumu, Wainjirist, Waimbaji Nyimbo za Injiri (eg. Rose Mhando) Nk.
Misheni za Kikristo zinatoa mchango mkubwa sana katika kuimarisha huduma mbalimbali za kijamii.
Kama Elimu, katika ngazi ya Primary, Sekondary, Vyuo vya ufundi, hadi Chuo Kikuu.
Afya, taasisi za Kikristo zimeweza kujenga vituo vya afya na kuajiri wataalamu toka ndani na nje ya nchi katika hatua za Dispensari hadi Hospitari kubwa sana na kutoa huduma nzuri pengine kupita huduma za Kiserikali.

Taasisi za Kidini zimetoa mchango mkubwa sana wa maendeleo ya Mwafrika na kuchangia kumtoa mwafrika toka maisha ya Ujima hadi maisha ya Ustaarabu ulio komaa.

Halafu anatoka mjinga mmoja anaanza kuponda mchango wa Dini za Kigeni katika mstakabari wa mabadiliko ya jamii za kiafrika na anapigiwa makofi na Wajinga wanzake.

Kwa taarifa yake hata hiyo Elimu ndogo aliyonayo chimbuko lake kubwa ni Mchango wa Taasisi za Dini katika hatua ya Kidunia hata ki nchi.

Bila Dini za Kigeni Wafrika wengi wangekuwa Mahayawani tu. Maana kinacho watuliza ni Mafundisho ya Dini TU.
 
Ni kweli
kuna yale ma caravan routes and trades.

Hata mtume Muhammad alikuwa trader wa Caravan kabla hajawa mtume..Although alipokuwa mtume na kupata wafuasi alianza kuvizia hawa traders na kuwapokonya mali.
Huu ni uzushi
 
Ahaa...!
Nadhani wewe utakuwa kama sio Msandawe basi ni Mhadzabe ambaye hadi sasa umechagua kuishi katika maisha ya Ujima kwa kufikiri kuwa Maendeleo ni kile anacho ona wewe kuwa kinafaa.

Na sio kile kinachorahisisha maisha yako.

Ila kwakua wewe inaonekana una thamini vitu vya wakoloni, kwa kumiliki simu yao ya Android huku umevaa lubega lwako la kitambaa cha wavamizi wa kihabeshi, ukaachana kabisa na lubega lwako ĺwa magome ya miti, basi inawezakana kabisa kuwa wewe ni Mmasai.
Hayo maisha ya ujima umeyajua kupitia elimu ya mkoloni root cause hapa ni ujio wao ndo umebadili hio fikra yako rejea kisa cha watu waloishi mapangoni bila kugeuka nyuma

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Hayo maisha ya ujima umeyajua kupitia elimu ya mkoloni root cause hapa ni ujio wao ndo umebadili hio fikra yako rejea kisa cha watu waloishi mapangoni bila kugeuka nyuma

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Binafsi namshuru sana Mkoloni kwa kunipa Elimu ambayo hadi sasa imebadilisha maisha yangu sana.

Hata Leo Raisi wako anategemea Misaada ya Wakoloni ili kuendesha nchi yako na kulipa mishahara ya Watumishi wake.

Bila Mkoloni leo bado tungekuwa tunaishi mapangoni tu.
Kama unabisha Mwulize Ndugai alichokipata baada ya kujifanya haihitaji Mikopo ya Mkoloni.
 
Infantry kama upo hai njoo kwenye kubilo lako hili ndugu yangu amepigwa ban ndefu HAIKUBALIKI
 
Back
Top Bottom