Yombayomba
JF-Expert Member
- Aug 23, 2006
- 818
- 214
Hivi Faizafoxy una makengeza au unatazama kwa pozi? samahani lakini kwa swali
Haaaaa haaaa! Ukiona mtu hafahamiki hana umuhimu au umaarufu! Usilazimishe tumfahamu huyo JW!Nashangaa unamjuwa Nyerere lakini Joan Wicken humjui! ama kweli dunia hadaa na ulimwengu shujaa. Ngoja tuone wanaomjuwa ni nani wajibu hoja yangu. Au hawatoipenda hii ni wataanza kama juu hao walioanza kuififirisha!
Huyu ni type ya Malaria Sugu, mpotezee tu ndugu!Hivi Faizafoxy una makengeza au unatazama kwa pozi? samahani lakini kwa swali
Joan Wicken ndiyo nani tena?
Mara nyingi huwa najiuliza, hivi yale maamuzi mabovu yote yaliyopeleka kuwatesa raia wa Tanzania yalikuwa ya Nyerere kweli?
Kinachonifanya nijiulize, hivi ni kweli M'Tanzania unaweza kuona raia zako wanateseka na wewe bado umo tu, kuwaswaga maporini wakaanzishe vijiji vya ujamaa?
Hivi unaona watu wako wanadhoofika kwa kukosa milo ya kutosha (sufficient nutrients), halafu wewe M Tanzania mwenzao bado tu unag'ang'ania uzi uleule wa usosholisti?
Hivi unaiona nchi yako inateketea, mabarabara hayapitiki kwa mashimo, hospitali zinaanza kuwa ni mahali pa kupokea misiba na misongamano ya wagonjwa, lakini wewe kama M'Tanzania bado upo tu, unapeleka fedha zako kwengine? "natengeza kwa wenzangu na kwangu kwa poromoka"
Nani amjuaye Joan Wicken?
Mara nyingi huwa najiuliza, hivi yale maamuzi mabovu yote yaliyopeleka kuwatesa raia wa Tanzania yalikuwa ya Nyerere kweli?
Kinachonifanya nijiulize, hivi ni kweli M'Tanzania unaweza kuona raia zako wanateseka na wewe bado umo tu, kuwaswaga maporini wakaanzishe vijiji vya ujamaa?
Hivi unaona watu wako wanadhoofika kwa kukosa milo ya kutosha (sufficient nutrients), halafu wewe M Tanzania mwenzao bado tu unag'ang'ania uzi uleule wa usosholisti?
Hivi unaiona nchi yako inateketea, mabarabara hayapitiki kwa mashimo, hospitali zinaanza kuwa ni mahali pa kupokea misiba na misongamano ya wagonjwa, lakini wewe kama M'Tanzania bado upo tu, unapeleka fedha zako kwengine? "natengeza kwa wenzangu na kwangu kwa poromoka"
Nani amjuaye Joan Wicken?
Hivi hao watanzania 'walioswagwa kupelekwa maporini' waliswagwa toka miji gani hapa Tz?!
Yule Personal Secretary wa Nyerere.
Faiza hv kwa nn unapenda kumponda sana mwl? Hv una uhakika kweli mwalimu alikua muovu? Acha hizo chuki dada yangu! Hakuna rais mzalendo tz kama Nyerere! Tunajua kila binadamu ana mapungufu yake hvyo hata mwl alikua nayo bt mwl alionyesha ukomavu wa hali ya juu.
je uzalendo aliokuwa nao mwl Nyerere ni sawa wa Jk? Nakupa homework hii ask ur grandpa akupatie majibu.
Wataka tukuelewe kuwa huna akili ya kujua jema na baya wadhania ni nani haswa aliyefanya maamuzi hayo umesimuliwa au ulikuwepo? sidhani kama watu waliteseka na kama walipelekwa maporini walikuwa wanapunguza watu mijini kuondoa misongamano ya watu waio kuwa na kazi za maana kama wewe faiza uliyejiajili JF huku ukimwaga pumba... Unapoongelea vitu vya jamii tizama na wakati pia nchi ilikuwa na nini....Mara nyingi huwa najiuliza, hivi yale maamuzi mabovu yote yaliyopeleka kuwatesa raia wa Tanzania yalikuwa ya Nyerere kweli?
Kinachonifanya nijiulize, hivi ni kweli M'Tanzania unaweza kuona raia zako wanateseka na wewe bado umo tu, kuwaswaga maporini wakaanzishe vijiji vya ujamaa?
Hivi unaona watu wako wanadhoofika kwa kukosa milo ya kutosha (sufficient nutrients), halafu wewe M Tanzania mwenzao bado tu unag'ang'ania uzi uleule wa usosholisti?
Hivi unaiona nchi yako inateketea, mabarabara hayapitiki kwa mashimo, hospitali zinaanza kuwa ni mahali pa kupokea misiba na misongamano ya wagonjwa, lakini wewe kama M'Tanzania bado upo tu, unapeleka fedha zako kwengine? "natengeza kwa wenzangu na kwangu kwa poromoka"
Nani amjuaye Joan Wicken?
Una uhakika alikuwa "personal secretary"? au unakisia tu?
Watanzania wengine sijui mnafikiriaje! Yaani huyo mwanamke wa kizungu (Joan Wicken) unamfananisha na Nyerere?
Although Nyerere alikua na mapungufu yake (kwasababu hakuwa malaika) but, he is the best president compared to Mwinyi, Mkapa & Kikwete...
Mpe jibu basi ili aache kukisia.
Swali: Nani amjuaye Joan Wicken?
Una uhakika alikuwa "personal secretary"? au unakisia tu?