Huyu jamaa kila time hoja zake ni Nyerere tosha basi mwache arest in peace tu hoja zimemuishia za kuchangia maendeleo kutwa Dikteta blah blah
Ujumbe umefika Hatuko darasani! ukitoa kibanzi tizama na boriti... Taifa ina lugha rasmi Mbili Jivunie zote.Mwanakijiji he is in love with Nyerere....????????????
Napenda kujivunia kutumia lugha yangu ya taifa, hata hivyo inafaa lugha za kiingeni kwani tunajifunza tokana na makosa, na bora kutumia tools kuhakiki structure maana wengine tumekulia nau tunaishi kwenye usanifishaji wa viambishi vya maneno.
Nyerere alipokuja Dar es Salaam, alikuta TAA ina watu walikwisha changanyika tayari, na yeye alikaribishwa vema tu na wenyeji na wala hawakumbagua.
Wakati umefika wa kumfananisha Nyerere na Hitler. Nyerere kaua, kawahamisha watu sehemu zao za kuishi na kuwapeleka vijijini. Hitler alifanya sawa sawa na Nyerere.
Nani kakuzuia..fanya hivo kwa wakati wako, na wafundishe na wanao. Lakini usilazimishe wote tuwe na uoni kama wako wa chuki za kidini na kikabila.
Nani kakuzuia..fanya hivo kwa wakati wako, na wafundishe na wanao. Lakini usilazimishe wote tuwe na uoni kama wako wa chuki za kidini na kikabila.
I declare Nyerere ni Hitler.
I declare babako ni kibakaI declare Nyerere ni Hitler.
I declare Nyerere ni Hitler.
In the other discussion (Nyerere's Forgotten Speech), I made a claim that:
FaizaFoxy came with another claim where he/she said (post 87):
To this I made this challenge (post 90):
To which FaizaFoxy responded confidently,
Well... that claimes a direct quote from Nyerere's "farewell speech". Well.. here is the speech.