mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,792
Kabla ya uislam waarabu walikuwa kwenye "ENZI ya ujinga "
Uislam ulipo kuja ukawafundisha stara.
Jinsi ya kuabudu,jinsi ya kula,jinsi ya kuoa, kuishi na watu n.k.
Uislam unajitegemea. Ndo maana hata mmakonde wa mtwara anaweza kuwa muislam na kusoma quran.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Uislam ulipo kuja ukawafundisha stara.
Jinsi ya kuabudu,jinsi ya kula,jinsi ya kuoa, kuishi na watu n.k.
Uislam unajitegemea. Ndo maana hata mmakonde wa mtwara anaweza kuwa muislam na kusoma quran.
utofauti unaanzia wapi mkuu?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app