Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 26,802
- 38,847
Mleta mada ni mwongo tena ni mpika uongo mkubwa! Nilikuwa nakiangalia hicho kipindi toka mwanzo hadi mwisho, Diamond hakumshutumu MDEE kama mleta mada alivyo hara hapa,.
Mtangazaji alimuuliza anaushauri gani kwa wananchi kuelekea kipindi hiki cha uchaguzi mkuu? Ndipo Diamond katika moja ya maelezo yake akasema "pamoja na kwamba rais aliyepo amejitahidi ila kuna baadhi ya mambo bado hayajakaa sawa ikiwemo barabara hiyo, hivyo akatoa ushauri ishughulikiwe!
Mtangazaji alimuuliza anaushauri gani kwa wananchi kuelekea kipindi hiki cha uchaguzi mkuu? Ndipo Diamond katika moja ya maelezo yake akasema "pamoja na kwamba rais aliyepo amejitahidi ila kuna baadhi ya mambo bado hayajakaa sawa ikiwemo barabara hiyo, hivyo akatoa ushauri ishughulikiwe!