Diamond Platnumz: Mdee ni Mzigo Jimbo la Kawe

Diamond Platnumz: Mdee ni Mzigo Jimbo la Kawe

Naona mwaka huu ni Diamond Vs Mdee!
Jimbo limerudi CCM!
 
Apeleke makende yake huko,au anahamu ya kusukumiwa mboo .anataka apewe hela na mdee kama anavyovizia hela za mademu.ndo maana wema alisanda.
 
Kwanza analipa kodi au anataka ajengewe barabara kwa hela za wanaume wenzake?

Huyu kijana ni mhujumu uchumi..Amekwepa kulipa kodi ambayo ingechangia kujenga barabara.TRA wakaze buti kumwajibisha
 
Kwanini alitoa ahadi kwa wananchi kuwa katika ubunge wake huu atahakikisha barabara inajengwa? Ikiwa alijua yeye sio serikali in the first place!

Kwani wewe unaamini kila unachoambiwa na mwanasiasa? Akili za kuambiwa changanya na zako tafuta jibu. ZZK aliwahi kusema wanasiasa wote ni wanafiki.
 
Kama wewe ni mbunge na katika jimbo lako kero hazitatuliwi, ujue tu hauna ushawishi.

Katika hali hiyo ya kukosa ushawishi, basi hufai kuwa mwakilishi wa wananchi husika. It's simple as that.

Halima, time to go!

Miaka 54 ya utawala wa magamba wamefanya nini? ulitaka atatue kero zote kwa miaka 5? Jodi anakusanya yeye au serikali dhaifu ya magamba?
 
Haluma Mdee ana kampuni ya ujenzi wa barabara?
Siku tukijua nani wa kumwajibisha nchi yeru itasonga mbele.
Kwa sasa adui ujinga bado anatutesa

Mdee alipokuwa anatuomba tumpe ubunge alituahidi kushughulikia matatizo ya barabara..kwani hakujua yeye si kampuni ya ujenzi?Hongera Diamond kwa kuusema ukweli Halima Mdee ni mzigo kabisa..
 
Last edited by a moderator:
Halima Mdee ana kampuni ya ujenzi wa barabara?
Siku tukijua nani wa kumwajibisha nchi yeru itasonga mbele.
Kwa sasa adui ujinga bado anatutesa

true say watu mpak sasa hawajuh majukum ya mbungee anakusanya kodi??? Anatunga seraa??? anatekeleza ahadi ubunge n uwakilish Mlaumu kikwete na wazir husika
 
Ulitaka halima mdee atengeneze barabara kwa pesa ya mfukoni mwake?
 
Mdee alipokuwa anatuomba tumpe ubunge alituahidi kushughulikia matatizo ya barabara..kwani hakujua yeye si kampuni ya ujenzi?Hongera Diamond kwa kuusema ukweli Halima Mdee ni mzigo kabisa..

Kwa hiyo ninyi mkiahidiwa na yeyote hamna akili ya kuhoji?

watu wengine hujifunza ujinga shuleni ( FaizaFoxy )
 
Last edited by a moderator:
Walishaonya "njoo CCM mambo yako yakunyooke".
 
Hivi unawajuwa wanaoishi pale Kawe?

Huyo mwambieni aendelee kuimba na malaya zake mambo ya siasa hayawezi kamwe. Asidhani Mdee ni msanii kama alivyo Rais wake alalalaa.!!!

Hivi kama Barabara za huko ni mbovu anashindwaje kumwambia msanii mwenzake? Maana Mdee hana fungu lolote la kutengeneza Barabara hizo yeye ni sauti ya wananchi na kama ni kusema kasema sana tu. Kama anauchungu sana na ubovu wa barabara hizo ampigie simu mshua wake, si huwa wabapigiana kuelezana mambo mengi tu. Na hapo juzi ametuambia ati Mshua wake anayajua mambo mengi ya Muziki kuliko hata yeye mwenyewe..!!!

BACK TANGANYIKA
 
Kwanza wewe ni mwongo hakumlaumu Halima yeye alichisoma kuwa kule anakokaa porini au msituni barabara iendayo huko ni mbovu hata gari lake kufika ni inshu,akasihi serikali na mbunge wake Halima walitazame kipande icho cha barabara kwenda porini au msitni alikojenga Diamond na muziki wake!
 
Kwanza analipa kodi au anataka ajengewe barabara kwa hela za wanaume wenzake?

mtu anafanya shoo za mamilioni lakini halipi hata sh 10 ya kodi,wafanyakazi ndo wanakamuliwa kwenye vilaki mbili mbili vyao,serikali inaona raha tuu
 
Back
Top Bottom