Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,949
Hatuja zungumzia technology tumezungumzia dini na tamaduni.
Tamaduni ndiyo inayozaa vitu kadhaa ikiwemo sayansi na teknologia.-- utamaduni wa muafrika ni uchawi na kulogana tu.
Hatuja zungumzia technology tumezungumzia dini na tamaduni.
Kiufupi naamini Mungu yupo, na amejidhihirisha wazi kabisa. Kila jamii dunia mzima nguvu ya Mungu ipo. Kuna dini kubwa sita duniani. Kote Mungu anajionesha. Kuna
~Judaism
~Christianity
~Islam
~Hinduism
~Budhism
~Sikhism
Mtawa(monk) wa kibudha anaweza fanya maajabu makubwa sana ya kutembea juu ya maji au kutembea bila kukanyaga ardhi(kupaa) Kama Yesu. Lakini si mkristu Wala mwislam.
Tatizo la mada yako linaanzia hapa,na limeonyesha waI kabisa lazima ukosee katika mada nzima, kwanini uijadili Dini kama Tamaduni za watu fulani na ushindwe kuijadili Dini kama dini ?
Kuifasiri Dini kama tamaduni ya watu fulani au za watu fulani kumeonyesha wazi ya kuwa hujui tamaduni ni nini na kadhalika hujui Dini ni nini. Nakupa mfano ambao unaonyesha dhahiri shahiri kuuita Uislamu ni tamaduni ya waarabu, ni kosa la kiufundi, miongoni mwa Tamaduni za Waarabu ilikuwa wanapo zaliwa watoto wa kike, wao walikuwa wanaona kama ni mkosi na kufikia hatua wakawa wana wazika wakiwa hai, ila Uislamu ulipo kuja ukakataza hili.
Sasa nakupa kanuni ya msingi kuhusu dini, hii unatakiwa uishi nayo ni kuwa "Dini imekuja kumtoa mtu katika hali duni kiutendaji na kumpeleka katika hali ya juu zaidi kiutendaji,kadhalika Dini imekuja kuzikosoa na kurekebisha katika zile mila na desturi zetu, yaani Tamaduni zetu". Katika hili kuna mifano mingi sana.
Ahsante.
Hakuna.
Lakini, naomba nikuulize swali dogo sana, unaweza kuniambia kwanini umeuliza mja alichaguliwa kuja kufikisha ujumbe Tanzania, je unafikiri kulikuwa na haja hiyo ?
Sio za Mungu mmoja kwa kuwa wengine hawaamini MunguHizi dini zote sita ni za Mungu mmoja au miungu tofauti?
wewe ndo umesema mola uchagua mja kwa ajili ya kupeleka ujumbe sehem.Hakuna.
Lakini, naomba nikuulize swali dogo sana, unaweza kuniambia kwanini umeuliza mja alichaguliwa kuja kufikisha ujumbe Tanzania, je unafikiri kulikuwa na haja hiyo ?
samahani huku kwetu ni mtume gani alishushwa?Mwenyezi Mungu amekua akishusha Mitume na Manabii kwa kila umma uliokuwepo, baadhi ya Mitume/Manabii hao wameuawa na hao walioletewa Mwongozo huo.
sidhani kama umenielewa!kakwambia nani alama za mwezi zina abudiwa katika uislamu????
wafuasi wa mtume ndo wale waliokuja kwa lengo la biashara ya utumwa!?
TawireeeMimi nimeamua kubaki na Mizimu yangu tu. Hao Wazungu na waarabu watanisamehe niliwashtukia zamani saana.
Sio kweli ,wafrika na tunatamaduni nyingine nzuri pia. kumbuka ata kwa wazungu napo uchawi na kulogana kupoTamaduni ndiyo inayozaa vitu kadhaa ikiwemo sayansi na teknologia.-- utamaduni wa muafrika ni uchawi na kulogana tu.
Sio kweli ,wafrika na tunatamaduni nyingine nzuri pia. kumbuka ata kwa wazungu napo uchawi na kulogana kupo
Kwanini hujiulizi kila siku watu wanakufa, na hawaishi... ?Kama waarabu walikuwa na utamaduni wa kuwaua watoto wa kike hao waarabu kwa nini hawakuisha duniani? Utopolo mtupu.
Mimi siyo kwamba nafikiri bali majibu ninayo ya kwanini mitume hawakuanzia huku kwetu.Kwa nini unafikiri hakukuwa na haja hiyo?
Sababu huki hapakuwa na haja hiyo.wewe ndo umesema mola uchagua mja kwa ajili ya kupeleka ujumbe sehem.
ndo nataka unambie uyo mja alietumwa kwetu huku mimi simjui
Sababu huki hapakuwa na haja hiyo.
rudia sijakupata mkuuSababu huki hapakuwa na haja hiyo.
Nitajie mitume walio kuwepo huku Afrika na utupe ushahidi huo.Katika kila umati Allah alituma mitume, wapo mitume ambao Allah amewataja/amemuhadithia mtume SAW (ndani ya Qur'an) na wapo Mitume ambao hakuwataja, na duniani wamepita mitume zaidi ya laki moja na ushee, hadi huku Africa mitume walikuwepo kwa ajili ya makabila nk.